Nina wazo la biashara japo la naliuza

Nina wazo la biashara japo la naliuza

Acha tuwe makaburini ila hakuan Cha bure hapa " there is no free idea in USA " sitoi Hili wazo Hadi mtoe hela shinzi Sana mnapedna kuaftili umbea tu ila kununua wazo hamtaki hta kule Twitter nimeliuza Hili wazo hkn Cha bure
Usiwe kama Mange kimambi please😂😂😂😂😂
 
Hiv kwasababu gani watu wengi hupenda kuwakashifu watu straigjt namna hii mkuu?
Sina uhakika na anachokizungumzia dr namugari lakin why all of a sudden call someone tapel?
Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
 
Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri

Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid sna Ni leseni yako tu itakuweka salama na mtaji wa angalau milion 3 na ukiwaa Zaid utapiga Zaid pesa

Biashara inafanywa na watu wasionna elimu kubwa San japo na nimechunguza nikabaini kahama na tabora utapiga peza za maana

Kama mtu Yuko interested aje dm tuyajenga

Kuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo

Niwaonye tu wazo la biashara hamuwezi kulipata humu kiarahisi rahisi na wafanya biashra wengi Ni wasiri sna usitegemee atakule gesha dili kiarahisirahisi
Kweli mawazo sahihi ya biashara sio rahisi kuyapatapata😅
 
Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
Nimesema tangu mwanzo kwenye comment huu ni utapeli huwezi kumuuzia mtu wazo la biashara bongo hii ila unaweza kutoa wazo Bure akiamza biashara na akafanikiwa ndo unaweza kuomba kupewa Asante.
 
Mi natoa laki mbili liandike hapa kwa ajili ya wadau binafsi sitaki kujua idea yako sema nataka kufanya kama kurejesha kwa watu.
Huo ujinga sifanyi lbda unipe milion 10 niliaachie

Wazo natoa kwa mtummoja mmoja tu Kama hawataki waendelee kufungua vibanda vya chips tu ili siku moja waje kumiliki gari
 
Mi natoa laki mbili liandike hapa kwa ajili ya wadau binafsi sitaki kujua idea yako sema nataka kufanya kama kurejesha kwa watu.
Huo ujinga sifanyi lbda unipe milion 10 niliaachie

Wazo natoa kwa mtummoja mmoja tu Kama hawataki waendelee kufungua vibanda vya chips tu ili siku moja waje kumiliki
 
Yaani
Nimesema tangu mwanzo kwenye comment huu ni utapeli huwezi kumuuzia mtu wazo la biashara bongo hii ila unaweza kutoa wazo Bure akiamza biashara na akafanikiwa ndo unaweza kuomba kupewa Asante.
Huo ujinga sifanyi katu yaani nikupe idea yangu nilitumia muda kuresearch alfu nikupe kirahisi never on the Earth nimetoa pesa nikapata pesa hakn aaliyenipa bure nimelinunua na .mm nauza kama hutaji basi nenda kauuze chipsi zege walio serious wakipita hatua kubwa
 
Io Biashara unafanya mkoa wowote au Ni mikoa specific
Nitakuchagulia maeneo ya kufaya ili angalau Hadi mwak huu unaisha umepiga pesa za kutosha na kama utataka unaweza kuongeza dhamani hizo item na kuuza kimoja Hadi 380 Hadi laki tano ninwewe mwenyewe uatavyo taka uendeshe biashRa
 
Back
Top Bottom