Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

Nina wasiwasi idadi ya wasiojua kusoma na kuandika inazidi kuongezeka nchini Tanzania

Mtoa mada ameleta kitu very positive tujadili anakuja mtu kuleta mambo ya dini humu,ni strong sense of inferiority na uduni wa fikra katika kuchambua mambo.
1.Chuo kikuu cha Dar-es-salaam hakina uhusiano hata kidogo na dini fulani ila mahitaji ya wataalamu kwa kipindi hicho kilisukuma kujengwa kwake kikianza kusomesha wanasheria
2.kusema miaka ya 70 aliposema mtoa mada si kwa maana watu wa miaka 70 na si kweli mkoloni alisomesha watu wengi hivyo,la hasha ila Nyerere katika kupambana na maadui wakuu watatu wa taifa kwa wakati huo (umasikini,ujinga na magonjwa) aliona watu wakufanya ayo mapambano ni watu wazima na si watoto hvyo program tajwa na moja ya mchangiaji zilianzishwa ili watu wazima ambao waliachwa mbu mbu mbu na mkoloni wapate elimu kwa lengo ja tajwa hapo juu.
3. Ukisema wakoloni walitumia lugha ya kiarabu kufundishia ama mawasiliano,unaongelea wapi?na wht is point of it?maana navyofahamu kwa Tanganyika shule zilijengwa nyingi sana Kilimanjaro na Kagera na kote walitumia kingereza na kijerumani,hali kadhalika masasi-Mtwara, Tabora na kwngneko,wapi ilitumika lugha ya kiarabu kufundishia?
4.Mada za chuo ama shule fulani ilijengwa na watu wa imani fulani inaletwa sana na watu wa imani fulani ambao hawakujenga hata,wakoloni walijenga mashule,vyuo na mahospitali nying tuu mfano muhimbili kwa jna la sasa,Late HE.Nyerere kupitia ujamaa na gud wil akachukua vyuo,shule za serikali mpk za wamisionari na kuzitaifisha,hapo watoto wa imani tofauti wakamiminika mashuleni kupata elimu na angalau kucatch-up na wenzao wa kikristo ambao walishakua wakinufaika for years na huduma hizo,sasa ukisema watu wa imani kiislamu walisoma sana zaidi ya wengne najiuliza elimu ya dini ama hii elimu dunia?
5. Ukosefu wa elimu kwa waislam mpk kufikia kipindi cha harakati za kudai uhuru ndio ulipelekea wao kupitia jumuia yao AMNUT kuomba uhuru ucheleweshwe ili kupata muda wa wao kupata elimu la sivyo watatawaliwa na wenzao wakikristo.
6.Mpaka leo bado zipo taasisi nyingi tuu za kikristo zpo chini ya serikali wamegomea kuzirudisha na wote tunazitumia bila kujali imani zetu,mfano Marangu Teachers College.Name taasisi za imani tofauti zilizochukuliwa for good na serikali.
Mwisho,natamani sana tuwe na mijadala huru bila kujionyesha tofauti zetu za kiitikadi hasa dini na kabila kwa kuwa mijadala hii inahusisha imani na si logic na pia unazi ama ushabiki ambao unaambatana na vingi tusivyovifahamu.
 
Mbona hajataja Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)? Kasema Chuo cha Dar es Salaam kwa kufafanua kwamba kilikuwa chuo cha waislam ilipo ikulu ya Dar es Salaam. Jitahidini kusoma comment na kuielewa vinginevyo huyu bibi atawaburuza.

Nimemuelewa vizuri tuu.
Hicho Chuo cha kiislam alichokiita Chuo cha Dar es salaam kilianzishwa Mwaka gani?

Kilikuwa chuo kama College au University?
Au ndio kama hizi madrasa zilizopo mtaani zinazoitwa Chuo.
Kama ni hizi madrasa ndio iliitwa Chuo basi naomba mjadala niishie hapa nisije zua tafrani
 
Sema hiko Chuo cha kiislam kilikuwa mwaka gani katika nchi ipi?
Ili ujue wewe ndio mjinga
Hana jibu huyo.
Ishu ni kua ni kweli kasoma historia ila historia aliyoisoma yeye ni kuhusu mambo anayotaka ayasikie yeye na yale yanayomfurahisha hata kama ni ya uongo mkubwa ila kwake ni ya kweli kisa yamehusisha dini yake.
 
Hana jibu huyo.
Ishu ni kua ni kweli kasoma historia ila historia aliyoisoma yeye ni kuhusu mambo anayotaka ayasikie yeye na yale yanayomfurahisha hata kama ni ya uongo mkubwa ila kwake ni ya kweli kisa yamehusisha dini yake.

Ila nimemuelewa kumbe kwao madrassa ni Chuo Kama ni hivyo tumkubalie.

Anaposema Hati ya Kiarabu atuambie ni lini na katika shule ipi Tanganyika ilifundisha Kwa Hati(bila Shaka anamaanisha Alphabeti) za kiarabu.

Nafikiri kuna mambo ya Msingi asiyoyajua kuhusu Historia hasa ya eneo hili ambalo Kwa sasa linaitwa Tanzania, na kipindi cha ukoloni liliitwa Tanganyika.
 
Kulingana na UNESCO hadi mwaka 2015, kiwango cha watu wazima kusoma na kuandika cha ni 77.89% nchini Tanzania. Wakati kiwango cha wanaume kusoma na kuandika ni 83.2%, kwa wanawake ni 73.09%, kuonyesha pengo kati ya jinsia.

Kwa mujibu wa taarifa nyingi zilizopo ni kwamba Tanzania imeshuka kwa zaidi ya 10% kulinganisha na kiwango kilichokuwepo miaka ya 70. Ripoti zinasema Tanzania ilikuwa na literacy rate ya kwenye 90% ambacho ni kiwango cha juu sana kwa nchi. Kwa ufupi bongo kwa miaka hiyo watu karibu wote walikuwa wanajua kusoma na kuandika. Hakika serikali ya Mwalimu iliupiga mwingi.

Nimeanza na utangulizi huo uliokaa kisomi ili sasa nieleze kwanini nimeandika huu uzi. Kwa muda mrefu kuna nimekuwa nikikerwa mno na jinsi watu wengi wanavyoshindwa kuandika vizuri maandishi yao bila kukosea. Matumizi yasiyo sahihi herufi "L" na "R" yamekuwa changamoto kubwa. Isitoshe mtaani tunamoishi kuna watu wengi sana wasiojua kuandika kabisa wala kusoma. Wala halihitaji sana utafiti kujua kwamba kuna hili tatizo.

Mitandao ya kijamii imesaidia sana kujua ukubwa wa tatizo. Watu wengi mno ukisoma comments na captions zao utapandwa na jazba mno. MwanaJF FaizaFoxy huuliza kwamba huko shuleni ulienda kusomea ujinga? 🤣🤣. Watu maarufu wengi hasa wanamuziki na wanafilamu/maigizo (bongo movie) wamekuwa vinara wa maandishi yaliyokosewa kuandikwa iwe kiswahili au kiingereza. Ukitembelea mtandao wa Facebook ndo utaona maajabu mengi hadi unatamani watu wanyang'anywe simu na kurudishwa darasani kwa lazima.

Mimi nashauri wazazi wawafuatilie watoto wao toka wakiwa wadogo ili kujenga mtanzania ambaye hatatia aibu kwa kushindwa hata kuandika na kusoma lugha ya kiswahili. Waalimu nao wasiwe nyuma kutimiza wajibu wao. Wale waalimu wa zamani wa mwandiko darasa la kwanza na la pili bado wapo? Serikali nayo ifuatilie kila kitu kwa karibu sana kwa sababu kwa ninayoyaona mtandaoni huenda tumeshashuka tena.
Wewe mwenyewe hujui kuandika vizuri, uzi wako una makosa lukuki ya kiuandishi
 
Mbona hajataja Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)? Kasema Chuo cha Dar es Salaam kwa kufafanua kwamba kilikuwa chuo cha waislam ilipo ikulu ya Dar es Salaam. Jitahidini kusoma comment na kuielewa vinginevyo huyu bibi atawaburu

Upo right mkuu,hapo hatujakaa sawa ila swala la kuleta udini kwenye mada za msingi zinafrustrate sana jamvini
 
Nimekaa vijiji vya ndani Sana wilayani kiteto changamoto ya kielimu ni kubwa Sana hasa jamii za kifugaji na wakulima wengi wanakaa mbali na huduma hizo za kijamii wanachokijua nikuoa nakuolewa mtoto akishavunja ungo
 
Hapana, hatulazimishi kitu, tunaandika ukweli ambao wewe huupendi. Kama tumesema uongo wewe weka ukweli uujao na sisi tuta prove kuwa huo ukweli wako ni ujinga uliojazwa nao na waliokugawa wakutawale. Na kwa akili kama zako utatawaliwa maisha, Hilo kumbuka.

Dini ni njia, njia ipi? Simpo. Ni njia ya kufata ili uishi vyema na ikufikishe kwenye mwisho mwema, sasa wewe kama huna dini, maana yake ni kuwa hauna njia ya kufata. Ni juha tu. Simpo.
Tatizo wewe bibi una udini kinyama. Kuna mtu anaitwa mzee Mohamed Said hamjapishana sana msimamo sema angalau yeye ni msomi wa ukweli na ana exposure.
 
Dini inakupeleka puta sana ndgu yangu.

Mbona mnalazimishia sana historia yenu ya kubandika kwa gundi.
Yaani Tanganyika ilikua Zanzibar!??? Mtawala wa wakati huo alikua nani?
Alitawala vipi eneo lote hilo??
Ni kipi kilitokea hadi utamaduni wa Zanzibar haukuenea maeneo yote ama hiyo Zanzibar ilikua ni jina tu na sio miliki ya wazenji??
Wewe unanshangaza sana. Hivi utamaduni ulionao sasa hivi, hata wa kuongea Kiswahili huujuwi ni wa wapi?

Hata neno 'Ustaarabu" unaelewa maaana yake?
Pole sana,unaonesha hujielewi kabisa? Kwenu ni hii hii Tanganyika? Sasa nambie hilo jina Tanganyika asili na maana yake yake ni nini au limetokea wapi?
 
Tatizo wewe bibi una udini kinyama. Kuna mtu anaitwa mzee Mohamed Said hamjapishana sana msimamo sema angalau yeye ni msomi wa ukweli na ana exposure.
Sasa wewe 'tatizo" lako ni nini hapo? Kama kwa "udini" unamaanisha Uislam, wewe kama huupendi na uona ni 'tatizo isikuumize kichwa chako, unajitafutia "tatizo mwenyewe kwa ujuha wako tu. Mimi wewe una dini huna dini, kwanini liwe "tatizo" langu? To hell.
 
Maombi yenu naumwa yutiyai 😝😝😝
Hiho sawa 🙄🙄🙄🙄
Rikubwa 🧐🧐🧐🧐
Hera😭😭😭😭
Kwa kweli inaboa sana
 
Sasa wewe 'tatizo" lako ni nini hapo? Kama kwa "udini" unamaanisha Uislam, wewe kama huupendi na uona ni 'tatizo isikuumize kichwa chako, unajitafutia "tatizo mwenyewe kwa ujuha wako tu. Mimi wewe una dini huna dini, kwanini liwe "tatizo" langu? To hell.
Acha kuingiza habari za dini sehemu isiyohusika. Wewe bibi umeishia darasa la ngapi?
 
Acha kuingiza habari za dini sehemu isiyohusika. Wewe bibi umeishia darasa la ngapi?
Dira...
Mimi nitamjibia Maalim Faiza.

Bahati mbaya bna ninashangaa iweje humjui kwani ingekuwa umepata kumsoma siku za nyuma ungetambua kuwa si wa kawaida.
Faiza ana elimu kubwa sana toka udogoni darasani alikuwa siku zote, ''above average.''

Nakusihi usibishanenae katika suala la elimu yake.
 
Tatizo wewe bibi una udini kinyama. Kuna mtu anaitwa mzee Mohamed Said hamjapishana sana msimamo sema angalau yeye ni msomi wa ukweli na ana exposure.
Dira...
Ikiwa mimi ni mdini kwa uandika historia ya kweli wale waandishi wa Chuo Cha CM Kivukoni waliofuta historia ya kweli ya TANU ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa kuwa kutishwa na majina ya Waislam unawaitaje?
 
Mbona hajataja Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)? Kasema Chuo cha Dar es Salaam kwa kufafanua kwamba kilikuwa chuo cha waislam ilipo ikulu ya Dar es Salaam. Jitahidini kusoma comment na kuielewa vinginevyo huyu bibi atawaburuza.
Hao wanapenda kubishana, hawapendi kuelimika.

Hao ndio utamkuta na tai na koti zito la mtumba, miwani kama kobe na hapo ujuwe kishakwenda haja zote bila kutumia maji kujiosha tupu zake. Halafu anajiona kaendelea.
 
Kwani ukiishi vyema bila kua na dini kuna tatizo ndgu?

Hujanijibu nilichouliza mkuu, nimekuuliza mambo ya Tanganyika unanielezea kuhusu dini na huo ukweli sijui tumelishwa ili tutawaliwe.

Halafu haya mambo ya historia ni kuyasoma na kuchanganya na zako, kwasababu mtu unaposoma kuhusu jambo fulani mara nyingi akili yako inakua inajua kiasi kuhusu hili na pia unakua na kile moyo wako unaamini kua ni kweli na kuukubali ukweli huo.

Historia ni mambo ambayo mtu anakua bias kwa kutaka/kuamini kile roho yake inapenda ikisikie/kukisoma ni mara chache mtu/watu huweza kubadili historia ya kitu/watu na ni kwa akili kubwa, maarifa na huchukua muda pia.

Em tupe hiyo historia ya Tanganyika/Zanzibar ya kabla ya ukoloni, huenda baadhi tukaamini usemayo na kulisha vizazi vyetu pia.

Karibu.
Sasa wewe kuishi "vyema" kivyako ni kuwa bila dini, mimi kuishi vyema kwangu ni kuuishi Uislam wangu. Wewe kinakutatiza nini hapo? Kwanini uone kero Uislam wangu?

Kwanini uone kero tukikwambia hata jina la TANU aliyelibuni ni Muislam? Kwanini uone kero tukikwambia Waislam ndio wenye historia kubwa na ya miaka mingi sana ardhi hii? Tukikwambia hata vita ya maji maji ilikuwa ni "resistance" ya Waislam kukataa kutawaliwa?

Wewe usiye na dini si leta historia yako, ulikatazwa? Na kama ni Mkristo historia yako itaanzia ujio wa mzungu na itashia kwa mzung. Bisha!
 
Hujui mwaka 1961 Chuo cha udsm kilikuwa Tawi la chuo kikuu cha London? Na ilikuwa College tuu Wala haikuwa Chuo kikuu!
Wewe huelewi kusoma, wala huelewi unachokibishia, mimi nimeandika chuo cha Waislam ambacho sasa ni Ikulu. Wewe uanleta porojo tofauti kabisa, hata hizo zitakushinda.

Hiyo UDSM yenyewe labda huelewi kuwa Chuo Kikuu Cha kwanza kilichowekwa jiwe la msingi huko Chang'ombe kilikuwa cha Waislam kikafanyiwa mizengwe. Huelewi hilo? Usilianzishe saa hizi, tutakuwekea mpaka picha hapa. huna haya kuanza hiztoria na London na kuishia na London, una lipi zaidi ya hilo?
 
Wewe Kama unasema Chuo kikuu cha Udsm kilikuwa cha Waislam huoni kama unatatizo la Msingi?
Sijui ulidanganywa na Nani mambo hayo, aliyekudanganya alikudharau na kukuona huna akili za kutosha kuchambua mambo.

Mwisho utasema Tanganyika ilikuwa nchi ya kiislam 😀😀
Wapi nimesema hayo ya "UDSM"? Unajuwa kusoma kweli? Kanisome tena unioneshe wapi nimetaja UDSM.

Walewale wa shule za kusomea ujinga. Sikushangai.
 
Huna unachojua kuhusu mambo ya elimu ya Duniani ni Kheri ukautumia muda wako kujifunza zaidi kuliko kudhani Sisi ni wajukuu zao WA kudanganywa danganywa,

Kasome tena Uijue udsm uone Kama kuna uhusiano wake na Waislam au Waarabu.

Unapozungunzia Elimu huwezi mtaja Muarabu hata Kwa kukosea, labda elimu ya Quran lakini elimu Dunia Waarabu hawana Mchango mkubwa,

Elimu utazungumzia watu jamii zifuatazo;
1. Ancient Egypt
2. Ancient Greek
3. Ancient Roma
4. Wajerumani
5. Waingereza
Mpaka umfikie Muarabu ni huko mwisho kabisa karibu na Waafrika.
Muarabu na muafrika hawajaachana Sana
Wewe punguani, ni nani aliyeandika kuhusu UDSM? Kanisome tena au unaota, au mmezowea kudanganya mpaka unataka kunilasha upuuzi wako uufanye kama nimeuandika mimi? Hapa ni Wrong number.

Toka lini IKULU ikawa UDSM? Huelewi unachokisoma?
 
Back
Top Bottom