dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #81
Naikia umenisaliti umeniita mm tapeliUJue hata saa mbovu huwa inaongea ukwel mara 2 katika siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naikia umenisaliti umeniita mm tapeliUJue hata saa mbovu huwa inaongea ukwel mara 2 katika siku
Hata hivyo mimi nilishawahi kuokoka na nina chembe chembe vya ulokole kwa mbaaaaaliHongera
Ahahahahah.Naikia umenisaliti umeniita mm tapeli
Acha porojo unazidi kunifanya kichwa kiumeHata hivyo mimi nilishawahi kuokoka na nina chembe chembe vya ulokole kwa mbaaaaali
Sikutanii mdogo angu. Nakuambia ukwel, maisha tu yakanifanye niuteme ulokole. Ila nilishafikaga hatua ya kukuwekea mkono ukala mwereka. Vipo vilivyobak, Huwa haviondoki vyoteAcha porojo unazidi kunifanya kichwa kiume
SawaSikutanii mdogo angu. Nakuambia ukwel, maisha tu yakanifanye niuteme ulokole. Ila nilishafikaga hatua ya kukuwekea mkono ukala mwereka. Vipo vilivyobak, Huwa haviondoki vyote
Watu wafanye kazi pesa rahisi kwa sasa hazipo kabisaWazo lenyewe ni hili la kukikusanyia laki 200 kutoka kwa watakaojichanganya waingie mtegoni.
Si sawa kumuita mtu tapel, nilishawah post uzi kwa kanzu nyingine kuhusiana na kuhitaji mtu katika masuala ya shughul za kaz, wacha niitwe tapel sijui mwizi, dah nikaishia kusikitika tu, sema ndio vile japo kenge huwa wanasumbua sana ila mambo utawapata tu katika huo huo msafara, mtafanya mambo ya maanaSawa
Vitu vya humu sio vya kuchukulia serious watu tunacomment stress zetuSi sawa kumuita mtu tapel, nilishawah post uzi kwa kanzu nyingine kuhusiana na kuhitaji mtu katika masuala ya shughul za kaz, wacha niitwe tapel sijui mwizi, dah nikaishia kusikitika tu, sema ndio vile japo kenge huwa wanasumbua sana ila mambo utawapata tu katika huo huo msafara, mtafanya mambo ya maana
Nilikosea tu mkuu nilita niseme laki mbiliAhahahahah.
Hapana hapana chief.
Hilo siwez fanya.
Ila pale kwenye laki 200 ndio nikatoka mduki hata wazo kukufuata pm nikaghair maana sina hiyo 20M😂
Hpn aise siyo kwa dili hili ,hapa bila pesa upewe hata mdg wangu kamaliza shule ila nimegomea kumpa diliKizuri kula na nduguzo
Dada wwe nakupenda sana Kama unalihitaji wazo langu njoo nikupe bure kbsa ,huwa nimetokea kukuelewa mno sijui utakuwa mwanmke wa design gani sijui Ni mrembo Sana au wawastan flnMmh waalimu kazi mnayo,hapo juu katajwa mwalimu na sio nesi wala afisa maendeleo
Ndio maana nauliuzaWahuni sio watu.. washakuharibulia biashara asee
Sasa wafanye Kaz gani wkt vijana hawaoni Kaz za kufanya Kama wee Ni mwanasiasa bas utakuwa mjinga Sana tu 🤣Watu wafanye kazi pesa rahisi kwa sasa hazipo kabisa
Biashara gani isiyo na risiti wala kodi?, labda iwe haramu au ujasiriamali tu.ndio
Kumbe Bado sana hujui mifumo ya tra unadhani kila biashara unalipa risitBiashara gani isiyo na risiti wala kodi?, labda iwe haramu au ujasiriamali tu.