Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ungeniita jamaan nijichekeeSijui alifanya nini hata.. Alikuwa mpole na ile id yake ya dhambi.. Utafikiri Mtakatifu Makrina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeniita jamaan nijichekeeSijui alifanya nini hata.. Alikuwa mpole na ile id yake ya dhambi.. Utafikiri Mtakatifu Makrina
AhahhahaHeheheee
Waache Wapambane na hali zao
Ebu kuja hapa eti unatafutwa na nani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiongee sana mama yeyoo. Subiri kidogo hili vumbi litulie kwanza. Umeshaambiwa huu ubuyu jnaweza kupelekea JF kuwa zilipendwa
HallelujahMimi ni nyani mzee, kwa mishale nilio ikwepa......[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Inabidi nimtumikie tu Mungu....
Mmh sakayo ebu ukuje huyu muhenga mbona simuelewi mieUsinikumbushe aiseeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Eti namuona jamaa anavyo jibebisha naye humu kwenye majukwaaaaaa....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe wahenga wanasemaga, nguo ya zamani = na dekio jipya....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Aiseee mpaka wewe kakuacha himoHapoo umeniacha kabisa yaani
Na mie nakujaEbu twende kule tunapo ongea lugha ya kunena
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naenda kulala mie nawaacha mjueUko vizuri shunie[emoji23] [emoji23]hutaki kupitwa.
Haha [emoji23]Ungeniita jamaan nijichekee
Mwenyewe simuelewiiMmh sakayo ebu ukuje huyu muhenga mbona simuelewi mie
Yaani we acha tuuAiseee mpaka wewe kakuacha himo
Hivi ulishindwa hata kunipigia mbona mbaya hiviHaha [emoji23]
Ulikuwa wapi.. Ila ni siku nyingi
Poa ulale salama shunieNaenda kulala mie nawaacha mjue
Na kwako pia Youngblood [emoji120] [emoji7]Poa ulale salama shunie
Haha [emoji23]Hivi ulishindwa hata kunipigia mbona mbaya hivi
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Haha [emoji23]
Kama Nakuona vilee