Nina wazo la biashara japo la naliuza

Nina wazo la biashara japo la naliuza

Si sawa kumuita mtu tapel, nilishawah post uzi kwa kanzu nyingine kuhusiana na kuhitaji mtu katika masuala ya shughul za kaz, wacha niitwe tapel sijui mwizi, dah nikaishia kusikitika tu, sema ndio vile japo kenge huwa wanasumbua sana ila mambo utawapata tu katika huo huo msafara, mtafanya mambo ya maana
 
Si sawa kumuita mtu tapel, nilishawah post uzi kwa kanzu nyingine kuhusiana na kuhitaji mtu katika masuala ya shughul za kaz, wacha niitwe tapel sijui mwizi, dah nikaishia kusikitika tu, sema ndio vile japo kenge huwa wanasumbua sana ila mambo utawapata tu katika huo huo msafara, mtafanya mambo ya maana
Vitu vya humu sio vya kuchukulia serious watu tunacomment stress zetu
Ile kanzu ilikupendeza kinoma!
Upunguze upole sio mfanyakazi anakupanda kichwani
 
Mmh waalimu kazi mnayo,hapo juu katajwa mwalimu na sio nesi wala afisa maendeleo
Dada wwe nakupenda sana Kama unalihitaji wazo langu njoo nikupe bure kbsa ,huwa nimetokea kukuelewa mno sijui utakuwa mwanmke wa design gani sijui Ni mrembo Sana au wawastan fln

Mm nakukubali mno dada
 
Biashara gani isiyo na risiti wala kodi?, labda iwe haramu au ujasiriamali tu.
 
Back
Top Bottom