mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Hahahaa dah kweli kaka,mtu kama huyu ndio shemeji yako,au ndugu yako hatar sana,ngoja tuone kwenye majina ya dr.kigwangallaView attachment 470897
Ndo maana siku hizi mademu wanasumbuliwa sana na stress!! Eti ndo unakuta boyfriend wake mtu huyu!!!
Ulitamani diamind akuzalishe wewe?Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
ni kweli si watoto wa Domo ni wa kwako mkuu ,hongeraNi muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
nigga you should go get some sleep,,,,,Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Anzia hapa kufikiria! Wewe unaweza ukampa mkeo mtu atafute nae kiki? Alafu kitu kingine ni kwamba mond ana mtoto mwingine zaidi ya tifa na wamefanana kama mapachaNi muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Fanya kazi wewe, wenzio wana pesa. Wapi waliwahi kusema wanaishi kwa ajili yako hadi useme wanakudanganya?Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
Ukifuatilia historia ya wawili hao tangu wanatoka Uganda na kuenda kufanya uganga wa kienyeji SA unaweza ukaamini hii couple ina uwezo wa kufanya chochote kwa ajili ya maisha mazuri. Kilicho kichwani kwa mtu ni vigumu sana wa pembeni kukielewa.Wakati ule majority wanaamini Ivan na Zari wanamchezea Mond ili wamuingize king, niliwahi kuuliza hapa hivi kweli kuna mwenye moyo wa kumuacha "mke" wake akapigwe miti kirahisi namna hiyo!!!
Achana na machungu ya kumegewa bhana... watu watasingizia kila mahali, lakini eti amwachie mwanamke ambae alikuwa sehemu ya maisha yake awe anabiringishwa bingili bingili; thubutu!!!
Umasikini unanunuliwa ila utajiri wa mtu Ni akili. Chibu kunasiku ataomba michango wote mtanikumbuka.Ni muda sasa umepita huku kila mtu akiendelea kucheki haya mapenzi ya Staa wa Bongo na huju Jimama Zari. Kimsingi mimi naona kama wanatuactia tu na kiundani ni kuwa hakuna mapenzi yoyote kati yao! Zaidi kilichopo ni kutafuta Kick!
Watoto wote wa zari tunaodanganywa kuwa ni wa Diamond, Sidhani kama ni wake kweli, ila nafikiri wale ni watoto wa Mume wake Zari!
Hivyo Zari hadi sasa bado yupo na mume wake kama kawaida! Na mwisho wa siku lazima watakuja kurudiana!
Nafikiri kuwa wapo pamoja ili kutengeneza jina, na si kwa mapenzi! Kwa walio wazuri kwenye kufikiria na imani watakuwa wameanza kustuka.
Ngoja tuendelee kutizama movie hii tutaona mwisho wake.
View attachment 470888
bwabwaaaaaaaaaaaaaaaIli ni dume kweli jaman