Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..........nitahakikisha kijana maslahi yako yanakuwa secured
huyu mimi nitamfelisha!.........
aondoke huku KIJIWENI tafadhali
Mpwa taratibu! Huwezi jua bana! MILA!
kumbe!....ni she?
naona leo mamaa la carmel AMEKUJA KI-VINGINE!....
ngoja nimpigie dada ake x-pin aingie AJICHOTEE MAUJUZI!...
kimcharuko ama? mmh, ngoja nipunguze spid nisije nikawa namhalalishia hubby kucheat lol.naona leo mamaa la carmel AMEKUJA KI-VINGINE!....
ngoja nimpigie dada ake x-pin aingie AJICHOTEE MAUJUZI!...
hii ni slogan ya mamaa la carmel!...IMETULIAwe we we..mbona ivo tena...pulease usimpigie, dont try this at home (Carmel, 2010)
Uhalalishe usihalalishe! Unaibiwa mama! Stuka! Wanaume ndivyo tulivyo, mbona huwa hamniamini?kimcharuko ama? mmh, ngoja nipunguze spid nisije nikawa namhalalishia hubby kucheat lol.
we we we..mbona ivo tena...pulease usimpigie, dont try this at home (Carmel, 2010)
upo kikazi zaidi!i mean umekuja kivingine.........kimcharuko ama? mmh, ngoja nipunguze spid nisije nikawa namhalalishia hubby kucheat lol.
Ila hii nayo inauma ila ndo ukweli wenyewe unfortunately, du!😡
hahaha no matter who you are ??
hapana huyu sasa hivi ataungana na MC lema na tutamuimbia mapambiondio hapo mie nakuwaga na wivu wa mcmu mana nahic nitamboa mwenzangu, atakosa hata raha ya nyumbani kwake, sasa huyu mwenzetu cm ya mchumba ikiingia msg anapata wazimu kweli ana maisha marefu huyu?
Ndo kusema hataki mwenzie accomunicate na mtu mwingine yeyote?ndio hapo mie nakuwaga na wivu wa mcmu mana nahic nitamboa mwenzangu, atakosa hata raha ya nyumbani kwake, sasa huyu mwenzetu cm ya mchumba ikiingia msg anapata wazimu kweli ana maisha marefu huyu?
Matarajio yake yalikuwa nini? Apewe mbinu za kuongeza wivu siyo?ushauri umeenda kinyume na matarajio yake!!!!!!!!!
hapana huyu sasa hivi ataungana na MC lema na tutamuimbia mapambio
ndio hapo mie nakuwaga na wivu wa mcmu mana nahic nitamboa mwenzangu, atakosa hata raha ya nyumbani kwake, sasa huyu mwenzetu cm ya mchumba ikiingia msg anapata wazimu kweli ana maisha marefu huyu?
Mi siwezi kuamini na ndo maana naishi kwa amani bwana. Na sitaamini hadi nipate evidence ambayo ni proper, otherwise kujitia pressure na wasiwasi no, najua ni mimi tu until proved otherwise.Uhalalishe usihalalishe! Unaibiwa mama! Stuka! Wanaume ndivyo tulivyo, mbona huwa hamniamini?
afu eti Mrs watu wanashangaa sionekani, nitaonekana vipi na 'nyumbani kuna raha'? LOL😀