Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Matafute Dj Sepetu akisaidiana na Bill Sepenga watakusaidia kuurusha hewani!!
 
Acha unoko
Mara paaap tunaingia makubaliano mazuri ya 50 kwa 50 kama yale ya Tanzania na Accasia!!.......uwiiiiiiiiiiiii,walahi ningebadilisha hadi avatar niweke ambayo niko more handsome my dear!!
 
Mara paaap tunaingia makubaliano mazuri ya 50 kwa 50 kama yale ya Tanzania na Accasia!!.......uwiiiiiiiiiiiii,walahi ningebadilisha hadi avatar niweke ambayo niko more handsome my dear!!
Umenipoteza...fanya tuweke mengine mapya
 
Back
Top Bottom