Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

Mkuu atanieleza leo ata makofi atakula asipoangalia mi ujinga staki kasha nitibua yaan now simuelew kabsa kiongoz
Ulitakiwa umkazie asiende kokote, mie nilishakamataga mtu kwa visingizio hivyo hivyo vya dada sijui ndugu. Mwisho wake nilifunga jalada.
 
Umekosea sana wewe ndo kichwa cha familia iweje mke akurupuliwe kama ngedere na wewe ukubali au huyo mke kakuoa wewe.
Simama kama mwanaume mzee usichukulie mambo kama mvulana safari yoyote mwanamke inatakiwa akuombe ruksa mwezi au week mbili kabla,usichukulie vitu kama hivyo kirahisi.
Kama kuna tatizo kwao inatakiwa wazazi wake wakuombe wewe umruhusu wewe maana yupo chini ya himaya yako.
Mwisho nasikitika kwa kutosimamia ndoa yako vizuri kwa kuwa na misimamo dhaifu.
Nahisi hili jamaa litakuwa bonge halafu limekulia familia ya kishua yaani ni lizembe lizembe flani hivi sio kama watoto tuliokulia uswazi vichwa vimekomaa!
Hivi badala hao ndugu wakupigie wewe kumuombea ruhusa mkeo aende eti wanampigia mkeo bila kukushirikisha wewe halafu bado unajiita mume?
Ama kweli uchawi upo!.
Subiri tu kuletewa jamaa hapo kwako utambulishwe kwamba ni anko wake amekuja mjini kuonana na specialist wa magonjwa ya moyo then ukienda kazini jamaa linaingia chumbani kwako linamto mba mkeo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Sikiliza, shika hiki nachokwambia, wanawake wamekua ni MALAYA sana(siyo wote) akirudi mgeuzie sura na uvae sura ya kiKurya ukimhoji kama una uhakika na jambo baya amaefanya, fungasha mpaka mabegi yake aondoke uone, nakwambia utamsikia anaongea yote... Kwa kifupi huyo ameshaliwa na bwana mwingine, na Wala hakufai tena, wakati mwingine hutamshika mkeo ugoni ila unaweza kujilidhisha na ushahidi wa kimazingira, tena hawa wanawake wanaotoka asbh na wao wanaenda kazini na kurudi jioni, ogopa sana... Kuliko kua na mwanamke anayekuchit ni afadhari ukae peke yako, nauhakika huyo ameliwa na wewe hufai tena kwake ila yupo kama kivulini tu.
 
Nimesoma ,Kuna Mahali nimefikia nikaanza kutetemekaz mapigo yamoyo yakienda Kasi, as if Mimi ni wewe


Nianze Kwa kuuliza, yaan ni Mkeo umeona Kwa mahari ????

Bwanaaee, tufanye hujatoa mahari, mwanamke ukishanvuta kwako, ni anawajibika KUTII MAMLAKA YAKO KWA UNYENYEKEVU ULOTUKUKA.


Niseme tu kwamba !!!!

Wewe ni aina ya Wanaume wenye "Ubabybaby".

Kwa mantiki hiyo, Mkeo ameshakuona weee ni mwepesi kiasi kwamba anao uwezo wa Kutumia Uongo wa Daraja la 1 akijua pia bado atakuwin.


Najua utanibishia hapa ili unionyeshe wee ni Mwamba, ungekua Mwamba "Usingeruhusu Mkeo kuzuga simu za dada ,Sijui singida, yaaan Madada mtu wakuondolee mwanamke wako nyumban ? " Kupiga soga !!


Sisi wengine, Ndugu wa Mke wakipiga piga simu , hata yeye anawajibu "Mmmhhh Sijui kama ataniruhusu Mamaaa".

Mlowengi mnaweza msinielewe, na kauli za "Mke anajilinda mwenyewe"..

Ukweli nikwamba Kwa habari ya MKE Ndani ya Ndoa, MWANAUME UNATAKIWA UWE MKOLONI KWELIKWELI KIASI KWAMBA MKEO AJUE WEWE NDIO MUME MWENYE
[emoji117]MAMLAKA JUU YAKE
[emoji117] KIONGOZI WAKE
[emoji117]MTAWALA WAKE


kiasi kwamba hatokaa hata siku Moja kutumia Uongo wa Daraja la kwanza.


Ndugu yangu, Kutombewa umetombewa, HILI LIKO WAZI , walakini kwenye Kutombewa huko, Wewe umechangia asilimia karibia 40%, zilizobaki yaan 60, ni hizi Sasa za Wanawake wetu wakizazi hiki Cha Leo !!


Mwisho, Haya akikujibu 'Nisameheee nisamehee ,ni kweli nimeliwa ".......... Utafanya nini???

Maana yangu ni kwamba, Kuna wakati mwanadam unalazimika kufanya hatua za kuzuia uangamivu , sio kuacha uangamivu utokee, alafu madhara yake, ukuangamizs hata wewe !!


POLE KWA KUGONGEWA , KINACHOUMA, NI KUDANGANYWAA, ALAFU ANAFUNGA SAFARI KUPELEKA PAPUCHI ILIWE.
Dah..! Yaani umemaliza kila kitu utadhani umesoma mawazo yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mleta mada anaonekana ni mdebwedo yaani mzembemzembe halafu sio mjanja kivile yaani mke alishamsoma jamaa ni boya
 
Unalala kwa raha akija unamadai pole unamuhudumia basi .
Mie nimewahi ishi na mtu ila ndoa hatukufunga alikuwa ananificha ufisadi wake akadai yupo busy safari za hapa napale weh .

Siku za kufa kwa nyani miti yote huteleza nikambamba walahi nilizimia.

Fisadi la mapenzi nikalikamata kwisha
Mapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi kutoka kwai mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
 
Mapenzi yanaumiza sana,mie kuna binti nipo nae kwenye mahusiano ni Mwaka sasa-anaishi na Dada yake huwa ananieleza hawezi mwisho kutoka kwao ni SAA 12 jioni.Mungu sio mzee mkumba Jana nimekutana nae katika grocery moja mida ya SAA 4 usiku akiwa na majamaa 2.Badaye namuuliza ananiambia ni marafiki zake kwa kweli nilihisi kuzimia mwili wote ulikosa nguvu ,Leo siku nzima sijalala kwa kweli.
Kinachokufanya usilale ni nini?
 
Hao ndugu zake wa Singida ungewapigia simu kuwauliza walimuitia nini huko na ikawaje na pia uoanishe na majibu atakayo kupa yeye

Nikweli mkuu nahicho ndo nnachokitaka kukifanya ndo namsubilia arud leo
 
Tujifunze wanaume safari hiyo mwanamke habaswi kukupa taarifa anapaswa aombe ruhusa ukikataa anabaki ukimpa go ahead anaenda mie nikionaga nn tu nasema Moja tu hakuna safari

Siongei tena

Nikweli mkuu upo sahihi
 
Mwanaume ukiona dalili hizi kwa mkeo, basi shtuka haraka sana.

1. Safari ya haraka haraka, ya muda mfupi, isiyo na umuhimu lakini inalazimishwa ifanyike muda huo huo tu.

2. Mlolongo wa maelezo tofauti tofauti kuhusu safari ya ghafla.

3. Maelezo ya kuchoka, kuumwa, kujisikia vibaya mara baada tu ya safari ya ghafla usiyoilewa vvema.

4. Safari ya ghafla itakayopelekea mkeo asipatikane kwenye simu, simu kuzimwa au ujibiwa kwa sms badala ya kupigiwa.

5. Safari yoyote ya mkeo usiyoilewa vyema lakini itakayopelekea mabadiliko ya ghafla ya mkeo kuwahi kurudi au kuchelewa kurudi.

6. Safari za kikazi. Narudi tena safari za kikazi, narudia tena safari za kikazi. (Wanawake wengi walioolewa kama wana tabia za kukosa uaminifu ni rahisi mnoo kuliwa kirahisi mnoo kwenye safari za kikazi)

Nikweli mkuu upo sahihi
 
Kuna kitu huwa kinaitwa video call na kingine location sharing.. whatsapp ingekuondolea doubts
Safari yenye umbali kama singida aende ijumaa saa saba halafu arudi jumapili halafu kwa kuungaunga.. hapo kuna kitu kinakuka kama samaki mzee
Sent from my SM-G930U using JamiiForums mobile app

Nikweli mkuu kuna something behind
 
Yaani dada yake amuite gafla na wewe unaruhusu bila hata kuambiwa anaitiwa nini?

Mimi wife haondoki eti asafiri ya gafla bila kujua safari inahusu nini hata Kama wazazi wake ndo wamemuita.

Akirudi ukimuuliza doubt zako kuhusu iyo safari na kushuka shuka DOM hatakuambia chochote, na utaanzisha mgogoro wakati hauna ushahidi concrete.


Kaa kwakutulia maana probability ya wewe kupigiwa Kwenye hiyo safari Ni 1 na uache ufala huo mkeo anakuaga kwenda kutafunwa, inatakiwa uwe na total control Kwenye moves zake zote mfano kushuka dom ungemwambia tu hakuna kushuka hizo habari za kushuka dom Ni kitu kipya.

Sawa mkuu nimekuelewa sana shukrani
 
Back
Top Bottom