Nina wasiwasi na mke wangu...

Sasa kama alijua anasafiri, ikawaje tena akachelewa kutoka mpk akalala dodoma.
Hapo kuna walakini

Ndo nasema shida sio anakokwenda sababu singida huko sina doubt nako shida ni Dodoma ndo ninamashaka napo wakuu mnielewe
 
"Watu wamefanya importation [emoji23][emoji23]"

[emoji3516][emoji3516] puuzia maneno hayo hapo juu , mkuu usiwe na mawazo hasi kila muda si vizuri kwa afya yako umefanya jambo la maana kutomuuliza maana inaweza kuwa unamuhukumu tu bure.

Yawezekana pia mkuu ni mawazo yangu lakini ndoivo wasiwasi ndo akili
 
Kama unampenda sana, na huwezi kumuacha; usiangaike kumuuliza chochote, wewe akija mpelekee moto maisha yaendelee.
Kwa sababu, itakuwa haina maana ya kumuhoji, huku ukiwa hauna uwezo wa kufanya maamuzi magumu itakuwa sawa na kupiga kelele tu.

Nikweli mkuu nimekuelewa ila siwez kulifumbia macho hili swala
 
Upo tayari kumuacha ukigundua ameliwa?

Kiukweli siwez ishi na mwamke ambae kanifanyia ujinga kiasi hicho mwisho nisije nikafaanya makubwa dunia inishangae mkuu nitapiga chini tu
 

Ainashida mkuu njia ya muongo ni fupi sana
 
Amini ninachokuambia huyo itakuwa kweli aliitwa ila hapo dodoma ndo alikuwa na mishe zake na uchafu wote alifanyia dodoma,

Yeah mkuu namimi ndo nina wasiwasi na Dodoma mi sina wasiwasi na kwa dadazake mkuu
 
Duh nasoma hadi nalia kwa hasira, bro huu uzi labda kama umeamua kuchangamsha jukwaa ila kama ni kweli umekosea sana ..huyo mimi ningemuua kbs

Mkuu maumivu yake ni makali sana ila mungu alete imani sana juu ya hili bhas
 
Ninayo but nilimuacha aende sikutaka complicated yoyote lakini ishu ya kulala Dodoma ndo tatizo lilipo anzia sababu hiyo ratiba haikuwepo
Wewe ni mwanaume mkuu head of the family!! You rule! You order Kama kiongozi wa familia inatakiwa uwe na sautiii inapobidi ukalii make wanawake akili zetu tunazijua wenyewe!
Hapo inaonesha kabisa mkeo kakupanda kichwani! Na anakuchukulia poa sanaa!!
 
wanawake walioajiriwa ni hatari sana

heri uingie gharama umfungulie biashara
 
Ungemwambia naomba niongee na dada zako waliokuita , inamana umeoa ufahamiani hata na ndugu zake

Ndugu nafaamiana nao vizur sababu ya kumwambia aende sikutaka mambo yawe mengi nilitaka aende then akirud ndo nimuweke chini anieleze kulikuwa na nini lakini singida alifika na nilihakikisha hilo ila doubt inakuja hapo Dodoma mkuu
 
Dada zake walipaswa kukupigia wewe kuomba ruhusa mdogo wao aende. Na akifika ujue ni kweli yuko na dada zake. Otherwise binafsi nakuona hauko imara, unapigiwa kizembe sana.

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Duh nasoma hadi nalia kwa hasira, bro huu uzi labda kama umeamua kuchangamsha jukwaa ila kama ni kweli umekosea sana ..huyo mimi ningemuua kbs
Aiseee [emoji23][emoji23] watu wengine kama hamjaoa hata msioe.
 
Usioe,usioe tena usioe ili kuhepukana na Mambo Kama haya. Ona Sasa Mimi nimekaa kwa amani kabisa ila huyu bwana muda huu anateseka.

[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Hapana mkuu ni mkewangu na niomemuoa
Sasa ndugu yangu kama mkeo mbona ndugu zake wanamchukulia kama anaishi na muhuni fulani how come kwa dharula hivyo usipewe taarifa wewe kwamba mkeo anahitajika na kama kuna tatizo, kwa maana wewe ndiyo mkuu wa kaya na unajua kama nauli ipo au haipo wewe ndiyo unapaswa kumsuport kwa kujua wapi upate pesa ya fasta, isije kuwa mkeo kakuzoea sana anaona hauna maamuzi yoyote juu yake.
 
Kutokana na makosa yako me naona uyo mwanamke usimuulize chochote tena mpokee kwa furaha na pole nyingi za safari

Kwa akiri yako ata ukisema umuache uyo mwanamke bado utapata mwingine nae utamuacha

Chakufanya ni wew kwanza kubadirika ujue unatakiwa kuishi nao vipi hawa viumbe maana naona ujui kuishi na mwanamke

Note: utakuwa umekosea sana kumuuliza mkeo kusiana na safari yake Kama ambavyo ukuona umuhimu wa kumuuliza kabla ajaondoka basi usione umuhimu wa kumuuliza atakaporejea

Wewe ndo unamakosa wew ndo dereva kwake wew ndo mlizi kwake wew ndo una mamlaka kwake ata akipata tatizo familia itakuoji wew
 
ungemkumbusha azingatie matumizi ya kondomu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…