shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewaNashukuru umenifumbua macho, huwa najaza mistari 3 kwenda juu na pia lipo ukutani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewaNashukuru umenifumbua macho, huwa najaza mistari 3 kwenda juu na pia lipo ukutani kabisa
Shukrani sanaWeka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewa
Habari Evelyn SaltHiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100
Hiyo umetuma ni XL
Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake?Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100
Hiyo umetuma ni XL
Ajasema kuwa anaiuza.Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake?
Nkifika home ntakutumia, tuongee nikuuzie kama tutawezanaInapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake?