Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

Sawa mkuu nimekuelewa sana shukrani
Kingine kwasababu umeshakosea mwanzo akirudi usimwonyeshe kama umechukia,kaa kizalendo zaidi jifanye hakuna tatizo lolote.
Mchunguze taratibu pasipo mwenyewe kushtuka,maana mwizi ni mwizi tu halafu mwanamke akianza kuchepuka inajulikanaga wazi. Kagua simu yake pasipo yeye kujua ukweli utaujua. Mwekee mitego atanasa tu,akifika cha kwanza atakucheck umekaa mlengo gani basi wewe jifanye mjinga.
Maana wana tabia ya kukupima umempokeaje.
 
Nikweli lakini kwa mke ningumu kuikubali hiyo statement lakini pia na ndomana huwa sipend kumfatilia wife sababu najua ipo siku tu mambo yatakuwa sio mambo mkuu
Mfatilie endapo umedhamiria ukimkuta na hatia utakuwa tayari kumwacha.
 
Kingine kwasababu umeshakosea mwanzo akirudi usimwonyeshe kama umechukia,kaa kizalendo zaidi jifanye hakuna tatizo lolote.
Mchunguze taratibu pasipo mwenyewe kushtuka,maana mwizi ni mwizi tu halafu mwanamke akianza kuchepuka inajulikanaga wazi. Kagua simu yake pasipo yeye kujua ukweli utaujua. Mwekee mitego atanasa tu,akifika cha kwanza atakucheck umekaa mlengo gani basi wewe jifanye mjinga.
Maana wana tabia ya kukupima umempokeaje.

Sawa sawa mkuu nimekuelewa sana shukrani sana ntafanya hivyo najua atajaa tu wacha nijifanye niko good hakuna tatizo lolote kama ulivosema
 
Habar wana JF
Naimani mko wazima

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife sjui Kwanini lakini nisafar ambayo siielew kabsa wakuu nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Nikwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabsa kwasabubu kwanza nisafari ya kushtukiza lakini pia mbaka now sielew aimed ya safari ni nini mbaka now.
Alhamisi nimelud kutoka kazini usiku tunalala ndo ananipa taarifa ya kuwa kesho ijumaa anasafiri nikamuuliza unaenda wap? akaniambia kapigiwa Sim na dadazake wamemuita ambao wanakaa singida nikamuuliza kunatatizo akasema hapana ila sijui wanashidagani na mimi ndo wamenipigia cm niende Kiukweli nilikuwa nimechoka nahtaji kupumzika sikutaka ku complicate kitu nikamjibu sawa nikalala then asubuh nikajiandaa nikaenda kazini vizur.
Niko Job ananipigia Cm kuwa ndo anatoka home anaelekea stend kupanda Bus ilikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu hayaa na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa bas nikakata Cm lakini kiukweli ghafra akiliyangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea.
Baadaya kupita kama lisaa akantumia message kuwa amepata bus but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote daah sikutaka pia ku doubt wala mambomengi nikamjibu sawa nikaachana nae nikaendelea na kazi zangu but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma By saa 2 ndo ananiambia ndo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo.
Bas mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana badae by saa 7 mchana ananiambia ndo anataka kurud leo nikamuuliza mbona hukuniambia asubuh na kwanini usingeondoka asubh sijaona cha maana anachonijibu bas nikamwambia hayaa kama unarud leo tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia cm ananiambia kuwa yupo stend mala gari sjui hakuna mala zimejaa mala nimechoka naskia usingizi nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuh akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message et amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siobule coz kwenda kashuka Dodoma kurud baada alud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarud kesho mapema na sizan kama kweli alikosa usafiri by dat time ananiambia kuwa kapata usafiri ila unaishia Dodoma so ataenda kulala dom sikutaka ku complicate nika mjibu sawa bhas nikaachana nae.
Ila chaajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa yaan ndo anantumia text sahii saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika heheheh nacheka ila najua mwenyew wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizur kuhusu hii safar yake japokuwa mimi sio mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabsa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonne happen wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana uwanja ni wenu
mkuu kwanza nakuomba muulize haya mswali kisha naomba feedback akikujibu usisahau.
1: muombe tiketi zote alizo panda kwenda huko kuja na kuondoka angalia na mda alio safiri kama ni kweli au laaaaaa

2: wakati unaongea nae omba namba za dada yake mmoja au wawili wapigie kwa kutumia number yako waulize maswali ya trick kujua kama kweli alifika au laaaa

3: kama ikiwezekana na omba hiyo number ya ndugu yake alie kutana nae dodoma

🤣🤣🤣
 
mkuu kwanza nakuomba muulize haya mswali kisha naomba feedback akikujibu usisahau.
1: muombe tiketi zote alizo panda kwenda huko kuja na kuondoka angalia na mda alio safiri kama ni kweli au laaaaaa

2: wakati unaongea nae omba namba za dada yake mmoja au wawili wapigie kwa kutumia number yako waulize maswali ya trick kujua kama kweli alifika au laaaa

3: kama ikiwezekana na omba hiyo number ya ndugu yake alie kutana nae dodoma

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nikweli mkuu ndo mchakato unaofuata shukrani sana mkuu kwa ushauri
 
Kingine kwasababu umeshakosea mwanzo akirudi usimwonyeshe kama umechukia,kaa kizalendo zaidi jifanye hakuna tatizo lolote.
Mchunguze taratibu pasipo mwenyewe kushtuka,maana mwizi ni mwizi tu halafu mwanamke akianza kuchepuka inajulikanaga wazi. Kagua simu yake pasipo yeye kujua ukweli utaujua. Mwekee mitego atanasa tu,akifika cha kwanza atakucheck umekaa mlengo gani basi wewe jifanye mjinga.
Maana wana tabia ya kukupima umempokeaje.
Kazi ndogo sana...eye/s contact....ukiwa fundi unajua kila kitu
 
Back
Top Bottom