Nina wazo la biashara japo la naliuza

Nina wazo la biashara japo la naliuza

Kaka una mtukana Nani mpuuzi wee jitu zima unadowlod app ya umbea ya mange alfu unashindwa kununua. Wazo la biashraa pumbafu Sana endeleeeni kuuza chips mtaani
 
Acha utapeli.
Kama wazo ni la maana na linatekelezeka, ungelitekeleza baada ya kulinunua.
Kwani wewe hutaki kuwa tajiri?

Lingekuwa la maana na una uhakika kuwa linalipa ungetafuta mtu mwenye mtaji mfanye partnership mgawane faida.

Umepigwa na wewe unataka uwapige.
Wajinga ndio waliwao.
Endelea kuwa downlod app ya mange lkn wazo langu katu sinta litoa buree endeleeeni na biashra za chpis na zaga zingine ila hili langu sitoi
 
Ndio naliuzaa unajuwaaa vijana was kitazania wanapenda mserereko sna SAS mm siwezi kuwapa bure bure wazo langu mwalimua niliye mpa anatosha na nimemuambia nikisia hili wazo umelifujisha tutakunyima mzigo
Dah kweli watu wamevurugwa mkuu hilo sio wazo tena ni biashara si unauza
 
Kaak
Huyu kakutana juzi na tajiri wa pembejeo, akadhihaki watu humu, kwamba matajiri wengi hawajasoma sisi tuliosoma sijui brabra bra.. sasa si aafate form four failures awape hili😂😂😂
Ninyi wenye degree Ni wagumu San na bad enough hamuwezi kutake risk yote Hadi muandike makaratasi mengi mengi Sasa mtu darsa la nne anapesa ndefu akiwa na fom four s atakuwa billionaire
 
Wewe tafuta ndugu Yako mwenye Hela mfanye au tafuta mtu muungane kwenye biashara mfanye wewe mtaji wako wazo lako yeye atoe mtaji hisa nusu Kwa nusu

Tanzania Kuna wajanja wengi Ukipata wazo zuri la kuingiza Hela tafuta mtu umjuaye vizuri.mfanye partnership usipopata Baki nalo.Kuna watu matajiri huchukua mawazo ya watu hufanyia kazi hata kuwapa Asante hata ya mdomo tu hamna
Wee una akili sna watu humu wanatka niffujishe wazo langu bure bure alfu wakipa peesa hata Asante hakn nimeonelea nibaki nall tu Wala sinta toa hata hvyo Niko hatya za mwisho kuingia ubia. Na mchina tufanyejuhudi na kaz na mambo yatakuwa swaa
 
Kwa mfano Kuna mwalimu nimemtonya afanye kitu hcho hicho leo anapoiga pesa hata Mia kutoa hajanipa siku Moja nikamchora anipe laki kwa kukopa a
Wewe tafuta ndugu Yako mwenye Hela mfanye au tafuta mtu muungane kwenye biashara mfanye wewe mtaji wako wazo lako yeye atoe mtaji hisa nusu Kwa nusu

Tanzania Kuna wajanja wengi Ukipata wazo zuri la kuingiza Hela tafuta mtu umjuaye vizuri.mfanye partnership usipopata Baki nalo.Kuna watu matajiri huchukua mawazo ya watu hufanyia kazi hata kuwapa Asante hata ya mdomo tu hamna
 
Naona kijana unataka kuleta mbinu za kitapeli mjini. Kwann wewe mwenye shida ya pesa usitumie hilo wazo kuwa tajiri.
Mm Nina Kaz zangu tayari ila nikipata Muda wa Ziada nitafanya
 
Mm Nina Kaz zangu tayari ila nikipata Muda wa Ziada nitafanya
Sasa wape wenzako hilo wazo, kama linathamani ya mamilioni nina uhakika wenye shukurani watakupatia zaidi ya hiyo unayosema unauza wazo.
 
Back
Top Bottom