Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

Unaushahidi na unachokisema au unazungumza kujifurahisha,..

Ukongea mambo unapaswa uwe na ushahidi.

Unaweza kutaja shule au chuo chochote kilichojengwa na waarabu wakati wa ukoloni?
Ushahidi ni mimi mwenyewe, nimeuishi wakati huo. Ukipeda pokea usipopenda puuza.

Uliza na babu zako watakueleza.
 
Kulingana na UNESCO hadi mwaka 2015, kiwango cha watu wazima kusoma na kuandika cha ni 77.89% nchini Tanzania. Wakati kiwango cha wanaume kusoma na kuandika ni 83.2%, kwa wanawake ni 73.09%, kuonyesha pengo kati ya jinsia.

Kwa mujibu wa taarifa nyingi zilizopo ni kwamba Tanzania imeshuka kwa zaidi ya 10% kulinganisha na kiwango kilichokuwepo miaka ya 70. Ripoti zinasema Tanzania ilikuwa na literacy rate ya kwenye 90% ambacho ni kiwango cha juu sana kwa nchi. Kwa ufupi bongo kwa miaka hiyo watu karibu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika. Hakika serikali ya Mwalimu iliupiga mwingi.

Nimeanza na utangulizi huo uliokaa kisomi ili sasa nieleze kwanini nimeandika huu uzi. Kwa muda mrefu kuna nimekuwa nikikerwa mno na jinsi watu wengi wanavyoshindwa kuandika vizuri maandishi yao bila kukosea. Matumizi yasiyo sahihi herufi "L" na "R" yamekuwa changamoto kubwa. Isitoshe mtaani tunamoishi kuna watu wengi sana wasiojua kuandika kabisa wala kusoma. Wala halihitaji sana utafiti kujua kwamba kuna hili tatizo.

Mitandao ya kijamii imesaidia sana kujua ukubwa wa tatizo. Watu wengi mno ukisoma comments na captions zao utapandwa na jazba mno. MwanaJF FaizaFoxy huuliza kwamba huko shuleni ulienda kusomea ujinga? [emoji1787][emoji1787]. Watu maarufu wengi hasa wanamuziki na wanafilamu/maigizo (bongo movie) wamekuwa vinara wa maandishi yaliyokosewa kuandikwa iwe kiswahili au kiingereza. Ukitembelea mtandao wa Facebook ndo utaona maajabu mengi hadi unatamani watu wanyang'anywe simu na kurudishwa darasani kwa lazima.

Mimi nashauri wazazi wawafuatilie watoto wao toka wakiwa wadogo ili kujenga mtanzania ambaye hatatia aibu kwa kushindwa hata kuandika na kusoma lugha ya kiswahili. Waalimu nao wasiwe nyuma kutimiza wajibu wao. Wale waalimu wa zamani wa mwandiko darasa la kwanza na la pili bado wapo? Serikali nayo ifuatilie kila kitu kwa karibu sana kwa sababu kwa ninayoyaona mtandaoni huenda tumeshashuka tena.
Sio kwamba tumeshuka, tumeporomoka.!! Hata hiyo 70% kama ipo ni bahati. Hali ni mbaya !!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hapo inamaanisha Mkoloni aliwasomesha watu kuliko toka tupate uhuru. Simpo. Maana mtu mzima wa mwaka 70 alisomeshwa mwaka gani? "Obviously" ni kabla ya Uhuru.

Tena waweke wazi, kila mtu aelewe kuwa, wengi wao hao watu wazima walioweza kusoma na kuandika ilikuwa ni kwa kutumia hati za Kiarabu.

Madrasssa hoyeee.
Mwl Nyerere alianza mkakati wa elimu kwa wote ikihusisha UPE na EWW .watu wote wasiojua kusoma na kuandika waliandikishwa na wakaanza kufundishwa kusoma na kuandika. Zoezi hili lilifanyika kwenye madarasa ya shule za msingi, na sehemu nyingine . Wazee kwa vijana waliingizwa madarasani. Nyerere aliupiga mwingi hakika !!!! Haya yalitokea miaka ya sabini....haimaanishi 1970 !!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mwl Nyerere alianza mkakati wa elimu kwa wote ikihusisha UPE na EWW .watu wote wasiojua kusoma na kuandika waliandikishwa na wakaanza kufundishwa kusoma na kuandika. Zoezi hili lilifanyika kwenye madarasa ya shule za msingi, na sehemu nyingine . Wazee kwa vijana waliingizwa madarasani. Nyerere aliupiga mwingi hakika !!!! Haya yalitokea miaka ya sabini....haimaanishi 1970 !!!!!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hapo umeeleweka. Wote "wasiojuwa kusoma na kuandika" haimaanishi kuwa kuna ambao walikuwa hawajui kusoma na kuandika maandiko ya kilatini, basi hawajui kusoma na kuandika maandiko ya Kiarabu.

Ukoloni wa Wazungu kuja kwao Afrika walikuta watu wana ustaarabu wao, wana maandiko yako, wana elimu zao. Jee unajuwa yalikuwa yepi hayo?
Kwa kukujuza tu, hapa Afrika Maandiko yaliokuwepo yalikuwa kwa lugha ya Kiarabu na "KiEthiopia.". Afrika Mashariki na ukanda wote wa Pwani ya Afrika Mashariki lugha na masomo ya Kiarabu, toka enzi hizo mpaka leo hii huanza kwa watoto wa wa Kiislam hata kabla ya kwenda shule za secular. Hulijuwi hilo? Soma...

2. Zanzibar: the margins of the Arab world
Very little has been written on the history and status of the Arabic language in
Zanzibar. During the last 150 years, only two publications have addressed this
issue: the first one, published by C. Reinhardt in 1894 and titled Ein arabischer
Dialekt gesprochen in ‘Omān und Zanzibar: nach praktischen Gesichtspunkten für
das Seminar für orientalische Sprachen in Berlin, discussed the Arabic spoken in
Oman and Zanzibar. The second paper, A Basic Vocabulary in Zanzibar Arabic,
was published in 1994 by A. Nakano. The lack of research during the twentieth
century can be attributed to a chain of political, social, and economic uphea-
vals that transformed Zanzibar. Two of the most crucial events were the
gaining of Independence in 1963 and the Revolution of 1964, after which
a great number of Zanzibaris of non-African descent, led at first by Arabs,
started to leave the islands, often trying to save their lives. The lack of research
on the status of Arabic in Zanzibar is especially surprising because there is
a strong interest among Arabists regarding the status of the Arabic language
on the periphery of the Arab world and especially regarding the question of
the emergence of the so-called contact languages that are understood to be
a stable fusion of Arabic and local languages (Versteegh 1993; Miller 2002).
That being said, there have been several publications that discussed in rather
general terms the history of Arabic presence in the region (Lodhi 1986, 1994a,
2005a, 2005b), In parallel to that, some research has been conducted on the
role the Arabic language, together with other oriental (cursive is mine) lan-
guages, mostly Farsi, Indian, and Turkish, has had in the development of
Swahili in both linguistic and cultural domains (Krumm 1940; Lodhi 2000a,
2000b).
At the same time, substantial research has been done during the last
30 years that has been predominantly linked to Arabic pidgins, creoles, as
well as koines and lingua franca; this research was mostly focused on Arabic
spoken in the Southern Sudan (Versteegh 1993; Miller 2002; Manfredi 201

Soma zaidi: https://www.degruyter.com/document/doi/10.1080/21698252.2019.1570663/pdf


Nyererealijitahidi kwa uwezo wa upeo wake na kutokana na elimu aliyosomeshwa yeye. Lakini ukiisoma hata historia ya Nyerere alipokuja Dar na kukaribishwa kwenye harakati za kudai Uhuru alikuta wapo wasomi, tena wasomi kweli kweli kwa lugha zote.

Kama baada ya 70s ilifanywa sensa ya kujuwa ni nani ajuae kuandika na kusoma, basi elewa kuwa hakuna Mzee wa Kiislam aliyepia madrassa ambae alikuwa hajui kusoma na kuandika kwa Kiarabu.

Soma hata historia ya babu zako na machifu wa kwenu huko, kabla ya kuja mzungu walikuwa wanatumia maandiko yepi kuwasiliana?

Wasome kina Mkwawa, wasome kina Kimweri, wasome kina Fundikira, wasome watawala wa kwenu. Mbona mambo yapo wazi kabisa.
 
Nimekuambia nitajie shule moja au Chuo kimoja kilichofundisha Kiswahili Kwa Alfabeti za kiarabu na ilikuwa mwaka gani?

Sio uongee pumba hapa
Chuo cha Dar Es Salaam. Hivi unaelewa kuwa hilo jina unalolijuwa wewe kuwa ni jiji kubwa katika Tanzania lilianza kama chuo? Naam, chuo cha Waislam na mpaka leo majengo yanayotumiwa kama Ikulu ndio hicho chuo cha Waislam kwa jina Dar us Salaam? na Hospital ya Ocean Road ya leo hii ndiyo ilikuwa mabweni ya hicho chuo?

Mnashangaza sana mnapojidai kuwa hata historia yenu hamuielewi. Kama mlijazwa ujinga shule basi mnashindwa hata kujisomea wenyewe historia> Hizo simu na mtandao mnazitumia kwa ujinga tu na sio kwa kujisomea mkajielewa?

Msomi mmoja wa historia nimemsikia akisema "historia ni kama kioo cha kujitazamia" Ulivyo, sasa wewe kama hata histpria yako huijuwi unajitazama vipi?

Vyuo kwa jina la vyuo vyote. Au huelewi kuwa "madrassa" za Kiislam kwa jina lingine ni vyuo? Hujawahi kuwasikia watoto wa Kiislam wakienda "chuoni"? Utakuwa huishi Tanzania au haupo duniani kama huyajuwi hayo.

Ni Mtanzania au Mwafrika mjinga tu leo hii asiyeyaelewa hayo, tunakuombea Mungu uelimike kwa kujisomea sio kujazwa ujinga tu na waliokugawa wakakutawala.

Leo hii ukiambiwa hii himaya yako yenu yote unaoijuwa wewe kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar kabla ya Wazungu kukaa katika mkutano wao maarufu huko Berlin na kujigawia dunia kama keki. Unalielewa hilo?
 
Chuo cha Dar Es Salaam. Hivi unaelewa kuwa hilo jina unalolijuwa wewe kuwa ni jiji kubwa katika Tanzania lilianza kama chuo? Naam, chuo cha Waislam na mpaka leo majengo yanayotumiwa kama Ikulu ndio hicho chuo cha Waislam kwa jina Dar us Salaam? na Hospital ya Ocean Road ya leo hii ndiyo ilikuwa mabweni ya hicho chuo?

Mnashangaza sana mnapojidai kuwa hata historia yenu hamuielewi. Kama mlijazwa ujinga shule basi mnashindwa hata kujisomea wenyewe historia> Hizo simu na mtandao mnazitumia kwa ujinga tu na sio kwa kujisomea mkajielewa?

Msomi mmoja wa historia nimemsikia akisema "historia ni kama kioo cha kujitazamia" Ulivyo, sasa wewe kama hata histpria yako huijuwi unajitazama vipi?

Vyuo kwa jina la vyuo vyote. Au huelewi kuwa "madrassa" za Kiislam kwa jina lingine ni vyuo? Hujawahi kuwasikia watoto wa Kiislam wakienda "chuoni"? Utakuwa huishi Tanzania au haupo duniani kama huyajuwi hayo.

Ni Mtanzania au Mwafrika mjinga tu leo hii asiyeyaelewa hayo, tunakuombea Mungu uelimike kwa kujisomea sio kujazwa ujinga tu na waliokugawa wakakutawala.

Leo hii ukiambiwa hii himaya yako yenu yote unaoijuwa wewe kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar kabla ya Wazungu kukaa katika mkutano wao maarufu huko Berlin na kujigawia dunia kama keki. Unalielewa hilo?

Unaumwa wewe!

Chuo cha Dar es salaam kilijengwa wakati WA ukoloni wa muingereza, tena ilikuwa College tuu.

Waarabu hawakuwahi kujihusisha na mambo ya Elimu hapa Tanzania,
Walijihusisha na biashara, utawala na mambo ya kidini.

Kuhusu Ikulu hiyo ni nje ya Mada.

Nimekuambia utaje ni shule ipi au Chuo kipi kilijengwa na Waarabu naona huna unachojua unakalia kuongea maneno ya vijiweni sidhani hata hicho Chuo ulichokitaja umekisoma licha ya kuwa kipo katika miji yenu.

Tatizo lako Faiza umekuwa mlevi WA Imani yako ndio maana kila kitu unaongea Kama Mlevi wa pombe, unazungumzia ushabiki.
 
Mkuu na hili tatizo litazidi kua kubwa kwa hali ya maisha ya sasa wazazi hawawafatilii sana watoto wao wako bize na kusaka pesa. Kiasi kwamba mtoto kwenda au kutokwenda shule ni hiari yake tu.

Mi nawajua vijana kama wawili hivi wasiojua kusoma wala kuandika kabisaaa, achilia mbali hawa wasiojua kuandika ila kusoma wanajitahidi.

Hili kundi la wasiojua kuandika ni kubwa mno mno , hizi simu ndo zimekuja kuharibu kabisaa, imagine dogo wa miaka 16 anakuta kumbe kutuma text kwa kutumia s ni ushamba badala yake anajizoesha kutumia x wakati kwenye kiswahili haipo hiyo herufi.

Watu kibao wameidhibisha matumizi ya X kwenye kiswahili, hata humu jf kuna watu kibao wanaandika xaxa badala ya sasa.
 
Chuo cha Dar Es Salaam. Hivi unaelewa kuwa hilo jina unalolijuwa wewe kuwa ni jiji kubwa katika Tanzania lilianza kama chuo? Naam, chuo cha Waislam na mpaka leo majengo yanayotumiwa kama Ikulu ndio hicho chuo cha Waislam kwa jina Dar us Salaam? na Hospital ya Ocean Road ya leo hii ndiyo ilikuwa mabweni ya hicho chuo?

Mnashangaza sana mnapojidai kuwa hata historia yenu hamuielewi. Kama mlijazwa ujinga shule basi mnashindwa hata kujisomea wenyewe historia> Hizo simu na mtandao mnazitumia kwa ujinga tu na sio kwa kujisomea mkajielewa?

Msomi mmoja wa historia nimemsikia akisema "historia ni kama kioo cha kujitazamia" Ulivyo, sasa wewe kama hata histpria yako huijuwi unajitazama vipi?

Vyuo kwa jina la vyuo vyote. Au huelewi kuwa "madrassa" za Kiislam kwa jina lingine ni vyuo? Hujawahi kuwasikia watoto wa Kiislam wakienda "chuoni"? Utakuwa huishi Tanzania au haupo duniani kama huyajuwi hayo.

Ni Mtanzania au Mwafrika mjinga tu leo hii asiyeyaelewa hayo, tunakuombea Mungu uelimike kwa kujisomea sio kujazwa ujinga tu na waliokugawa wakakutawala.

Leo hii ukiambiwa hii himaya yako yenu yote unaoijuwa wewe kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar kabla ya Wazungu kukaa katika mkutano wao maarufu huko Berlin na kujigawia dunia kama keki. Unalielewa hilo?
Tatizo unalazimisha wote tuamini dini yako. Dini ni mojawapo ya mambo ya kijinga sana ambayo wakoloni waliyatumia kuutweza utu wa mwafrika
 
Chuo cha Dar Es Salaam. Hivi unaelewa kuwa hilo jina unalolijuwa wewe kuwa ni jiji kubwa katika Tanzania lilianza kama chuo? Naam, chuo cha Waislam na mpaka leo majengo yanayotumiwa kama Ikulu ndio hicho chuo cha Waislam kwa jina Dar us Salaam? na Hospital ya Ocean Road ya leo hii ndiyo ilikuwa mabweni ya hicho chuo?

Mnashangaza sana mnapojidai kuwa hata historia yenu hamuielewi. Kama mlijazwa ujinga shule basi mnashindwa hata kujisomea wenyewe historia> Hizo simu na mtandao mnazitumia kwa ujinga tu na sio kwa kujisomea mkajielewa?

Msomi mmoja wa historia nimemsikia akisema "historia ni kama kioo cha kujitazamia" Ulivyo, sasa wewe kama hata histpria yako huijuwi unajitazama vipi?

Vyuo kwa jina la vyuo vyote. Au huelewi kuwa "madrassa" za Kiislam kwa jina lingine ni vyuo? Hujawahi kuwasikia watoto wa Kiislam wakienda "chuoni"? Utakuwa huishi Tanzania au haupo duniani kama huyajuwi hayo.

Ni Mtanzania au Mwafrika mjinga tu leo hii asiyeyaelewa hayo, tunakuombea Mungu uelimike kwa kujisomea sio kujazwa ujinga tu na waliokugawa wakakutawala.

Leo hii ukiambiwa hii himaya yako yenu yote unaoijuwa wewe kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar kabla ya Wazungu kukaa katika mkutano wao maarufu huko Berlin na kujigawia dunia kama keki. Unalielewa hilo?
Dini inakupeleka puta sana ndgu yangu.

Mbona mnalazimishia sana historia yenu ya kubandika kwa gundi.
Yaani Tanganyika ilikua Zanzibar!??? Mtawala wa wakati huo alikua nani?
Alitawala vipi eneo lote hilo??
Ni kipi kilitokea hadi utamaduni wa Zanzibar haukuenea maeneo yote ama hiyo Zanzibar ilikua ni jina tu na sio miliki ya wazenji??
 
Chuo cha Dar Es Salaam. Hivi unaelewa kuwa hilo jina unalolijuwa wewe kuwa ni jiji kubwa katika Tanzania lilianza kama chuo? Naam, chuo cha Waislam na mpaka leo majengo yanayotumiwa kama Ikulu ndio hicho chuo cha Waislam kwa jina Dar us Salaam? na Hospital ya Ocean Road ya leo hii ndiyo ilikuwa mabweni ya hicho chuo?

Mnashangaza sana mnapojidai kuwa hata historia yenu hamuielewi. Kama mlijazwa ujinga shule basi mnashindwa hata kujisomea wenyewe historia> Hizo simu na mtandao mnazitumia kwa ujinga tu na sio kwa kujisomea mkajielewa?

Msomi mmoja wa historia nimemsikia akisema "historia ni kama kioo cha kujitazamia" Ulivyo, sasa wewe kama hata histpria yako huijuwi unajitazama vipi?

Vyuo kwa jina la vyuo vyote. Au huelewi kuwa "madrassa" za Kiislam kwa jina lingine ni vyuo? Hujawahi kuwasikia watoto wa Kiislam wakienda "chuoni"? Utakuwa huishi Tanzania au haupo duniani kama huyajuwi hayo.

Ni Mtanzania au Mwafrika mjinga tu leo hii asiyeyaelewa hayo, tunakuombea Mungu uelimike kwa kujisomea sio kujazwa ujinga tu na waliokugawa wakakutawala.

Leo hii ukiambiwa hii himaya yako yenu yote unaoijuwa wewe kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar kabla ya Wazungu kukaa katika mkutano wao maarufu huko Berlin na kujigawia dunia kama keki. Unalielewa hilo?

Huna unachojua kuhusu mambo ya elimu ya Duniani ni Kheri ukautumia muda wako kujifunza zaidi kuliko kudhani Sisi ni wajukuu zao WA kudanganywa danganywa,

Kasome tena Uijue udsm uone Kama kuna uhusiano wake na Waislam au Waarabu.

Unapozungunzia Elimu huwezi mtaja Muarabu hata Kwa kukosea, labda elimu ya Quran lakini elimu Dunia Waarabu hawana Mchango mkubwa,

Elimu utazungumzia watu jamii zifuatazo;
1. Ancient Egypt
2. Ancient Greek
3. Ancient Roma
4. Wajerumani
5. Waingereza
Mpaka umfikie Muarabu ni huko mwisho kabisa karibu na Waafrika.
Muarabu na muafrika hawajaachana Sana
 
Dini inakupeleka puta sana ndgu yangu.

Mbona mnalazimishia sana historia yenu ya kubandika kwa gundi.
Yaani Tanganyika ilikua Zanzibar!??? Mtawala wa wakati huo alikua nani?
Alitawala vipi eneo lote hilo??
Ni kipi kilitokea hadi utamaduni wa Zanzibar haukuenea maeneo yote ama hiyo Zanzibar ilikua ni jina tu na sio miliki ya wazenji??
Hapana, hatulazimishi kitu, tunaandika ukweli ambao wewe huupendi. Kama tumesema uongo wewe weka ukweli uujao na sisi tuta prove kuwa huo ukweli wako ni ujinga uliojazwa nao na waliokugawa wakutawale. Na kwa akili kama zako utatawaliwa maisha, Hilo kumbuka.

Dini ni njia, njia ipi? Simpo. Ni njia ya kufata ili uishi vyema na ikufikishe kwenye mwisho mwema, sasa wewe kama huna dini, maana yake ni kuwa hauna njia ya kufata. Ni juha tu. Simpo.
 
Unaumwa wewe!

Chuo cha Dar es salaam kilijengwa wakati WA ukoloni wa muingereza, tena ilikuwa College tuu.

Waarabu hawakuwahi kujihusisha na mambo ya Elimu hapa Tanzania,
Walijihusisha na biashara, utawala na mambo ya kidini.

Kuhusu Ikulu hiyo ni nje ya Mada.

Nimekuambia utaje ni shule ipi au Chuo kipi kilijengwa na Waarabu naona huna unachojua unakalia kuongea maneno ya vijiweni sidhani hata hicho Chuo ulichokitaja umekisoma licha ya kuwa kipo katika miji yenu.

Tatizo lako Faiza umekuwa mlevi WA Imani yako ndio maana kila kitu unaongea Kama Mlevi wa pombe, unazungumzia ushabiki.
Duh. Mimi nakwambi Ikulu ilikuwa chuo cha Waislam na ndipo ukapata jina Dar Us Salaam. Wewe unakuja na uongo eti "chuo kilijengwa wakati wa muingereza", huyo 'muingereza wako yupi aliyenjenga chupo Tanganyika na hicho chuo kinaitwaje.

Dah, utakuta wewe huwa unasema umesoma mpaka chuo kikuu. Hakika umesomea ujinga.
 
Hapana, hatulazimishi kitu, tunaandika ukweli ambao wewe huupendi. Kama tumesema uongo wewe weka ukweli uujao na sisi tuta prove kuwa huo ukweli wako ni ujinga uliojazwa nao na waliokugawa wakutawale. Na kwa akili kama zako utatawaliwa maisha, Hilo kumbuka.

Dini ni njia, njia ipi? Simpo. Ni njia ya kufata ili uishi vyema na ikufikishe kwenye mwisho mwema, sasa wewe kama huna dini, maana yake ni kuwa hauna njia ya kufata. Ni juha tu. Simpo.

Wewe Kama unasema Chuo kikuu cha Udsm kilikuwa cha Waislam huoni kama unatatizo la Msingi?
Sijui ulidanganywa na Nani mambo hayo, aliyekudanganya alikudharau na kukuona huna akili za kutosha kuchambua mambo.

Mwisho utasema Tanganyika ilikuwa nchi ya kiislam 😀😀
 
Duh. Mimi nakwambi Ikulu ilikuwa chuo cha Waislam na ndipo ukapata jina Dar Us Salaam. Wewe unakuja na uongo eti "chuo kilijengwa wakati wa muingereza", huyo 'muingereza wako yupi aliyenjenga chupo Tanganyika na hicho chuo kinaitwaje.

Dah, utakuta wewe huwa unasema umesoma mpaka chuo kikuu. Hakika umesomea ujinga.

Hujui mwaka 1961 Chuo cha udsm kilikuwa Tawi la chuo kikuu cha London? Na ilikuwa College tuu Wala haikuwa Chuo kikuu!
 
Hapana, hatulazimishi kitu, tunaandika ukweli ambao wewe huupendi. Kama tumesema uongo wewe weka ukweli uujao na sisi tuta prove kuwa huo ukweli wako ni ujinga uliojazwa nao na waliokugawa wakutawale. Na kwa akili kama zako utatawaliwa maisha, Hilo kumbuka.

Dini ni njia, njia ipi? Simpo. Ni njia ya kufata ili uishi vyema na ikufikishe kwenye mwisho mwema, sasa wewe kama huna dini, maana yake ni kuwa hauna njia ya kufata. Ni juha tu. Simpo.
Kwani ukiishi vyema bila kua na dini kuna tatizo ndgu?

Hujanijibu nilichouliza mkuu, nimekuuliza mambo ya Tanganyika unanielezea kuhusu dini na huo ukweli sijui tumelishwa ili tutawaliwe.

Halafu haya mambo ya historia ni kuyasoma na kuchanganya na zako, kwasababu mtu unaposoma kuhusu jambo fulani mara nyingi akili yako inakua inajua kiasi kuhusu hili na pia unakua na kile moyo wako unaamini kua ni kweli na kuukubali ukweli huo.

Historia ni mambo ambayo mtu anakua bias kwa kutaka/kuamini kile roho yake inapenda ikisikie/kukisoma ni mara chache mtu/watu huweza kubadili historia ya kitu/watu na ni kwa akili kubwa, maarifa na huchukua muda pia.

Em tupe hiyo historia ya Tanganyika/Zanzibar ya kabla ya ukoloni, huenda baadhi tukaamini usemayo na kulisha vizazi vyetu pia.

Karibu.
 
Duh. Mimi nakwambi Ikulu ilikuwa chuo cha Waislam na ndipo ukapata jina Dar Us Salaam. Wewe unakuja na uongo eti "chuo kilijengwa wakati wa muingereza", huyo 'muingereza wako yupi aliyenjenga chupo Tanganyika na hicho chuo kinaitwaje.

Dah, utakuta wewe huwa unasema umesoma mpaka chuo kikuu. Hakika umesomea ujinga.
Sema hiko Chuo cha kiislam kilikuwa mwaka gani katika nchi ipi?
Ili ujue wewe ndio mjinga
 
Hujui mwaka 1961 Chuo cha udsm kilikuwa Tawi la chuo kikuu cha London? Na ilikuwa College tuu Wala haikuwa Chuo kikuu!
Mbona hajataja Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)? Kasema Chuo cha Dar es Salaam kwa kufafanua kwamba kilikuwa chuo cha waislam ilipo ikulu ya Dar es Salaam. Jitahidini kusoma comment na kuielewa vinginevyo huyu bibi atawaburuza.
 
Back
Top Bottom