Nina wasiwasi na hii Gari, ushauri wenu

Nina wasiwasi na hii Gari, ushauri wenu

Kuflush engine sio lazma engine ifunguliwe, anayosemea jamaa itakua ipo kwenye kopo kabla hujamwaga oil anamimina so ni kama mvuke inasafisha engine uchafu wote kama kuna oil iligandia gandia inasafisha hii ni kitu nzuri sana hakuna oil inayobaki, baada ya dk15 ndo anamwaga oil utaona uchafu unavotoka.

Gari nyingi ukinunua below 70,000 km nyingi hazijafanyiwa service ya gearbox hasa kwa kubadili oil ni vema kama hujanunuq gari fatilia service ya gari ilifanyiwa upande gani na kipi hakufanya, wengi sana hili hatufatiliii gari ikifika unawaza kuendesha.

Lique molly ni oil nzuri sana hata mm natumia hii oil yangu ya kwanza niliweka castrol ila nilivoingia huku naona gari ipo poa sana.

Nimesoma vzr maelezo ya jamaa amesema ni mshamba kwenye magari amesema ukweli, ila jamaa gari yake inaonesha ni nzima haina shida ana wasiwasi au wenge tuseme .
bado nna wasi wasi kdgo nan alikwambia gear box huwa inamwagwa oil if hmna any faults ?
 
Toyota IST ni kagari kadogo sana kuwa na complications za namna wewe umeelezea. Toyota IST ni very simple kuimaintain na kuifanya idumu.

Kwanza hayo maoil umetaja ni too expensive sijui hata kwann unajitesa kuyanunua.

Hapo kwenye oil tumia tu Total 5w-30 ,na kwenye gear box tumia ATF ya total pia. Wala usicomplicate maisha. Tazama pia vitu vidogo vidogo kama timing belt na fan belt then maisha yaendelee.
 
Toyota IST ni kagari kadogo sana kuwa na complications za namna wewe umeelezea. Toyota IST ni very simple kuimaintain na kuifanya idumu.

Kwanza hayo maoil umetaja ni too expensive sijui hata kwann unajitesa kuyanunua.

Hapo kwenye oil tumia tu Total 5w-30 ,na kwenye gear box tumia ATF ya total pia. Wala usicomplicate maisha. Tazama pia vitu vidogo vidogo kama timing belt na fan belt then maisha yaendelee.
Amesema wazi yeye ni mgeni wa gari,hapa ndipo anapata sasa uzoefu zaidi..
 
Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
Gari yako ni nzima kabisa kwa mujibu wa maelezo yako,usijali utapata uzoefu kadri muda utavozidi songa..
 
Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
Kila ukifanyiwa Service hakikisha unakuwepo--kama haupo uwe unamwamini SANA huyo fundi.
Range ya kubadilisha oil ni km3000 had km5000 kwa hizi oil zinazopatikana kila mahali(option bora kabisa ni Castrol au Total 5W-30)
Unaponunua gari kutoka Japan--unashauriwa kufanya service ya Oil,kubadilisha filter,aircleaner filter etc--Gearbox oil kama itaonyesha dalili za kuisha nguvu(fundi mzuri anaweza kukuambia kwa kuigusa tu ile oil uzito wake),pia mokorokoro ya chini kama utasikia inagonga gonga,hakikisha kila kitu kimekazwa vizuri(muombe fundi akuangalizie).
Kwa swala la gari lako kutoa maji kwenye exhaust-ni jambo la kawaida,tena zuri--hii inamaanisha mafuta yanachomwa vizuri na hakuna oil inayochomwa wakati engine inazunguka.
RPM kukaa chini ya 1--that is perfect--inatakiwa iwe hivyo ukiliwasha tu inapanda hadi 1.5 then inashuka hadi 0.5.
KITUNZE KIDUMU.
 
Toyota IST ni kagari kadogo sana kuwa na complications za namna wewe umeelezea. Toyota IST ni very simple kuimaintain na kuifanya idumu.

Kwanza hayo maoil umetaja ni too expensive sijui hata kwann unajitesa kuyanunua.

Hapo kwenye oil tumia tu Total 5w-30 ,na kwenye gear box tumia ATF ya total pia. Wala usicomplicate maisha. Tazama pia vitu vidogo vidogo kama timing belt na fan belt then maisha yaendelee.
Nilipenda sababu inakaa muda mrefu 10,000km ndo nabadilisha tena oil
 
Kila ukifanyiwa Service hakikisha unakuwepo--kama haupo uwe unamwamini SANA huyo fundi.
Range ya kubadilisha oil ni km3000 had km5000 kwa hizi oil zinazopatikana kila mahali(option bora kabisa ni Castrol au Total 5W-30)
Unaponunua gari kutoka Japan--unashauriwa kufanya service ya Oil,kubadilisha filter,aircleaner filter etc--Gearbox oil kama itaonyesha dalili za kuisha nguvu(fundi mzuri anaweza kukuambia kwa kuigusa tu ile oil uzito wake),pia mokorokoro ya chini kama utasikia inagonga gonga,hakikisha kila kitu kimekazwa vizuri(muombe fundi akuangalizie).
Kwa swala la gari lako kutoa maji kwenye exhaust-ni jambo la kawaida,tena zuri--hii inamaanisha mafuta yanachomwa vizuri na hakuna oil inayochomwa wakati engine inazunguka.
RPM kukaa chini ya 1--that is perfect--inatakiwa iwe hivyo ukiliwasha tu inapanda hadi 1.5 then inashuka hadi 0.5.
KITUNZE KIDUMU.
Nilipeleka garage inayoeleweka na mafundi makini, aliikagua gari akaona record ya service ikiwa japan ikaonekana gearbox oil haijabadilishwa gari ina 74,000 km akasema aichek oil kweli ilikua ni chafu nyeusi kabisa akasema tubadili akaweka t4 sijui og,

Toka nimefanya hio service gari naona hta nikanyage mafuta vipi rpm haizid 2 ikipanda sana 2.5 inarud 2 au chini ya2 fasta. Naona mabadiliko.

hio lique molly ni mbaya? Nisaidien
 
Nilipenda sababu inakaa muda mrefu 10,000km ndo nabadilisha tena oil
Unecessary expenses. total will do u just fine.... Hizo kilometers zote unataka utembee bila gari kufanyiwa service?!
 
Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
Hayo maji ni matokeo ya joto la hewa inayotoka kwenye engine kukutana na ubaridi katika ile Bomba kwa ndani. Ndio maana huwezi kukuta hiyo hali nyakati za mchana kwa gari ambayo imeshapiga misele na bomba la Moshi limeshakuwa na joto kali na kavu.

So haina uhusiano na hali nzuri ya engine wala ubora wa service.

Kuhusu gari kutoa Moshi mweusi ni matokeo ya kuunguzwa kwa mafuta mengi kuliko kiwango. Hii inaweza kuwa ni matokeo ya Air filter ambayo imezongwa na uchafu yaani vumbi, changamoto ya mfumo wa utemaji mafuta yaani injection system, au manifold ikiwa imejiziba.......lakini pia zipo sababu zingine......
 
Habari za usiku wataalam

Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.

Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.

Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.

Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.

Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.

Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.

Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
Unapoondesha ina fikia speed ya juu vema , i mean umeshawahi kuitest katika barabara iliyonyooka?!

Ukipata muda usiku pita nayo bara zile kama bagamoyo rd, mandela rdc, samunujoma etc..... Pale utaweza elewa namna ya kuelewa performance yake.
 
Unapoondesha ina fikia speed ya juu vema , i mean umeshawahi kuitest katika barabara iliyonyooka?!

Ukipata muda usiku pita nayo bara zile kama bagamoyo rd, mandela rdc, samunujoma etc..... Pale utaweza elewa namna ya kuelewa performance yake.
Bagamoyo road ndo daily niko na hii road, naweza kufika hadi speed 100 na gari imetulia nimefanya wheel balance & alignement hta nifike 100 rpm haizd 2 nataka niende mkoani hapa nais ndo nitaisoma vzr zaid.
 
Bagamoyo road ndo daily niko na hii road, naweza kufika hadi speed 100 na gari imetulia nimefanya wheel balance & alignement hta nifike 100 rpm haizd 2 nataka niende mkoani hapa nais ndo nitaisoma vzr zaid.
Mmmmmmhmn..... Ngoja niende maabara kwanza then nitakuja na majibu.
 
Bagamoyo road ndo daily niko na hii road, naweza kufika hadi speed 100 na gari imetulia nimefanya wheel balance & alignement hta nifike 100 rpm haizd 2 nataka niende mkoani hapa nais ndo nitaisoma vzr zaid.
Sidhani kama kuna shida hapo. Kwa upande wangu naweza kufikisha 100, na RPM ipo kati ya 2 na 3.

Jaribu kukanyaga mafuta kuona mshale unavyopanda.
 
Hayo maji ni matokeo ya joto la hewa inayotoka kwenye engine kukutana na ubaridi katika ile Bomba kwa ndani. Ndio maana huwezi kukuta hiyo hali nyakati za mchana kwa gari ambayo imeshapiga misele na bomba la Moshi limeshakuwa na joto kali na kavu.

So haina uhusiano na hali nzuri ya engine wala ubora wa service.

Kuhusu gari kutoa Moshi mweusi ni matokeo ya kuunguzwa kwa mafuta mengi kuliko kiwango. Hii inaweza kuwa ni matokeo ya Air filter ambayo imezongwa na uchafu yaani vumbi, changamoto ya mfumo wa utemaji mafuta yaani injection system, au manifold ikiwa imejiziba.......lakini pia zipo sababu zingine......

Pia

Moshi ukishapita kwenye catalytic converter moja ya product huwa ni ni maji ambayo hutoka kama mvuke,

Mengine hucondese ndio hayo matone tunayoona nadondoka mengine mengine hutoka kama mvuke.
 
Pia

Moshi ukishapita kwenye catalytic converter moja ya product huwa ni ni maji ambayo hutoka kama mvuke,

Mengine hucondese ndio hayo matone tunayoona nadondoka mengine mengine hutoka kama mvuke.
Yeah very true
 
Back
Top Bottom