Watu mnacomplicate sana maisha, kujitesa bure kwaajili gani?Nadhani huu ndio wakati wa kumuwekea application za kuhack mawasiliano yake. Usimuulize chochote, tengeneza mazingira upate uhakika wa Yale unayoyahofia. Mwanamke ni mjanja Sana kwanza hatakubali kwa hayo unayomhisia, atakupiga chenga Sana huta ondoa doubts. Lkn pia akihisi unamashaka ataongeza umakini utasalitiwa kwa muda mrefu baadae.
Ila pia kuwa makini kuletewa mimba za nje pamoja na ukimwi.
Na ndipo alipokosea mjuba kupokea taarifa ya safari ,akaitafasiri kua ameombwa ruhusa ya safari na mkewe na akamruhusu akasepa .Kua kama kamanda usitabilike sometimes Yes sometime NoUnaishi vp na mkeo mzee
Au yy ndiye mkuu wa kaya
Mwanaume inatakiw ww ndiy uamue asafir au asisafiri
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Km anamaswali mengi yanataka majibu kufuatilia hakukwepeki. Hio ni nature.Watu mnacomplicate sana maisha, kujitesa bure kwaajili gani?
Eee Mungu kama kweli upo niepushe na ugonjwa wa kumfatilia binadamu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wee subiria style mupya mupya alizojifunza huko Dodoma.
Ni rahisi sana kumgundua mtu wako kama bado anakupenda au la. Mkiona matatizo hayaishi muache aende zake...kufukunyuana mwisho wa siku ndo mnagundua mambo makubwa mwisho wake ni vita hadi kuuana.Km anamaswali mengi yanataka majibu kufuatilia hakukwepeki. Hio ni nature.
kwani nani kamuoa mwenzio hapo kwako?Habar wana JF,
Naimani mko wazima.
Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.
Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.
Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.
Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.
Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.
Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.
Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.
Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Sijaowa bado ila hili lako lingekuwa dogo sana kwangu.Habar wana JF,
Naimani mko wazima.
Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.
Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.
Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.
Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.
Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.
Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.
Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.
Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Moja kati ya comment Nzuri sana sana, niseme tu na mie NAKAZIA👊👏👏Ukishaondoa concept ya kugongewa na kuona kuwa kagongwa sio ww umegongewa ni yeye kagongwa na atajua mwenyewe na viungo vyake unakuwa haya mambo hayawi na uzito mkubwa, unaheal haraka na ukiwa brain free kwa kiwango cha juu kuhusu matumizi ya viungo vyake inakuwa kama unavyonunua malaya halafu kesho usikie kamuuzia mwingine.
Kuna watu ukigonga gari lake anapatwa na uchungu kuliko ukitembea na malaya wake.
Oya mwamba hivi umu sijui wanakuelewa kama navyokuelewa but wewe ni real definition ya AKILI kubwa and positive, tumeishi kwa kujiongopea kwenye umiliki wa mwanamke tukasau kuwa huyu ni kiumbe ambaye Ana maamuzi yake kibafsi ,mkeo sio GAri au shati unalo limiki BT ni mtu uliyekubaliana naye muishi pamoja na mfanye uzao wenu BT kumbuka Ana utashi wake, nimefurahi kuona comment Nzuri sana ,tukijua hili tutapunguza vifo kwenye jamii zetu vitokanavyo na mahusiano AMA ndoa, hongera mkuu 👏 ,( wanasema tuishi nao kwa AKILI mnataka AKILI ipi kwani wao matahira, mtu mzima na maamuzi yake)Hii concept ya umiliki ndo ya kuachana nayo ibaki ndoa kama mapenzi baina ya watu wawili ambayo yanaweza kuisha. Vitu vinavyomilikiwa ni vitu visivyo na utambuzi au vyenye akili ndogo mfano shati, gari, kuku, bata, punda.
Faida ya ndoa ni mapenzi na malezi ya uzao wako chini ya familia moja baasi mengine ni nadharia tunazoishi nazo kinafiki.
Mkeo Akipeleka uke wake sehemu tofauti kuumia hakukwepeki ila kiwango kitategemeana na huo umiliki uliojipa wa kusadikika.
Mwanangu wa kike akiwa malaya ni mwanangu. Yeye kuwa mwanangu haifuti umalaya wake likini ni mwanangu na sitamkana, nitakuwa sehemu ya aibu yake sababu ni mwanangu.
Ndio utaratibuAisee labda mimi ni dikteta, ndugu zake hata wazazi wake wakiwa wanamuhitaji hunipigia mimi kuniomba nimruhusu aende.
Oya tuma airtel money yako chap nifanye muamala ukanywe soda kwa mangi ,isee unatema madini !!Nasema kwamba tegemea lolote kutoka kwa mwanamke sababu siyo mali yako, ni binadamu kama wewe mliyekubaliana kuwa atafanya ngono na wewe tu, sasa pale atakapofanya lolote linalovuka mipaka ya mikataba mliyojiwekea vunja mahusiano usijimilikishe kuwa huyo ni wako sijui umemtolea mahari, huwezi miliki binadamu, ukilikubali hilo siku akifanya mambo yasiyokupendeza utakuwa mwepesi kuheal kuliko ukijiambia uongo kuwa huyu ni mali yangu hakuna wa kutembea nae. Ni pua yangu hii nampengea kamasi mie tu.
Mkuu kweli kabisa unachosema. Umetoa mfano mzuri, Mwanaamke sio gari kuwa ukishajaza mafuta unaamua liende wapi au shati kuwa ukishalivaa unaenda nalo popote bila kuhojiwa.Oya mwamba hivi umu sijui wanakuelewa kama navyokuelewa but wewe ni real definition ya AKILI kubwa and positive, tumeishi kwa kujiongopea kwenye umiliki wa mwanamke tukasau kuwa huyu ni kiumbe ambaye Ana maamuzi yake kibafsi ,mkeo sio GAri au shati unalo limiki BT ni mtu uliyekubaliana naye muishi pamoja na mfanye uzao wenu BT kumbuka Ana utashi wake, nimefurahi kuona comment Nzuri sana ,tukijua hili tutapunguza vifo kwenye jamii zetu vitokanavyo na mahusiano AMA ndoa, hongera mkuu 👏 ,( wanasema tuishi nao kwa AKILI mnataka AKILI ipi kwani wao matahira, mtu mzima na maamuzi yake)
Pamoja mkuu hustler 🙂🙂Oya tuma airtel money yako chap nifanye muamala ukanywe soda kwa mangi ,isee unatema madini !!
Hiyo ilinikuta na mimi juzi kati ,nikamwambia anayepaswa kunipa taarifa kwamba unaitajika kwenda kwenu ni hao waliopo kwenu kinyume na hapo hapa huondoki,nikapigiwa simu na kaka zake ndo nikatoa ruksa na nikamwambia natoa siku moja tu!Habar wana JF,
Naimani mko wazima.
Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.
Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.
Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.
Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.
Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.
Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.
Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.
Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Life is simple wanaume tunajibebesha mizigo mikubwa mno kumchunga mwanadamu for the rest of our miserable life, isee !!, kichwa kitatue changamoto za maisha yenu halafu huku nyuma jitu lihangaike na kiungo chake, uache yote hayo uhangaike naye pia, mwisho muuwane muwatese uzao wenu aloo hilo, Mungu anipushilie mbali naloMkuu kweli kabisa unachosema. Umetoa mfano mzuri, Mwanaamke sio gari kuwa ukishajaza mafuta unaamua liende wapi au shati kuwa ukishalivaa unaenda nalo popote bila kuhojiwa.
Na akusikie.hilo, Mungu anipushilie mbali nalo
Alafu hapo hapo mkuu jamaa kama anaishi vizur na shemej zake kwa nn asiwaulize kunashida gan?huko singidaMkuu huko ni mbali sana kuitwa bila kupewa sababu, yani leo ndugu yako yuko mkoa aseme njoo haraka ukija nitakuambia sababu ya kukuita we unaweza kwenda?? Haiingii hata akilini upoteze nauli bila kujua why unaenda[emoji3] mkeo genius.