Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Kuchapiwa kunauma sanaMla vya wenzake na vyake huliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuchapiwa kunauma sanaMla vya wenzake na vyake huliwa.
Kuchapiwa kunauma sanaMla vya wenzake na vyake huliwa.
Walimpanikisha sana,jamaa nae inaonekana akajaa mazima.Watu wabaya humu
Kisa cha kusota jela nini? Mbususu tu?Yani Mungu anisaidie nisifanyiwe hivyo maana jela ntaenda bila kupenda kuchapiwa kunauma sana.
Mpenzi tu anauma sembuse mke kweli embu mtuhurumie basiKisa cha kusota jela nini? Mbususu tu?
Nenda jela uzisikie mbususu kwenye radio [emoji343]
Jela itakuuma zaidi. Na mbususu hutazipataMpenzi tu anauma sembuse mke kweli embu mtuhurumie basi
Tatizo pia bikira zenyewe siku hizi hakuna kabisa!!Itapendeza. Tatizo hamna ubavu huo
Kwanza mke wa mtu kisheria ruhusa anatoa mume,haya huyu imekuaje eti aitwe na dada zake kirahisi km boyfriend vilee wanapata wapi mamlaka hyoo ya kufanya hvyooMkuu huko ni mbali sana kuitwa bila kupewa sababu, yani leo ndugu yako yuko mkoa aseme njoo haraka ukija nitakuambia sababu ya kukuita we unaweza kwenda?? Haiingii hata akilini upoteze nauli bila kujua why unaenda[emoji3] mkeo genius.
Be a man broh!seems like huna mamlaka, mwanaume kiume na kiume ni kusimama imara bila kuyymbishwaMkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16]Jaman tunaowajua wanawake wa singida msimwambie ukweli huyu jamaa
Braza hao shemeji zako walipaswa kupiga simu kwako pia.Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Ahahah balaa.Dah how yani umemruhusu vipi kwanza safari kama hizo?
Nani kaziondoa?Tatizo pia bikira zenyewe siku hizi hakuna kabisa!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app