shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
wewe una ile ya chenga chenga?Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100
Hiyo umetuma ni XL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe una ile ya chenga chenga?Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100
Hiyo umetuma ni XL
Hapana ni kama hiyo ulotuma ila tu yangu haina hizo vyumba vyumba.....wewe una ile ya chenga chenga?
ok,mi hzo barafu za 150-200 naona pasua kichwa kwani ni bora uweke ice cream za kutengeneza kilocal ukaweka flavor tofauti tofauti kama uko eneo lenye mapito ya watoto wa shule ya msingi utaokota hela kuliko hzo barafu kwanza ukubwa wake ni zaidi ya ice cqeam 6=600Hapana ni kama hiyo ulotuma ila tu yangu haina hizo vyumba vyumba.....
Ni vyumba viwili naweka zile barafu za mifuko sio hayo makubwa wala sio vipande, zile barafu za 150-200
Hapana ni kama hiyo ulotuma ila tu yangu haina hizo vyumba vyumba.....
Ni vyumba viwili naweka zile barafu za mifuko sio hayo makubwa wala sio vipande, zile barafu za 150-200
ok,mi hzo barafu za 150-200 naona pasua kichwa kwani ni bora uweke ice cream za kutengeneza kilocal ukaweka flavor tofauti tofauti kama uko eneo lenye mapito ya watoto wa shule ya msingi utaokota hela kuliko hzo barafu kwanza ukubwa wake ni zaidi ya ice cqeam 6=600
soko lipo sema hizo fitna za lile soko utaziweza?Habari za Mchana
Nina wazo la kuanzisha kiwanda cha kugandisha mabarafu pale soko la Feri
Naitaji muongozo na ushauri Kwa mtu yoyote ambae aliwahi kufanya au ana uzoefu kidogo na biashara hii
Na pia napenda kupata ushauri au mawazo ya jinsi ya kurent sehemu ya soko na kuweka kampuni yangu hapo
Hapa nalenga kujua ishu ya vibali na utaratibu wote wa kufata
Ahsante Sana
pale unatakiwa utengenezee uko mbali pale unapeleka tena unawashika wale malegendari japo wawili unawatengea posho yao japo 30,000@ kwa mwezi,yaani unasacrifice mauzo ya siku moja wanakupa back up na kabla ya kufanya nenda japo wiki nzima as survey naamini utapata picha kubwa na kujua namna gani uingiesoko lipo sema hizo fitna za lile soko utaziweza?
kuna wajinga wengi na watu wenye roho mbaya wanaongeza na siasa za maji taka basi inakuwa tafrani tupu
pale unatakiwa utengenezee uko mbali pale unapeleka tena unawashika wale malegendari japo wawili unawatengea posho yao japo 30,000@ kwa mwezi,yaani unasacrifice mauzo ya siku moja wanakupa back up na kabla ya kufanya nenda japo wiki nzima as survey naamini utapata picha kubwa na kujua namna gani uingie
Eleza kwa ufupiNiko hapa now, nacheck mazingira
Naona kuna fitna nyingi sana haha
nchi hii kila eneo lina urasimu ndugu,nenda na beat wanao wapate mkate wa kila siku!It's like kuna madalali ambao wao Wana watu wao ambao wanatakiwa kuleta barafu humu feri
I don't think kama ni Jambo la official na sidhan kama mamlaka zinajua
Cartels ziko kila mahali duniani, siyo Bongo tu.Bongo shida sana...!
Tafuta mmoja ishi naenchi hii kila eneo lina urasimu ndugu,nenda na beat wanao wapate mkate wa kila siku!
ebu ungepata na wasaa ukaenda na ng'ambo ya kule upande wa kigamboni unaweza kupata furra pia ukiweza nenda kawe ukwamani kuna sehemu wanauza samaki na hata kule kunduchi pia kuna mnadaNiko hapa now, nacheck mazingira
Naona kuna fitna nyingi sana haha
Sijui nakosea wapi. Kwangu naona kuganda hadi siku 2mimi nina friza dogo la lita 300 ila nagandisha vidumu vya lita 5 nimevikata juu nauza barafu jero jero na naweka barafu 24 hapo kila cku uhakika wa 12,000
Nadhani changamoto yako ni kuweka mzigo mkubwa na inapelekea kuchelewa kugandisha,weka japo mstari wa chini na kati na juu usiweke ili kulipa friza nafasi ya hewa kuzunguka ndani vizuri,friza kuwa limetumika muda mrefu (used) Friza kama limetumika muda mrefu uwa linapoteza nguvu,friza kuwa sehemu ambayo umeliweka karibu na ukuta na kufanya mzunguko wa hewa kutokupita vizuri kwa nyuma ya friza (chunguza wakati wa mvua na wakati wa jua nyakati gani barafu zinaganda haraka) eneo lenye joto linachelewesha barafu kuganda.Sijui nakosea wapi. Kwangu naona kuganda hadi siku 2
Nadhani changamoto yako ni kuweka mzigo mkubwa na inapelekea kuchelewa kugandisha,weka japo mstari wa chini na kati na juu usiweke ili kulipa friza nafasi ya hewa kuzunguka ndani vizuri,friza kuwa limetumika muda mrefu (used) Friza kama limetumika muda mrefu uwa linapoteza nguvu,friza kuwa sehemu ambayo umeliweka karibu na ukuta na kufanya mzunguko wa hewa kutokupita vizuri kwa nyuma ya friza (chunguza wakati wa mvua na wakati wa jua nyakati gani barafu zinaganda haraka) eneo lenye joto linachelewesha barafu kuganda.
Kati ya hayo niliyoyaweka hapo juu kuna linalopelekea barafu zako zis
Nashukuru umenifumbua macho, huwa najaza mistari 3 kwenda juu na pia lipo ukutani kabisaNadhani changamoto yako ni kuweka mzigo mkubwa na inapelekea kuchelewa kugandisha,weka japo mstari wa chini na kati na juu usiweke ili kulipa friza nafasi ya hewa kuzunguka ndani vizuri,friza kuwa limetumika muda mrefu (used) Friza kama limetumika muda mrefu uwa linapoteza nguvu,friza kuwa sehemu ambayo umeliweka karibu na ukuta na kufanya mzunguko wa hewa kutokupita vizuri kwa nyuma ya friza (chunguza wakati wa mvua na wakati wa jua nyakati gani barafu zinaganda haraka) eneo lenye joto linachelewesha barafu kuganda.
Kati ya hayo niliyoyaweka hapo juu kuna linalopelekea barafu zako zisigande vizuri