dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #21
Laki mbili mkuuunauza bei gani mkuu
nasisistiza UNAUZA BEI GANI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki mbili mkuuunauza bei gani mkuu
nasisistiza UNAUZA BEI GANI
Atlisit wewe umenielewaUtekelezaji bado, yuko kwenye wazo kwanza. Mengine yatafuatia. Step by step.
Laki 2 mkuuLaki LakSamahaniuu,
Unamaanisha laki mia mbili..? Ama laki mbili..??
Mkuu hiyo hela ni ndefu sana fanya hata kusi screenshot tuone hilo wazo likoje?Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri
Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid sna Ni leseni yako tu itakuweka salama na mtaji wa angalau milion 3 na ukiwaa Zaid utapiga Zaid pesa
Biashara inafanywa na watu wasionna elimu kubwa San japo na nimechunguza nikabaini kahama na tabora utapiga peza za maana
Kama mtu Yuko interested aje dm tuyajenga
Kuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo
Niwaonye tu wazo la biashara hamuwezi kulipata humu kiarahisi rahisi na wafanya biashra wengi Ni wasiri sna usitegemee atakule gesha dili kiarahisirahisi
Niko nachati nae hapaKuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo
tupe izo screenshot sasaNiko nachati nae hapa
Kwani s Ni laki mbili mkuuMkuu hiyo hela ni ndefu sana fanya hata kusi screenshot tuone hilo wazo likoje?
Hilo wazo lako ni la biashara gani sasa?Kwani s Ni laki mbili mkuu
Acha utapeli kuwa na I'd mbili haikusaidii kutapeli watuHiv kwasababu gani watu wengi hupenda kuwakashifu watu straigjt namna hii mkuu?
Sina uhakika na anachokizungumzia dr namugari lakin why all of a sudden call someone tapel?
Jaamaa namsiia asiache Kaz apige kotekote mkuu mzigo wa milion 2 utapiga faida ya laki nane bado bado hyo milion Mona ukiwekeza kweny item nyingine lazm kwa mwezi ukunye faida ya milioni Moja mzee Niko serioustupe izo screenshot sasa
Duh I'd IPO mm Tena natumia mkuuAcha utapeli kuwa na I'd mbili haikusaidii kutapeli watu
Okay, tufanye id 2, turud kwenye swal langu, kwann mnapenda hiz kashfa?Acha utapeli kuwa na I'd mbili haikusaidii kutapeli watu
Nakujibia maswal wanasema hii yako ni id yangu pia, zinashirikiana kutapel watu 😂Atlisit wewe umenielewa
aisee iyo faida ya laki nane naingiza kwa mdaa gani baada ya ku invest iyo 2mJaamaa namsiia asiache Kaz apige kotekote mkuu mzigo wa milion 2 utapiga faida ya laki nane bado bado hyo milion Mona ukiwekeza kweny item nyingine lazm kwa mwezi ukunye faida ya milioni Moja mzee Niko seriouai
Uko sahihi kamanda ila cha ajabu sasa hakuna wazo jipya dunian ila wachache ndio wanafanikiwa kwenye mawazo haya haya yasiyo mapyachini ya jua hakuna wazo jipya
Uanongeaa ujinga ganiSisi tukutafute na sio wewe ututafute... Unajua matumizi sahihi ya JF?
Wazo langu siyo jipya na watu wanafaya sna mtaani na siyo wengi na hata wanaofanya hawezi kukuambia faida zake utabaki unaona mtu Ana gari kwa Kaz ya ajabu ajbu kumbe anazo code ambazo hawezi zitoa kuogopa kuigana hvyo watajazana na kuiganaa na Zaid sna wazO langu utafhanya Kaz na wachina ukiwa na pesa ndefu mchina Ana kuwachia uwe Kama dalali wake mnk item hyo haiuzwi tu kienyejiUko sahihi kamanda ila cha ajabu sasa hakuna wazo jipya dunian ila wachache ndio wanafanikiwa kwenye mawazo haya haya yasiyo mapya