Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni kijiji gani Tanzania kiwe na lodge ukose chumba cha kupanga?Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Ulidhani kazi ya kichwa ni kufugia nywele na kubeba meno tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kijiji gani Tanzania kiwe na lodge ukose chumba cha kupanga?Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Kuna mkoa nilitembelea kwenye hotel niliyofikia ndio hotel kubwa hapo mkoani, yule kijana anayefanya kazi reception akitoka kazini jioni ni bodaboda amenunuwa pikipiki yake, hata mimi siku nacheck out alinibeba yeye saa 10 alfàjiri kunipeleka stand ya mkoa.Aixee,tembea jamiiforum ujionee mengi amin nakwambia 850 utaikumbuka sana,kazi ya mtu unapush some papers on desk,unataka kuiacha,hapo nikuserve expenses ili kwa mwezi ache angalau laki tano ikizidi Yani fanya kazi tafuta mtaji wa kutosha Zen sepa
Vumilia rafiki anguMazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia.
Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable).
So naona siwezi kuendelea nao mbele.
Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha.
Mnanishaurije?
😁😁😁Chumba kizuri tu unapata kwa 50,000/= unapanda basi moja tu kwenda kazini, ila wewe unakaa lodge, hongera sana.
Mnatujazia uchafu tu hapa JF.
Hata mimi ndicho ninachokionaMleta mada anaumwa ugonjwa wa dar sickness amepamiss dar na heka heka zake!
Ushauri wangu kaa huko bush kwa miaka hta mitatu u make huo mshahara angalau ufike hta million 15 ukirudi dar utafanya mtaji
Dar ukiwa na mtaji ni unatoboa kiulaini.
[emoji2][emoji2][emoji2]Chumba kizuri tu unapata kwa 50,000/= unapanda basi moja tu kwenda kazini, ila wewe unakaa lodge, hongera sana.
Mnatujazia uchafu tu hapa JF.
sasa mura shida nini. Uni hano nde ntana melemo halafu uwe ulatuna ghutigha ighasi😳😳😳Kipapai sidhani mkuu
Mazingira ya kazi yanabeba uhalisia mzee kwel nimeamin dar kutamu ahahhaah back to the citySure
Mkuu umepata kazi wapi? Huko taja eneo wengine tuishakaa bush huko umeme unawaka kwa jenereta ikifika saa 6 usiku unazimwa..Nyumba ndio changamoto,ni mazingira ya Bush kiaina
Wewe umelogwa au ni mhaya???Kula tu per day ni 10k, usafiri mpaka ofisi ilipo kwenda na kurudi 3k.bado sijapata ghetto hivyo naishi Lodge,per day ni 12k.