Nina wivu nashindwa hata kumeza mate!

Nina wivu nashindwa hata kumeza mate!

...........!😀😀
kama kawaida
mpwa najiandaa kuingia ''maombolezoni'' YAHUSU;mc-lema

mpwa bora uende, waarusha wamesusa maiti na msiba wake
 
mpwa bora uende, waarusha wamesusa maiti na msiba wake
ohooooo!
wa2 wa huko ni wakatili kiasi hicho?
amewakosea nini emsii LEMA?
infact nilikuwa nataka nimuhusishe kwenye PROJEKTI 13/02/2010
 
tuko pamoja ekzoskeleton (rifaa tu yowa avatar), panahitajika maombi au mganga wa kienyeji kutatua hili problemu la sista annina.

Hahahaha shurkani mkuu kama anataka ushauri awaone wapwazi watamsaidia maana huo wivu sasa umepitiliza na kuwa ugonjwa....njoo tukutibie ipo siku utakunywa sumu ukija mfumania mmeo anamdownload hausi geli.
 
ANNINA mbona mimi haunishukuru inaonekana nimeongea mashudu eeh?...
Anninia kiukweli mi nilimsoma anzia asubuhi, hakutegemea ushauri kama huu waliotoa wengi wa wapwa naona.
ukichunguza utaona senks zimegongwa kwenye post za namna gani.

haina mbaya lakini anninia....si unajua tena!!!!
 
Sasa akiendelea kukuzengua zaidi, you know where to find me! Mi kule kwetu MILA zinaruhusu kuwa na mke zaidi ya mmoja. I can think of you. Got that Law Girl?

Chrispin, asante kwa mwaliko, nina wasiwasi kama tutawezana - MILA VS WIVU!

Annina
 
mpwa bora uende, waarusha wamesusa maiti na msiba wake
Nimejaribu kuomba imejensi livu nikamzike mdumisha mila mwenzangu nimebaniwa! Mwaka kesho najiajiri mwenyewe! Watanikoma!
 
Anninia kiukweli mi nilimsoma anzia asubuhi, hakutegemea ushauri kama huu waliotoa wengi wa wapwa naona.
ukichunguza utaona senks zimegongwa kwenye post za namna gani.

haina mbaya lakini anninia....si unajua tena!!!!
KWA hiyo mimi hajanigongea senksi?
nataka nirudi kwenye post zake zote nikazirimuvu senksi zangu
 
Chrispin, asante kwa mwaliko, nina wasiwasi kama tutawezana - MILA VS WIVU!

Annina

Ukishafanyiwa MILA, Wivu unadailuti with imedieti ifekti! Hebu tujaribu. Ngoja nikuPM twende sawa!
 
Nimejaribu kuomba imejensi livu nikamzike mdumisha mila mwenzangu nimebaniwa! Mwaka kesho najiajiri mwenyewe! Watanikoma!
vere sadi stori,
mwaka huu nitafungua baa...!
 
Afu na wewe! Mwenzio natesti zali we unaniwekea kiwingu!

hebu huko...mwenzio anatafuta namna ya kuimarisha uhusiano wake ucyumbe we unataka kumuharibia malengo....uharibifu tu wakati ukishaaribu unaacha hapo unarudi kwa amam kayaii....ndio mana hukunioa.
 
ANNINA mbona mimi haunishukuru inaonekana nimeongea mashudu eeh?...

Pole sana Geoff, uniwie radhi mpenzi wangu, sikukusudia kukuumiza... bado nasoma post na kuzijibu, wewe ni mmoja wa watu ninaowajali na kuthamini michango yao. Hope umenielwa.

Asante sana,

Annina
 
HEHEHE!kelele kimtindo tu
lakini TUNASONGA

Hehehe duh ukipata cha gorofani pale ndo penyewe huyu mwenye wivu atajinyonga akiona mzee anajinyoooooosha kwa Mjapan
 
Ila ule ushauri wako wa kumung'unya mtarimbo unahitaji thread yake iliyokamilika! Manake inawezekana Annina anaweza kuususia kwa kuwa tu ex gf alikuwa anautumia atakavyo (Na kujiexpress ofkozi, huwezi jua)
mtarimbo hawezi kuususia, acha bwana ile kitu achana nayo, magari, nyumba nk vitasusiwa lakini pale full stop hata ukisema umesusa, unaweza usijue saa ngapi uli-lift hiyo ban maana unaweza stuka kitu kiko ndani ya nyumba mwe!
 
Pole sana Geoff, uniwie radhi mpenzi wangu, sikukusudia kukuumiza... bado nasoma post na kuzijibu, wewe ni mmoja wa watu ninaowajali na kuthamini michango yao. Hope umenielwa.

Annina

He makubwa!!!!!
Mi nilisha sema wewe kichwani mwako kuna uwalakini hii akiona Mr. wako atakuelewaje?
 
hebu huko...mwenzio anatafuta namna ya kuimarisha uhusiano wake ucyumbe we unataka kumuharibia malengo....uharibifu tu wakati ukishaaribu unaacha hapo unarudi kwa amam kayaii....ndio mana hukunioa.
HAPA NYAMAYAO NABISHA!kwa ninavyomfahamu mimi x-pin hashindwi kuongeza mke wa saba,na anapokuwa NYAMAYAOOO!...llol lol lol!aisee hilo hatutashindwa.hata tukutuku tutaliweka rehani
 
Back
Top Bottom