Nina wasiwasi na uwezo na elimu ya Chalamila, alikuwaje mkuu wa mkoa ?

Nina wasiwasi na uwezo na elimu ya Chalamila, alikuwaje mkuu wa mkoa ?

Huyu jamaa natamani kujua education background yake, nahisi kama hata darasa la 7 hajamaliza.

Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa ?

Alifikaje ?

Unajua zaman mifumo ulikuwa loosely watu wamefoji sana vyeti na safisha ya JPM haikula hata 30% ya waliofoji.

Huyu jamaa hana uwezo wa kuanalyze matatizo ya mkoa wake critically na kutoa solution kama mkuu wa mkoa na msomi, huwa ishu za msingi ndani ya mkoa wake anazisolve kicomedy na maneno Fulan hivi ya standard 7 failures.

alifikaje kuwa mkuu wa mkoa? Yaani CCM dah

Zamani CCM ilikuwa na watu makini sana, sijui ule mfumo wa selection creams ulifia wapi, ilikuwa zamani kuna kikosi maalum ku identify creams kuanzia mashuleni na makazini, mwisho wa siku unajikuta upo state na hujui umeingiaje.. now days identification umefeli sana na kwenye position kuna viumbe vya ajabu sana kuhold ofisi za Umma.

Ukimuangalia chalamila, unajiuliza alifikaje hadi level za mkuu wa mkoa, yaani mtu kiazi na karai ndio anakua head of region kweli ?

Critically anakuaje mkuu wa mkoa kama Dar , thinking capacity as a leader ipo chini, natamani sana apigwe audit ya vyeti vyake , jamaa hana uwezo. Hata Wafanyabiashara kugoma ni low capacity yake ya kushindwa ku comprehend mambo na kusuggest solution, alifikaje huko juu?
Mmmh
Nafasi za mkuu wa mkoa ziwekwe utumishi, watanzania wenye sifa wawekwe, nchi inaongozwa na makarai snaa
Uchawa ndio umemfikisha hapo.

Sio nafasi ya Ukuu wa Mkoa tu...hata ya DC, Diwani na Wabunge wanapaswa wawe wasomi wenye elimu isiyo na shaka na uzoefu sio kuteuliwa tu kwasbb ni MwanaCCM
 
Uchawa ndio umemfikisha hapo.

Sio nafasi ya Ukuu wa Mkoa tu...hata ya DC, Diwani na Wabunge wanapaswa wawe wasomi wenye elimu isiyo na shaka na uzoefu sio kuteuliwa tu kwasbb ni MwanaCCM
chalamila ana level ya elimu ya Masters. alishafundisha chuo kikuu iringa, alishakuwa na cheo ccm mkoa wa iringa, ana akili zote, ila ameamua tu aina ya siasa yake iwe ya kujichetua akili na wanafanya hivyo strategically, msijefikiri hajui anachofanya.
 
Kibaraka wa ccm... harafu ni rafiki wa Mzee wa msoga...huyu jamaa alikuwa mwalimu wangu pale TABATA wazazi...!

Kwa kusoma inawezekana amesoma kweli ila kichwani tu ndio kumeoza...na sidhani kama anatumia kilevi Chochote😂😂😂​
Mkuu ndio maana jamaa huwa nahisi kama namjua kumbe alifundisha tabata wazazi.. ooh kumbe..
Mimi nilikuwa naishi pembeni ya shule pale
 
Elimu anayo ya kutosha kama huioni ni mtazamo wako, huwezi kumfananisha na wabunge kama Msukuma au Babu Tale. Kushindwa kutatua matatizo ya wafanyabiashara wkt waziri husika yupo hakumfutii RC elimu yake, wapo maprofesa walishindwa kutatua matatizo wizara zao.
 
Nilipoona eti zamani CCM ilikuwa makini sana na walikuwa na selection cream (??) nikaacha kusoma
 
Ukiifahamu siasa ya karikooo CHALAMILA UTAMUINA ANA AKILI SANA.

Usimdharau kiasi hicho sometimes inahitaji watu WA akili yake kudeal na mrengo WA watu WA aina Fulani.

Karikoo kumejaa siasa za kuchafuana, chuki, wivu wa madaraka, tamaa ya Mali NA madaraka, rushwa (siongelei TRA)...

Ivi TRA analalamikiwa KOSA LAKE NINI???

TRA hatungi Sheria na kama sheria zinatoa mianya ya rushwa kwake unamlaumu Nini kutumia udhaifu WA wabunge mlowachagua na wakatunga Sheria zenye matobo??

Hizi Sheria zinetungwa kariakoo ipo zinapita wafanyabiashara wapo Leo mnagoma alafu lawama Kwa TRA... RUBISH

Intel ifanye KAZI yake vizuri hapa huu mchezo WA wapuuzi wachache kuijaribu serikali Kwa kuwatumia wachuuzi ufike mwisho.
 
Hiyo kazi haiitaji Mtu Smart, ukiwa Chawa tu inatosha.

Kila ukiongea we sema MAMA! MAMA! halafu unaanza kukata viuno.
Kudadeki hii INCHI ukiweza kuwa mpiga PAMBIO hodari unakula TEUZI
unaweza ukalala ukaamka
ukasikia MWIJAKU Kawa mkuu wa mkoa wa DSM
 
Uchawa ndio umemfikisha hapo.

Sio nafasi ya Ukuu wa Mkoa tu...hata ya DC, Diwani na Wabunge wanapaswa wawe wasomi wenye elimu isiyo na shaka na uzoefu sio kuteuliwa tu kwasbb ni MwanaCCM
Licha ya kuwa wasomi wapitie mchujo kupata cream kama south korea. In order uweze ku qualify kuwa public servants lazima upitie series of test.
For the record tz ni nchi pekee africa ambayo viongoz ni class 7 karne hii ya 21
 
Nasikia alikuwa senior lecturer sijui chuo gani.

Kuna siku (miezi michache tu iliyopita) mafuriko yametokea dar, nikamsikia anahojiwa na radio ya nje nadhani ni BBC swahili, akawa anatoa yale majibu yake ya comedy kuwa dar hakuna mafuriko bali maji yamepita njia yake, na serikali haishughuliki na kuwasaidia waathirika kwani serikali kazi yake ni kurekebisha miundombinu ya umma kama imeharibiwa kama vile barabara na madaraja. Mtangazaji anasisitiza maswali yake "... lakini mhe mkuu wa mkoa, tayari janga limeshatokea na wananchi wameathirika, na serikali ndiyo ina jukumu la kuwasaidia, je serikali itaacha jukumu lake na kuwatelekeza wananchi?", jamaa akawa anaendelea kujibu utumbo wake huo.

Nilipiga picha na kujiuliza huko nje wanatuonaje kama viongozi wakubwa wanaongea kama wanywa ulanzi kilingeni tena kwenye serious issues kama ile, nikajionea aibu mwenyewe japo nilikuwa mwenyewe ndani na radio yangu alfajiri ile. Ile comedy yake kuwa serikali haitoshughulika kuhamisha watu ila maji yatasaidia ilitrend na kuchekesha kwakuwa janga lilikuwa halijatokea. Lakini baada ya janga kutokea na watu wameumia halafu kiongozi unaendeleza kauli za namna hiyo unakuwa huchekeshi tena bali kila mtu anakushangaa na kukuona hujitambui.

Kwakweli tuna viongozi mizigo nchi hii, na ukiunganisha na umbumbumbu wa wananchi ndo balaa kabisa, hata kuendelea hatuwezi.
Inasikitisha sana . Sijui itachukua miaka mingap kuja kuwa na Tanzania yenye viongozi wenye akili
 
Uchawa ndio umemfikisha hapo.

Sio nafasi ya Ukuu wa Mkoa tu...hata ya DC, Diwani na Wabunge wanapaswa wawe wasomi wenye elimu isiyo na shaka na uzoefu sio kuteuliwa tu kwasbb ni MwanaCCM
Nakubaliana na wewe. Na huu mfumo wa kuteua unaliangamizaa Taifa mana wengi wanaoteuliwa ni huwa kama wanapewa zawadi na sio Accountability
 
Licha ya kuwa wasomi wapitie mchujo kupata cream kama south korea. In order uweze ku qualify kuwa public servants lazima upitie series of test.
For the record tz ni nchi pekee africa ambayo viongoz ni class 7 karne hii ya 21
Nakubaliana na wewe. Unajua tukiwa na mchujo baada ya kuwa qualified kwenye elimu hata nchi itabadilika na tutaheshimiana. Kwa sasa part kubwa ya TZ inaongozwa na wahinga
 
Mkuu ndio maana jamaa huwa nahisi kama namjua kumbe alifundisha tabata wazazi.. ooh kumbe..
Mimi nilikuwa naishi pembeni ya shule pale
Mwamba alikuwa mwalimu pale Tena headmaster 😂😂😂 mwaka 2009 huko...!​
 
Chama cha wauza kuku Tanzania kimeunga mkono mgomo.
 
Huyu jamaa natamani kujua education background yake, nahisi kama hata darasa la 7 hajamaliza.

Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa ?

Alifikaje ?

Unajua zaman mifumo ulikuwa loosely watu wamefoji sana vyeti na safisha ya JPM haikula hata 30% ya waliofoji.

Huyu jamaa hana uwezo wa kuanalyze matatizo ya mkoa wake critically na kutoa solution kama mkuu wa mkoa na msomi, huwa ishu za msingi ndani ya mkoa wake anazisolve kicomedy na maneno Fulan hivi ya standard 7 failures.

Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa? Yaani CCM dah

Zamani CCM ilikuwa na watu makini sana, sijui ule mfumo wa selection creams ulifia wapi, ilikuwa zamani kuna kikosi maalum ku identify creams kuanzia mashuleni na makazini, mwisho wa siku unajikuta upo state na hujui umeingiaje.. now days identification umefeli sana na kwenye position kuna viumbe vya ajabu sana kuhold ofisi za Umma.

Ukimuangalia chalamila, unajiuliza alifikaje hadi level za mkuu wa mkoa, yaani mtu kiazi na karai ndio anakua head of region kweli?

Critically anakuaje mkuu wa mkoa kama Dar , thinking capacity as a leader ipo chini, natamani sana apigwe audit ya vyeti vyake, jamaa hana uwezo. Hata Wafanyabiashara kugoma ni low capacity yake ya kushindwa ku comprehend mambo na kusuggest solution, alifikaje huko juu?
Mmmh

Nafasi za mkuu wa mkoa ziwekwe utumishi, watanzania wenye sifa wawekwe, nchi inaongozwa na makarai snaa
CCM UKITAKA KUPEWA MADARAKA KUWA MJINGA,CHIZI,MSUKUMA MBUNGE NA MPUMBAVU
 
. Hata Wafanyabiashara kugoma ni low capacity yake ya kushindwa ku comprehend mambo na kusuggest solution, alifikaje huko juu?
Mmmh

Sababu za mgomo ni za utawala ama sera za kodi? Wewe jamaa kumbe nawe mkurupukaji tu. Chalamila angetoa majibu yapi kwa mambo ambayo ni ya sera ya kodi zaidi ya kupiga siasa
 
Huyu jamaa natamani kujua education background yake, nahisi kama hata darasa la 7 hajamaliza.

Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa ?

Alifikaje ?

Unajua zaman mifumo ulikuwa loosely watu wamefoji sana vyeti na safisha ya JPM haikula hata 30% ya waliofoji.

Huyu jamaa hana uwezo wa kuanalyze matatizo ya mkoa wake critically na kutoa solution kama mkuu wa mkoa na msomi, huwa ishu za msingi ndani ya mkoa wake anazisolve kicomedy na maneno Fulan hivi ya standard 7 failures.

Alifikaje kuwa mkuu wa mkoa? Yaani CCM dah

Zamani CCM ilikuwa na watu makini sana, sijui ule mfumo wa selection creams ulifia wapi, ilikuwa zamani kuna kikosi maalum ku identify creams kuanzia mashuleni na makazini, mwisho wa siku unajikuta upo state na hujui umeingiaje.. now days identification umefeli sana na kwenye position kuna viumbe vya ajabu sana kuhold ofisi za Umma.

Ukimuangalia chalamila, unajiuliza alifikaje hadi level za mkuu wa mkoa, yaani mtu kiazi na karai ndio anakua head of region kweli?

Critically anakuaje mkuu wa mkoa kama Dar , thinking capacity as a leader ipo chini, natamani sana apigwe audit ya vyeti vyake, jamaa hana uwezo. Hata Wafanyabiashara kugoma ni low capacity yake ya kushindwa ku comprehend mambo na kusuggest solution, alifikaje huko juu?
Mmmh

Nafasi za mkuu wa mkoa ziwekwe utumishi, watanzania wenye sifa wawekwe, nchi inaongozwa na makarai snaa
Mnapenda sana kubembelezwa.

Chalamila ana akili kuliko ukoo wenu wote,ni mwl.wa Chuo Kikuu sio kilaza kama wewe.

Shukiruni Samia anawatetea Kwa huu wizi 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C8m0llftpj_/?igsh=cHlrN3U3YW15M2k0
 
Back
Top Bottom