TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
TUKANA UONE Can u kindly share?or Hit my PM😊👋Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Mkuu si rahisi kupata mtaji kwasababu mtaji wake ni mkubwa,hapa nitakaribisha wabia tufanye kazi kwa pamojaTafuta mtaji kwanza
Mkuu hapo ni sawa na kuwa na sight mirror ila gari huna.Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
[emoji23][emoji23][emoji23]Cheki na Mo Dewji
Kabisa mkuu ila nadhani nikifanikiwa itakuwa poa sanaMkuu hapo ni sawa na kuwa na sight mirror ila gari huna.
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupati
Ni biashara gani? Ungetuambia ni kitu gani unataka kufanya, gharama, na mapato. alafu tunaweza kuangalia na kuona kama tunaweza kukupa mtaji.Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Mkuu hapa tatizo ukiweka kila kitu kuna watu wanachukua wazo lako wanalifanyia kazi halafu wewe unaachwa mtu.Ni biashara gani? Ungetuambia ni kitu gani unataka kufanya, gharama, na mapato. alafu tunaweza kuangalia na kuona kama tunaweza kukupa mtaji.
Mtaji kiasi gani?Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Sio kwa Tanzania hii wazo tu likupe mtaji hiyo ni ndoto, pambana mwenyewe upate mtaji na uanze utekelezaji.Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Hahahahahha ni kweliMkuu hapo ni sawa na kuwa na sight mirror ila gari huna.
Kabisa mkuu hapa umenena na lazima nitalitekeleza kwasababu bado sijaona mtu mwingine mwenye wazo kama langu na hatotokeaSio kwa Tanzania hii wazo tu likupe mtaji hiyo ni ndoto, pambana mwenyewe upate mtaji na uanze utekelezaji.
Mtaji ni kuanzia milioni kama 50Mtaji kiasi gani?
Ma benki na watoa mikopo wengi waongo tu wanasema unaweza kupata mtaji kwa wazo ila ukienda hawakupi kabisa.Kabisa mkuu hapa umenena na lazima nitalitekeleza kwasababu bado sijaona mtu mwingine mwenye wazo kama langu na hatotokea
Mkuu wengi ni matapeli,huwa wanataka uwape wazo halafu wakubwage kisha walifanyie kazi waoMa benki na watoa mikopo wengi waongo tu wanasema unaweza kupata mtaji kwa wazo ila ukienda hawakupi kabisa.
Mitaji mbona imejaa.Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.
Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.
Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.