shikamkono01 JF-Expert Member Joined Mar 26, 2016 Posts 685 Reaction score 2,055 Sep 13, 2024 #41 mamylove said: Nashukuru umenifumbua macho, huwa najaza mistari 3 kwenda juu na pia lipo ukutani kabisa Click to expand... Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewa
mamylove said: Nashukuru umenifumbua macho, huwa najaza mistari 3 kwenda juu na pia lipo ukutani kabisa Click to expand... Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewa
mamylove JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 1,085 Reaction score 1,780 Sep 13, 2024 #42 shikamkono01 said: Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewa Click to expand... Shukrani sana
shikamkono01 said: Weka mistari miwili na liwe eneo lenye mzunguko mzuri wa hewa Click to expand... Shukrani sana
Ak 14 Member Joined Aug 24, 2016 Posts 21 Reaction score 13 Jan 28, 2025 #43 Evelyn Salt said: Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100 Hiyo umetuma ni XL Click to expand... Habari Evelyn Salt Ningependa kujua zaidi kuhusu mashine za kugandisha barafu i.e bei,uwezo wa kuzalisha barafu, matumizi ya umeme na upatikanaji wake.
Evelyn Salt said: Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100 Hiyo umetuma ni XL Click to expand... Habari Evelyn Salt Ningependa kujua zaidi kuhusu mashine za kugandisha barafu i.e bei,uwezo wa kuzalisha barafu, matumizi ya umeme na upatikanaji wake.
Zogoo da khama JF-Expert Member Joined May 20, 2013 Posts 631 Reaction score 592 Jan 28, 2025 #44 Evelyn Salt said: Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100 Hiyo umetuma ni XL Click to expand... Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake?
Evelyn Salt said: Hiyo mashine nnayo, ila ni ndogo yake inagandisha zile barafu size ndogo za kupoza vinywaji..... Na mara moja inatoa barafu 100 Hiyo umetuma ni XL Click to expand... Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake?
K Kalemba JF-Expert Member Joined Nov 5, 2024 Posts 1,375 Reaction score 2,255 Jan 28, 2025 #45 Zogoo da khama said: Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake? Click to expand... Ajasema kuwa anaiuza.
Zogoo da khama said: Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake? Click to expand... Ajasema kuwa anaiuza.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 70,916 Reaction score 141,437 Jan 28, 2025 #46 Zogoo da khama said: Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake? Click to expand... Nkifika home ntakutumia, tuongee nikuuzie kama tutawezana
Zogoo da khama said: Inapatika kwa bei gani na je naweza kuona picha yake? Click to expand... Nkifika home ntakutumia, tuongee nikuuzie kama tutawezana