dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #41
I'll uweze kunimiliki na mm ukaningoa kwenye biashara siyo chini ya laki 200Sh ngap boss vip nikitaka kukununua na wew jumla sh ngap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'll uweze kunimiliki na mm ukaningoa kwenye biashara siyo chini ya laki 200Sh ngap boss vip nikitaka kukununua na wew jumla sh ngap
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nakujibia maswal wanasema hii yako ni id yangu pia, zinashirikiana kutapel watu 😂
Acha tuwe makaburini ila hakuan Cha bure hapa " there is no free idea in USA " sitoi Hili wazo Hadi mtoe hela shinzi Sana mnapedna kuaftili umbea tu ila kununua wazo hamtaki hta kule Twitter nimeliuza Hili wazo hkn Cha bureOhoooo kumbe wazo! Ujinga mtupu na hata hujafanya biashara yenyewe utuoneshe mafanikio. Ndio maana matajiri wengi wapo kaburini
MjiniKuna mtu mwanajeshi alinifata akaniuliza hzo item mzigo unapataga wapi nikamuambia wewe letter pesa nikuelete mm vinginevyo huwezi pata kiarahisi ,
Nikamuambia ukitaka let laki mbiki nikupe mchongo uko wapi
Jaamaa namsiia asiache Kaz apige kotekote mkuu mzigo wa milion 2 utapiga faida ya laki nane bado bado hyo milion Mona ukiwekeza kweny item nyingine lazm kwa mwezi ukunye faida ya milioni Moja mzee Niko serious
Kaka Sina history ya kitapeli watu Hilo niamniHizi I'd mbili zinaupiga mwingi lazima tu Kuna kolo atapigwa nyundo.
Mmnalifanya Seema sitaki kuwambiwa watu burebureKwamba umekosa mtaji wa kulifanyia kazi hilo wazo lako?
Umeshapiga laki mbili mbili ngapi hadi saa hii dokta?Mmnalifanya Seema sitaki kuwambiwa watu burebure
Moja tu wakifika watano naanza darasaUmeshapiga laki mbili mbili ngapi hadi saa hii dokta?
Je wasipofika inakuwaje?Moja tu wakifika watano naanza darasa
Nitampa hyo dili huyo mmojaJe wasipofika inakuwaje?
Io Biashara unafanya mkoa wowote au Ni mikoa specificJaamaa namsiia asiache Kaz apige kotekote mkuu mzigo wa milion 2 utapiga faida ya laki nane bado bado hyo milion Mona ukiwekeza kweny item nyingine lazm kwa mwezi ukunye faida ya milioni Moja mzee Niko serious