Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

Nadhani huu ndio wakati wa kumuwekea application za kuhack mawasiliano yake. Usimuulize chochote, tengeneza mazingira upate uhakika wa Yale unayoyahofia. Mwanamke ni mjanja Sana kwanza hatakubali kwa hayo unayomhisia, atakupiga chenga Sana huta ondoa doubts. Lkn pia akihisi unamashaka ataongeza umakini utasalitiwa kwa muda mrefu baadae.

Ila pia kuwa makini kuletewa mimba za nje pamoja na ukimwi.
Watu mnacomplicate sana maisha, kujitesa bure kwaajili gani?
Eee Mungu kama kweli upo niepushe na ugonjwa wa kumfatilia binadamu.
 
Unaishi vp na mkeo mzee
Au yy ndiye mkuu wa kaya
Mwanaume inatakiw ww ndiy uamue asafir au asisafiri

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Na ndipo alipokosea mjuba kupokea taarifa ya safari ,akaitafasiri kua ameombwa ruhusa ya safari na mkewe na akamruhusu akasepa .Kua kama kamanda usitabilike sometimes Yes sometime No
 
Watu mnacomplicate sana maisha, kujitesa bure kwaajili gani?
Eee Mungu kama kweli upo niepushe na ugonjwa wa kumfatilia binadamu.
Km anamaswali mengi yanataka majibu kufuatilia hakukwepeki. Hio ni nature.
 
Km anamaswali mengi yanataka majibu kufuatilia hakukwepeki. Hio ni nature.
Ni rahisi sana kumgundua mtu wako kama bado anakupenda au la. Mkiona matatizo hayaishi muache aende zake...kufukunyuana mwisho wa siku ndo mnagundua mambo makubwa mwisho wake ni vita hadi kuuana.
Kwanini mfike huko? Piga chini baki kwa amani. Maisha ni mazuri tunayaharibu sisi wenyewe.
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
kwani nani kamuoa mwenzio hapo kwako?

yaani mkeo anakwambia usiku kuwa kesho anasafiri kama vile boss anamuaga housegirl?


anyways subiria siku upangiwe shift ya kulala my bedroom yenu ya ndoa na siku zingine atakua anafanyia kazi za ofisini humu na boss wake...
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Sijaowa bado ila hili lako lingekuwa dogo sana kwangu.

Mambo kama haya yanatukata mzuka sana wa kuishi na mtoto wa mtu.
 
Ukishaondoa concept ya kugongewa na kuona kuwa kagongwa sio ww umegongewa ni yeye kagongwa na atajua mwenyewe na viungo vyake unakuwa haya mambo hayawi na uzito mkubwa, unaheal haraka na ukiwa brain free kwa kiwango cha juu kuhusu matumizi ya viungo vyake inakuwa kama unavyonunua malaya halafu kesho usikie kamuuzia mwingine.

Kuna watu ukigonga gari lake anapatwa na uchungu kuliko ukitembea na malaya wake.
Moja kati ya comment Nzuri sana sana, niseme tu na mie NAKAZIA👊👏👏
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mm kwenye swala hili bdo namlaumu jamaa,

Mm jana mtoto wa shangazi yake na wife alikua na birthday part,wife akanipanga toka juzi nikamtafutia na kacake ka 25k sasa jana mchana nkampa nauli na nkamtahadharisha "HAKUNA SABABU YOYOTE ITAKAYOKUFANYA ULALE HUKO"

Jioni km saa 12 nikaenda na vizawadi vya mtoto thn nkamwambia niko grocery ya jiran nakusubiri,km saa 3 ivi kaja na kasura ka huruma eti naomba nilale nije kesho kuna maongezi na aunt sijamaliza na pia kuna kazi namsaidia,

Nikamwambia BIG NO.

Akaanza kuleta lawama eti namnyima asikae na aunt ake wkt ndo amemlea nikamuuliza unajua n kwanini mwanamke anafanyiwa send off?nikamuambia chunguza ilo alf utanijibu,alf nikamuuliza niondoke au tuondoke??mwenyewe akatangulia tukaondoka.


Moral of de story.HAWA WATU HATA MAMBO MADOGO INABIDI TUWAONESHE UMWAMBA ILI MAMBO MAKUBWA YAWE RAHISI KUYATATUA,
 
Hii concept ya umiliki ndo ya kuachana nayo ibaki ndoa kama mapenzi baina ya watu wawili ambayo yanaweza kuisha. Vitu vinavyomilikiwa ni vitu visivyo na utambuzi au vyenye akili ndogo mfano shati, gari, kuku, bata, punda.

Faida ya ndoa ni mapenzi na malezi ya uzao wako chini ya familia moja baasi mengine ni nadharia tunazoishi nazo kinafiki.

Mkeo Akipeleka uke wake sehemu tofauti kuumia hakukwepeki ila kiwango kitategemeana na huo umiliki uliojipa wa kusadikika.

Mwanangu wa kike akiwa malaya ni mwanangu. Yeye kuwa mwanangu haifuti umalaya wake likini ni mwanangu na sitamkana, nitakuwa sehemu ya aibu yake sababu ni mwanangu.
Oya mwamba hivi umu sijui wanakuelewa kama navyokuelewa but wewe ni real definition ya AKILI kubwa and positive, tumeishi kwa kujiongopea kwenye umiliki wa mwanamke tukasau kuwa huyu ni kiumbe ambaye Ana maamuzi yake kibafsi ,mkeo sio GAri au shati unalo limiki BT ni mtu uliyekubaliana naye muishi pamoja na mfanye uzao wenu BT kumbuka Ana utashi wake, nimefurahi kuona comment Nzuri sana ,tukijua hili tutapunguza vifo kwenye jamii zetu vitokanavyo na mahusiano AMA ndoa, hongera mkuu 👏 ,( wanasema tuishi nao kwa AKILI mnataka AKILI ipi kwani wao matahira, mtu mzima na maamuzi yake)
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Yule jamaa anayemkula baada ya kuhamishiwa Dodoma na Magu kila akija mjini anamkula na sasa mwanamke kaamua kumfuata Dodoma baada ya kumiss show yake.
Watu wa Singida ni vyema waoane wenyewe
 
Nasema kwamba tegemea lolote kutoka kwa mwanamke sababu siyo mali yako, ni binadamu kama wewe mliyekubaliana kuwa atafanya ngono na wewe tu, sasa pale atakapofanya lolote linalovuka mipaka ya mikataba mliyojiwekea vunja mahusiano usijimilikishe kuwa huyo ni wako sijui umemtolea mahari, huwezi miliki binadamu, ukilikubali hilo siku akifanya mambo yasiyokupendeza utakuwa mwepesi kuheal kuliko ukijiambia uongo kuwa huyu ni mali yangu hakuna wa kutembea nae. Ni pua yangu hii nampengea kamasi mie tu.
Oya tuma airtel money yako chap nifanye muamala ukanywe soda kwa mangi ,isee unatema madini !!
 
Oya mwamba hivi umu sijui wanakuelewa kama navyokuelewa but wewe ni real definition ya AKILI kubwa and positive, tumeishi kwa kujiongopea kwenye umiliki wa mwanamke tukasau kuwa huyu ni kiumbe ambaye Ana maamuzi yake kibafsi ,mkeo sio GAri au shati unalo limiki BT ni mtu uliyekubaliana naye muishi pamoja na mfanye uzao wenu BT kumbuka Ana utashi wake, nimefurahi kuona comment Nzuri sana ,tukijua hili tutapunguza vifo kwenye jamii zetu vitokanavyo na mahusiano AMA ndoa, hongera mkuu 👏 ,( wanasema tuishi nao kwa AKILI mnataka AKILI ipi kwani wao matahira, mtu mzima na maamuzi yake)
Mkuu kweli kabisa unachosema. Umetoa mfano mzuri, Mwanaamke sio gari kuwa ukishajaza mafuta unaamua liende wapi au shati kuwa ukishalivaa unaenda nalo popote bila kuhojiwa.
 
Habar wana JF,
Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
Hiyo ilinikuta na mimi juzi kati ,nikamwambia anayepaswa kunipa taarifa kwamba unaitajika kwenda kwenu ni hao waliopo kwenu kinyume na hapo hapa huondoki,nikapigiwa simu na kaka zake ndo nikatoa ruksa na nikamwambia natoa siku moja tu!
 
Mkuu kweli kabisa unachosema. Umetoa mfano mzuri, Mwanaamke sio gari kuwa ukishajaza mafuta unaamua liende wapi au shati kuwa ukishalivaa unaenda nalo popote bila kuhojiwa.
Life is simple wanaume tunajibebesha mizigo mikubwa mno kumchunga mwanadamu for the rest of our miserable life, isee !!, kichwa kitatue changamoto za maisha yenu halafu huku nyuma jitu lihangaike na kiungo chake, uache yote hayo uhangaike naye pia, mwisho muuwane muwatese uzao wenu aloo hilo, Mungu anipushilie mbali nalo
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu huko ni mbali sana kuitwa bila kupewa sababu, yani leo ndugu yako yuko mkoa aseme njoo haraka ukija nitakuambia sababu ya kukuita we unaweza kwenda?? Haiingii hata akilini upoteze nauli bila kujua why unaenda[emoji3] mkeo genius.
Alafu hapo hapo mkuu jamaa kama anaishi vizur na shemej zake kwa nn asiwaulize kunashida gan?huko singida
 
Back
Top Bottom