Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Usinikumbushe aiseeeee.....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Eti namuona jamaa anavyo jibebisha naye humu kwenye majukwaaaaaa....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kumbe wahenga wanasemaga, nguo ya zamani = na dekio jipya....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmh sakayo ebu ukuje huyu muhenga mbona simuelewi mie
 
Jaribu kimwambia Sky,lakini kama wewe yamekushinda unataka kumuambia mtu, unataka yeye yamuue?
 
Back
Top Bottom