[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Yawezekana unafanya shughuli nyingi bila kupumzika. Jaribu kupumzika. Pia huenda ukawa unampenda mpenzi wako kumbe umemzoea. Uaweza pia toka nje uone kama linajirudia.
Kuna demu anazingua japo hakatai mitoko. Nielekeze zinakouzwa nimalize game!Ndio!!! Tenawanaume wengine wanawapa wasichana wao bila wao kujua [emoji23][emoji23][emoji23]
"Don't do this at home!"
mkuu we tiririka ma ginius wameshakuelewa unaelekea wapisijakulupuka kumuuliza hilo swali kwa bahati mbaya au nzuri mimi huwa sipendi kuwakwaza watu
Huyu dada najaribu kumuuliza maswali ili nione tatizo lake ni swala la psychology au ni suala la homoni.
Kwa hiyo kuwa mpole tu mimi sio chizi kumuuliza hilo swali
Sijawahi kukorofishana nae na tunaishi kirafiki mno.Mliwah kukorofisha na mpenz wako mpaka ukafika hali yakutokua na hisia nae..? Maana kama kuna jambo uliumizwa na mpnz wako emotional connections hupotea..na kukosa mzuka na mpnz wako.
Wanawake wenzako tunakula nao vipande na supu za pweza barabarani, huenda wao pia walikuwa na tatizo kama lako.Wahenga walisema "Mficha uchi hazai".
Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo.
Sio mpenzi wa picha za ngono, sio mlevi wala mvuta sigara, nakula vizuri, sina msongo wa mawazo, vipimo vinaonesha homoni ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.
Ndugu zangu kama kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!
Achana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.Asante kwa kunifumbua macho itabidi nami nijiwekee hako ka utaratibu wa kula vipande vya pweza barabarani.
asanteKila la heri
Asante kwa ushauri wako,tatizo ni kwamba kila nikifikiria kitu gani kimebadilika maishani mwangu kiasi cha kupelekea hali hii sikioni. Mpenzi wangu nampenda na ni gentleman hasa.Achana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.
hata ukichezewa kisimi hulowani?Asante kwa ushauri wako,tatizo ni kwamba kila nikifikiria kitu gani kimebadilika maishani mwangu kiasi cha kupelekea hali hii sikioni. Mpenzi wangu nampenda na ni gentleman hasa.
yaani mimi nikipigiwa tu simu nalowa chepechepe ujiAchana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.
ukiguswa kisimi hulowani?Hongera sana mamy!
loh ushalogwa vibaya shosti ila fanya hivi kula sana karanga,maziwa ,parachichi pia bamia na nyanya chungu na asali. fanya kwa mwezi uone itakuwajeHata afanyeje silowi hata