Nina wiki ya pili kazini, ila nataka kuacha kazi

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Mazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia. Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable). So naona siwezi kuendelea nao mbele.

Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha.

Mnanishaurije?
 
Sio kosa kuacha kazi hata kama ina maslahi mazuri. Swali la msingi la kujiuliza ni Je, unaacha kazi hiyo ili ufanye kazi ipi na kwa maslahi yapi mapana kwa future yako? Ukipata jibu hapa basi hii kesi yako imekwisha
 
Vipi mshahara unaeleweka?..kama vipi chukua mshahara wa mwezi huu kisha endelea kusaka ajira.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mazingira ya hii kampuni tu hayajanivutia.
Ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja(renewable)
So naona siwezi kuendelea nao mbele.
Ndio kwanza nina week ya pili kazini ila nataka kuacha.
Mnanishaurije?
Je mwanzo kabla ya kuwa hapo ulikuwa unafanya shughuli gani,je utofauti wa hapo ulipo na mwanzo ni kipato kutofautiana ama,ni heri uombe mapumziko ya angalau mwezi mmoja bila mshahara kisha ukaangalia upepo wa nje ya iyo ofisi mpya
 
Je mwanzo kabla ya kuwa hapo ulikuwa unafanya shughuli gani,je utofauti wa hapo ulipo na mwanzo ni kipato kutofautiana ama,ni heri uombe mapumziko ya angalau mwezi mmoja bila mshahara kisha ukaangalia upepo wa nje ya iyo ofisi mpya
Nina goli langu Town ambalo sikosi 300k kama faida kwa mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…