Nina Upper Second GPA, nisome Masters gani?

Nina Upper Second GPA, nisome Masters gani?

Mimi ni mwalimu miaka mitatu kazini Nimesoma Bachelor of Education in Science (Physics) nilitoka na GPA 3.7 nataka nijiendeleze kusoma NISOME kozi gani masters kwa soko la kuwa lecturer au nisome kozi gani kwa soko la kiutumishi katika kada ya Elimu.
TAFUTA CONNECTION KWANZA

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Acha ichosha degree yako ya kwanza kabla haijaleta pesa tafuta pesa jombaaa
 
Walimu ni wasumbufu sana na ni watu wasiojielewa..

Wameiharibu hii nchi!

Kwahiyo unataka kwenda kuongeza ujinga ili upate elimu ya kuzidi kuiharibu hii nchi?
 
Ivi mtu unasomaje bachelor ya Physics? Yaani unajipinda kusoma Ili uje uwe na maisha average kweli??? Mm watoto wangu naanza kuwatrain ku run business so form four tuu nawapeleka colleges za biashara wakajifunze kusimamia nitakachokuwa nimewaandalia kimaisha! Kuzunguka na bahasha na kutukanwa na waajiri uchwara NEVER!!
 
Mimi ni mwalimu miaka mitatu kazini Nimesoma Bachelor of Education in Science (Physics) nilitoka na GPA 3.7 nataka nijiendeleze kusoma NISOME kozi gani masters kwa soko la kuwa lecturer au nisome kozi gani kwa soko la kiutumishi katika kada ya Elimu.
HUFAI, kwa sababu hizi mbili.
1. GPA ndogo.
2. Hujui carrier yako,maana haiwezekani mtu una mpango wa kuwa mhadhiri ila cha kusoma unakuja kuuliza mtandaoni,hii ni aibu kwa chuo ulichosoma na taifa.
 
Walimu ni wasumbufu sana na ni watu wasiojielewa..

Wameiharibu hii nchi!

Kwahiyo unataka kwenda kuongeza ujinga ili upate elimu ya kuzidi kuiharibu hii nchi?
Hahahaha 😃we dogo sikuwezi
 
HUFAI, kwa sababu hizi mbili.
1. GPA ndogo.
2. Hujui carrier yako,maana haiwezekani mtu una mpango wa kuwa mhadhiri ila cha kusoma unakuja kuuliza mtandaoni,hii ni aibu kwa chuo ulichosoma na taifa.
Hapana mdogo wangu siyo aibu kwa chuo, ukisema hivyo kwani wanao washauri wasomi kutoka vyuo ni kwamba unamanisha vyuo vyao vinapata aibu ,, toa USHAURI tembea ,, hujui kaa kimya
 
Hapana mdogo wangu siyo aibu kwa chuo, ukisema hivyo kwani wanao washauri wasomi kutoka vyuo ni kwamba unamanisha vyuo vyao vinapata aibu ,, toa USHAURI tembea ,, hujui kaa kimya
Tuliaaa!
Tuliaaa!

Hivi hadi mtu kumaliza degree ya kwanza akiwa hajui career yake unaona ni jambo la kawaida?.

Ni aibu kubwa kwa taifa.
Kama ni kawaida kwako basi poa,lakini sifa za akitakacho hana,hivi unadhani huyu awe mhadhiri atawaambia nini wanafunzi wa chuo atakaokua anawafundisha?
 
Tuliaaa!
Tuliaaa!

Hivi hadi mtu kumaliza degree ya kwanza akiwa hajui carrier yake unaona ni jambo la kawaida?.

Ni aibu kubwa kwa taifa.
Kama ni kawaida kwako basi poa,lakini sifa za akitakacho hana,hivi unadhani huyu awe mhadhiri atawaambia nini wanafunzi wa chuo atakaokua anawafundisha?
Tulia tulia
Hivi ni carrier au career?
 
Back
Top Bottom