Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Narudi kupiga winga Kariakoo, naona kupiga winga is better than kuwa hapa.Sio kosa kuacha kazi hata kama ina maslahi mazuri. Swali la msingi la kujiuliza ni Je,unaacha kazi hiyo ili ufanye kazi ipi na kwa maslahi yapi mapana kwa future yako? Ukipata jibu hapa basi hii kesi yako imekwisha
Kumbe na wewe ni Mzee wa UPTZ!Narudi kupiga winga kariakoo,naona kupiga winga is better than kuwa hapa.
Kama una plan B mkuu achana na hiyo kazi,mara nyingi mimi nauamini zaidi mtaa maana ndo maisha yenyewe kuliko hizi kazi za kufungiwa na kuombana ombana misamaha pasipo na kosa la maana.Narudi kupiga winga kariakoo,naona kupiga winga is better than kuwa hapa.
Je mwanzo kabla ya kuwa hapo ulikuwa unafanya shughuli gani,je utofauti wa hapo ulipo na mwanzo ni kipato kutofautiana ama,ni heri uombe mapumziko ya angalau mwezi mmoja bila mshahara kisha ukaangalia upepo wa nje ya iyo ofisi mpyaMazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia.
Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable)
So naona siwezi kuendelea nao mbele.
Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha.
Mnanishaurije?
Nina goli langu Town ambalo sikosi 300k kama faida kwa mweziJe mwanzo kabla ya kuwa hapo ulikuwa unafanya shughuli gani,je utofauti wa hapo ulipo na mwanzo ni kipato kutofautiana ama,ni heri uombe mapumziko ya angalau mwezi mmoja bila mshahara kisha ukaangalia upepo wa nje ya iyo ofisi mpya
Kupiga winga maana yake nini?Narudi kupiga winga kariakoo,naona kupiga winga is better than kuwa hapa.
300k kwa mwezi. Na mshahara ulikuwa shingapi kwa mwezi?Nina goli langu Town ambalo sikosi 300k kama faida kwa mwezi