nina watoto 30 wote mama tofauti

nina watoto 30 wote mama tofauti

Huyu ni member wa 7 nafananishwa naye

Mlianza na Yeezus,mkaja na Chidy boy mkaja na vigagula wengine leo mmemalizia na huyu aisee

Nyie watu wa ajabu sana ila si shangai kwa sababu hata nyani ngabu mlisema yeye ndiye dinazadi
Hahaaaa et nyani ni Dinazarde duuu ila mkuu Mbona ukipewa ban ndio Yeezus anaoneka kuja kukutetea
 
Hao watoto wa 1999 uliwapata ukiwa na miaka 11?
 
Hapo kuna watoto hawana baba.unalea b
Vipi watoto kwa pesa hii.
 
wadau nishaurini nifanyaje mpaka sasa nina watoto 30 watano wapo nchi za nje na mama zao huko uk nlipoenda likizo,kumi nliwapata 1999 wakati nikiwa dereva wamalori.na hawa 15 walobaki watano wapo nigeria,watatu kenya,wawili uganda.na kumi wengine hapa jijini dar.mimi nina mika 29.tatizo nataka kuoa mwezi wa12 nashindwa jinsi ya kumwambia wife siri hii ambae tayari nishamvisha pete.nishaurin mana watt wanataka kuja kunitembelea arusha napokaa.

Acha story za kitoto wewe; Haiwezekani useme ulikuwa dereva wa malori mwaka 1999 (miaka karibu 18 iliyopita) na sasa uwe na miaka 29. Maana yake ulikuwa dereva wa malori ukiwa na miaka 11 ndo ukapata watoto 10!
 
Anzisha jeshi la polisi uwe IGP wewe mwenyewe kwani wewe hutamani kuwa IGP?
 
Acha story za kitoto wewe; Haiwezekani useme ulikuwa dereva wa malori mwaka 1999 (miaka karibu 18 iliyopita) na sasa uwe na miaka 29. Maana yake ulikuwa dereva wa malori ukiwa na miaka 11 ndo ukapata watoto 10!
lori nlianza kuendesha nina miaka 8 nilijifunza nikiwa havard tatizo bongo mpo nyuma sana.nikabalehe nikiwa na miaka kumi
 
Back
Top Bottom