RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Nataka kuoa ila sina nguvu za kiume hee sa si utafte kwanza nguvu za kiume ndo uowe lasivyo utaolea wengne
Unamawazo ya biashara ila huna mtaji
Tafta mtaji kwanza tofauti na apo utatoa mawazo yako kwa mwenye pesa atayachukua af hautafaidika na chochote utakosa vyote sasa
Unamawazo ya biashara ila huna mtaji
Tafta mtaji kwanza tofauti na apo utatoa mawazo yako kwa mwenye pesa atayachukua af hautafaidika na chochote utakosa vyote sasa