Nina wasiwasi mtoto si wangu. Nitawezaje kuhakikisha?

Nina wasiwasi mtoto si wangu. Nitawezaje kuhakikisha?

Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata mwanamke tofauti na matarajio yangu.

Nasema hivi maana asilimia kubwa ya vile vigezo vya ndani kabisa unakuta hana japo huwa najitahidi sana kumweka arudi kwenye mstari vile ninavyotaka mimi mwanamke wangu awe lakini atatulia ila baada ya siku nne/tano anarudia mambo yaleyale nisiyoyapenda.

Hali hiyo ilienda mpaka akaja kubeba ujauzito, nilihisi kuwa ni yangu lakini shida ni WASIWASI je ni ujauzito wangu au laa! Mpaka amekuja kujifungua mimi nahudumia mtoto na mama lakini tatizo ni wasi wasi je ni mtoto wangu au laa!

Kuna kipindi alikuwa anaishi kwa shemeji yake sasa nahisi usikute kuna namna ilifanyika halafu nije kubambikiwa. Msaada ndugu zanguni nitawezaje kujua kama mtoto ni wangu au sio wangu pasipo kutumia vipimo vya DNA?

Mwanamke nampenda ila nina wasi wasi kwani ni mwongo mwongo sana wakati mwingine na mtoto bado ni mdogo sana hata miezi mitatu hajafikisha hivyo inaniwia vigumu kujua amefanana na nani hasa.

Inawezekana huyu mwanamke alizaa na shemeji yake au ni nini maana sasa hivi yule shemeji yake hana mawasiliano kabisa na yeye tofauti na mwanzoni ilivyokuwa wamezoeana.

Nitajuaje kama mtoto ni wangu pasipo vipimo vya hospitali?

Msaada jamani nateseka nafsini mwangu.

Mpeleke mtoto kwa shangazi zako ...wakimshika na kumchunguza watakwambia Kama umepigwa bro...
 
Uko sawa trust your guts,na ukifanya maamuzi usirudi nyuma.Ukimwona tu mtoto kama ni wako utahisi chemistry yenu inaendana yaani hata ukimchekea anafurahi,hata ukiongea nae anatulia kukusikia ila ukiona mtoto ukimsogelea analia hahahah sio wako huyo
Uongo
 
Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata mwanamke tofauti na matarajio yangu.

Nasema hivi maana asilimia kubwa ya vile vigezo vya ndani kabisa unakuta hana japo huwa najitahidi sana kumweka arudi kwenye mstari vile ninavyotaka mimi mwanamke wangu awe lakini atatulia ila baada ya siku nne/tano anarudia mambo yaleyale nisiyoyapenda.

Hali hiyo ilienda mpaka akaja kubeba ujauzito, nilihisi kuwa ni yangu lakini shida ni WASIWASI je ni ujauzito wangu au laa! Mpaka amekuja kujifungua mimi nahudumia mtoto na mama lakini tatizo ni wasi wasi je ni mtoto wangu au laa!

Kuna kipindi alikuwa anaishi kwa shemeji yake sasa nahisi usikute kuna namna ilifanyika halafu nije kubambikiwa. Msaada ndugu zanguni nitawezaje kujua kama mtoto ni wangu au sio wangu pasipo kutumia vipimo vya DNA?

Mwanamke nampenda ila nina wasi wasi kwani ni mwongo mwongo sana wakati mwingine na mtoto bado ni mdogo sana hata miezi mitatu hajafikisha hivyo inaniwia vigumu kujua amefanana na nani hasa.

Inawezekana huyu mwanamke alizaa na shemeji yake au ni nini maana sasa hivi yule shemeji yake hana mawasiliano kabisa na yeye tofauti na mwanzoni ilivyokuwa wamezoeana.

Nitajuaje kama mtoto ni wangu pasipo vipimo vya hospitali?

Msaada jamani nateseka nafsini mwangu.

Mkuu huna mama,bibi au shanngazi??hao ndio watakusaidia
 
Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata mwanamke tofauti na matarajio yangu.

Nasema hivi maana asilimia kubwa ya vile vigezo vya ndani kabisa unakuta hana japo huwa najitahidi sana kumweka arudi kwenye mstari vile ninavyotaka mimi mwanamke wangu awe lakini atatulia ila baada ya siku nne/tano anarudia mambo yaleyale nisiyoyapenda.

Hali hiyo ilienda mpaka akaja kubeba ujauzito, nilihisi kuwa ni yangu lakini shida ni WASIWASI je ni ujauzito wangu au laa! Mpaka amekuja kujifungua mimi nahudumia mtoto na mama lakini tatizo ni wasi wasi je ni mtoto wangu au laa!

Kuna kipindi alikuwa anaishi kwa shemeji yake sasa nahisi usikute kuna namna ilifanyika halafu nije kubambikiwa. Msaada ndugu zanguni nitawezaje kujua kama mtoto ni wangu au sio wangu pasipo kutumia vipimo vya DNA?

Mwanamke nampenda ila nina wasi wasi kwani ni mwongo mwongo sana wakati mwingine na mtoto bado ni mdogo sana hata miezi mitatu hajafikisha hivyo inaniwia vigumu kujua amefanana na nani hasa.

Inawezekana huyu mwanamke alizaa na shemeji yake au ni nini maana sasa hivi yule shemeji yake hana mawasiliano kabisa na yeye tofauti na mwanzoni ilivyokuwa wamezoeana.

Nitajuaje kama mtoto ni wangu pasipo vipimo vya hospitali?

Msaada jamani nateseka nafsini mwangu.

Aisee mbona rahisi,kapime dna,ni sh laki tatu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Uko sawa trust your guts,na ukifanya maamuzi usirudi nyuma.Ukimwona tu mtoto kama ni wako utahisi chemistry yenu inaendana yaani hata ukimchekea anafurahi,hata ukiongea nae anatulia kukusikia ila ukiona mtoto ukimsogelea analia hahahah sio wako huyo
hahaahahah....anaona kama kakutana na mzoa taka taka wa BUDEGE
 
Naweza kusema kweli huwa nina mapenzi ya kweli katika mahusiano, nasema hivi maana huwa nikimpenda mwanamke katika mahusiano basi huwa namaanisha ila shida huja pale ambapo nahisi nimepata mwanamke tofauti na matarajio yangu.

Nasema hivi maana asilimia kubwa ya vile vigezo vya ndani kabisa unakuta hana japo huwa najitahidi sana kumweka arudi kwenye mstari vile ninavyotaka mimi mwanamke wangu awe lakini atatulia ila baada ya siku nne/tano anarudia mambo yaleyale nisiyoyapenda.

Hali hiyo ilienda mpaka akaja kubeba ujauzito, nilihisi kuwa ni yangu lakini shida ni WASIWASI je ni ujauzito wangu au laa! Mpaka amekuja kujifungua mimi nahudumia mtoto na mama lakini tatizo ni wasi wasi je ni mtoto wangu au laa!

Kuna kipindi alikuwa anaishi kwa shemeji yake sasa nahisi usikute kuna namna ilifanyika halafu nije kubambikiwa. Msaada ndugu zanguni nitawezaje kujua kama mtoto ni wangu au sio wangu pasipo kutumia vipimo vya DNA?

Mwanamke nampenda ila nina wasi wasi kwani ni mwongo mwongo sana wakati mwingine na mtoto bado ni mdogo sana hata miezi mitatu hajafikisha hivyo inaniwia vigumu kujua amefanana na nani hasa.

Inawezekana huyu mwanamke alizaa na shemeji yake au ni nini maana sasa hivi yule shemeji yake hana mawasiliano kabisa na yeye tofauti na mwanzoni ilivyokuwa wamezoeana.

Nitajuaje kama mtoto ni wangu pasipo vipimo vya hospitali?

Msaada jamani nateseka nafsini mwangu.

Mkuu pole sana, mim ninakotoka kuna mila mtoto anafanyiwa anapoenda nyumban kwa mara ya kwanza kabisa kama sio mtoto wa hiyo boma lazima atakufa mwambie wife/mzazi mwenzio kuhusu hiyo mila inaweza kukusaidia kupata signal.
 
Back
Top Bottom