Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni pamba unavaa midosho....Mbona wenzio Hadi tunazikimbia...Nina miaka 29 ..na ni handsome sana.. Hela ipo na pamba natupia za ukweli
We baka tu mkuu..ila avatar yako!!!Naomba mnisaidie jamani, nisije baka
Uzi tayari
Nenda exotic ukawagegede wakina tally hunter, au kanunue wale wanaojipangaga kama mafungu ya nyanyaNaomba mnisaidie jamani, nisije baka
Uzi tayari
Hapo ndio shida.. Nikitaka kuanza kuongea na demu mambo ya mapenzi natetemeka balaa.. Hata sijielewi
Naomba mnisaidie jamani, nisije baka
Uzi tayari
Baharia,hivi wale wa Exotic wazima kweli?maana watoto wakali walee mmmh,ila ndio Wana cost kinoma kwa Wote niliojaribu kuwauliza bei,wa chini sana Ni 50k
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina miaka 29 ..na ni handsome sana.. Hela ipo na pamba natupia za ukweli
Wenzako wana chama kinaitwa CHAPUTA , Kama vipi jiunge nao
Hapo ndio shida.. Nikitaka kuanza kuongea na demu mambo ya mapenzi natetemeka balaa.. Hata sijielewi
Pole sana mkuuwakuu kulingana na kuwa na udomo zege uliopitiltilza na hii kupelekea kuwa mwanachama wa chaputa mwenye kadi ya kudumu. kuna jamaa kanishauri niweke utaratibu wa kutongoza kwa siku angalau demu mmoja. hii ikoje wakuu
Umemuambia ukweliWe endelea tuu na puchu yako siku ukikutana na mwanamke hiyo aibu yake jiandae kisaikilojia na kifizikia.