DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Maana yake huyu anakuwa Kama dalali akileta mteja anapata kitu.Kupiga winga maana yake nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana yake huyu anakuwa Kama dalali akileta mteja anapata kitu.Kupiga winga maana yake nini?
Hii winga ipoje? tukapige wote hapo kkooNarudi kupiga winga kariakoo,naona kupiga winga is better than kuwa hapa.
Unazinguwa babu, kuna watu wanaliopwa laki mbili kwa mwezi na wanatabasamu tu.Hapa mshahara ni 850k take home,ila matumizi ni makubwa sana naona.
Ainisha hapa hayo matumizi mkuu watu wayapime wakupe ABCHapa mshahara ni 850k take home,ila matumizi ni makubwa sana naona.
Hazingui Mzee, watu wako na Vision tofauti. Kila mtu yuko na uhuru wa kucheki liliko sawa [emoji2]Unazinguwa babu, kuna watu wanaliopwa laki mbili kwa mwezi na wanatabasamu tu.
Hichi kizazi cha Jk ni shida sana.
Kula tu per day ni 10k, usafiri mpaka ofisi ilipo kwenda na kurudi 3k.bado sijapata ghetto hivyo naishi Lodge,per day ni 12k.Ainisha hapa hayo matumizi mkuu watu wayapime wakupe ABC
Kwani ofisi yako umefunga?
Km hujafunga ofisi jaribu kufanya yote kwa pamoja
Chumba kizuri tu unapata kwa 50,000/= unapanda basi moja tu kwenda kazini, ila wewe unakaa lodge, hongera sana.Kula tu per day ni 10k, usafiri mpaka ofisi ilipo kwenda na kurudi 3k.bado sijapata ghetto hivyo naishi Lodge,per day ni 12k.
kama ni ivyo usiache iyo kazi endelea nayo,na hapo ulipokuwa mwanzo tafuta dogo wa kiume ama bint umuweke kisha kila siku mida ya jioni upatapo muda unatembelea kwa ajili ya kupata mrejesho wa biashara yakoNaona wengi wa watu wangu wa karibu wamenishauri hivi.mshahra take home ni around 850k
Wewe nikikuita ni mjinga nitakuwa nakosea kweli?Kula tu per day ni 10k, usafiri mpaka ofisi ilipo kwenda na kurudi 3k.bado sijapata ghetto hivyo naishi Lodge,per day ni 12k.
Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiainaWewe nikikuita ni mjinga nitakuwa nakosea kweli?
Kuishi lodge kwa mwezi hiyo pesa ungekuwa umepanga chumba ni kiasi gani ungeokoa?
chakula ukijiwekea ndani kama mahitaji ya mwezi mzima ungetumia kiasi gani?
Vijana wa siku hizi mbona kichwani watupu namna hii??
Kama ni mazingira ya bush basi huko ndio nafuu sana kwa uzoefu wangu mimi wa kutembelea hii nchi yetu.Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Hoja yako kama vile ni chai!Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Duh , kumbe ni rahisi hivi!Lala siku tatu nyumbani, jambo limeisha!