Nina wasiwasi na mke wangu...

Mkeo yupo vizuri sana mkuu....

Mwanaume hutakiwi kuwa na mwanamke mmoja ....utakuja kufa na presha.. ukimiliki mwanamke we weka kichwani mwako kuwa hiyo papychi yake hupigi pekeako...

Utaishi kwa amani sana... Mwisho usipende kudadisi dadisi sana
 
Kijana huna mke, hapo alienda Dom Kwa Jamaa yake na usikute wako ofisi Moja, kuwa makini tu ila nakushauri kama una roho ndogo acha kumfuatilia usije ukaumia
 
Umeonyesha mapungufu mkuu! Unapewa taarifa usiku kuwa kesho nitasafiri? Pasipo sababu za Msingi nawe unaridhia? Tufanye limeshatokea.
Ushauri akifika dai risiti;Dar to Dodoma, Dodoma to singida, Singida to Dodoma &Dodoma to Dar esalam. Then unganisha doti. Litakafuatia ajibu maswali baada ya tiketi kuepo au kukosekana.
Siku nyingine usitoe ruhusisa ya masaa kadhaa kuwa kesho nitafanya ivi ama vile.
 
Kumbe hata wewe ungepigwa tukio mkuu yaani wakati anamwambia yupo singida itakuwa kweli yupo singida maana tayari mzigo umeshapigiwa dodoma na yeye anajulishwa kuwa ndo amepata Gari kutoka dodoma kwenda singida hivyo basi kidume kilikuwa Dodoma
 
Simu kapigiwa anaambiwa aende kuna ishu ila asiambiwe ni ishu gani hadi afike!!!! are you serious guys? inamaana hao wanaompigia simu hawajui kwamba huyo ni mke wa mtu na ili atoke lazima sababu ya msingi iwe wazi ndipo mwanaume utoe ruhusa anyway lakini labda hawana taarifa zako, ila kiukweli mwanangu umefeli kuruhusu mkeo aondoke kiholela, Wanalika kimasihara sana ila kama na wewe unakula wawatu pia basi sio kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…