Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Nina upungufu wa nguvu za kike, waungwana nisaidieni!

Mliwah kukorofisha na mpenz wako mpaka ukafika hali yakutokua na hisia nae..? Maana kama kuna jambo uliumizwa na mpnz wako emotional connections hupotea..na kukosa mzuka na mpnz wako.
 
sijakulupuka kumuuliza hilo swali kwa bahati mbaya au nzuri mimi huwa sipendi kuwakwaza watu

Huyu dada najaribu kumuuliza maswali ili nione tatizo lake ni swala la psychology au ni suala la homoni.

Kwa hiyo kuwa mpole tu mimi sio chizi kumuuliza hilo swali
mkuu we tiririka ma ginius wameshakuelewa unaelekea wapi
 
Jenga tabia ya kumpa taarifa mpenzi wako kama unataka mechi,mfano mn doo saa moja jioni aanza kumuandaa kisaikolojia saa mbili asubuhi hivohivo na yeye atafanya kwako mfano kuchat nk mambo ya kupigana m...bo.o ingawa ilikuwa vizur yeye ndo aanze kukuandaa wewe kisaikolojia,ila kwa kua hayupo wew fanya hivyo yeye atale spond,kuna watu ambao hisia zao zko chini tu automatically
 
Mliwah kukorofisha na mpenz wako mpaka ukafika hali yakutokua na hisia nae..? Maana kama kuna jambo uliumizwa na mpnz wako emotional connections hupotea..na kukosa mzuka na mpnz wako.
Sijawahi kukorofishana nae na tunaishi kirafiki mno.
 
Wahenga walisema "Mficha uchi hazai".
Jamani nisaidieni,mwenzenu sina hamu kabisa ya kufanya mapenzi. Hata niandaliwe vip au nijiandae kisaikolojia namna gani nabaki mkavu na sifurahii tendo la ndoa hata kidogo.

Sio mpenzi wa picha za ngono, sio mlevi wala mvuta sigara, nakula vizuri, sina msongo wa mawazo, vipimo vinaonesha homoni ziko sawa lakini tatizo limekuwa sugu siku hadi siku. Nilienda hospitali sikupata msaada zaidi ya kushauriwa kutumia K-Y gel.

Ndugu zangu kama kuna anayejua matibabu au suluhisho la tatizo hili anisaidie kwani hii hali inanitesa sana. Asanteni!
Wanawake wenzako tunakula nao vipande na supu za pweza barabarani, huenda wao pia walikuwa na tatizo kama lako.
 
Wanawake wenzako tunakula nao vipande na supu za pweza barabarani, huenda wao pia walikuwa na tatizo kama lako.
Asante kwa kunifumbua macho itabidi nami nijiwekee hako ka utaratibu wa kula vipande vya pweza barabarani.
 
Asante kwa kunifumbua macho itabidi nami nijiwekee hako ka utaratibu wa kula vipande vya pweza barabarani.
Achana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.
 
Achana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.
Asante kwa ushauri wako,tatizo ni kwamba kila nikifikiria kitu gani kimebadilika maishani mwangu kiasi cha kupelekea hali hii sikioni. Mpenzi wangu nampenda na ni gentleman hasa.
 
Asante kwa ushauri wako,tatizo ni kwamba kila nikifikiria kitu gani kimebadilika maishani mwangu kiasi cha kupelekea hali hii sikioni. Mpenzi wangu nampenda na ni gentleman hasa.
hata ukichezewa kisimi hulowani?
 
Achana na mambo ya pweza mama.. Na mvua hzi utapatwa na kipindupindu bure.. Nadhan tatizo lako lipo kisaikolojia zaidi.. So wahiwaji kucheza na saikologia yako.. Kumbuka vitu vilivokua vinakufanya unanyevuka ( becoming wet) ulipo kua na mpnz wako hapo zaman. Jaribu chunguza kipi kimepunguza hisia zako hata kupelekea kua mkavu unapokua falagha na mpnz wako. Then fanyia kazi.. Utashangaa mambo yatakavokua.. Mwanamke kawaida akiwa anahisia na mpnz wake.. Hata kwa kumuona mumewe tayar uanza kunyevuka.
yaani mimi nikipigiwa tu simu nalowa chepechepe uji
 
Back
Top Bottom