makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Unatuuzia ramani ya MBWINU za vita 😂😂🤣🤣🤣🤣Ulivyotia msisitizo Sasa!!Mimi naweza kutoushika hata miezi mitatu ila siku isiyo na jina amerelax ndio nampiga tukio....ila kushuka Kila siku ni kumongezea mbinu za maficho....siku hizi Hadi Wana app za kuficha meseji zao
Makaveli umeanza uchizi wako 🤣🤣🤣Sasa achukue wapi nasi tupo, mnataka tudode ama, tuitwe MANUNGAEMBE.. 😂🤣
Kweli tumetofautiana,,,Mimi na maneno hapaaaana,Nina Moyo mdogo sana,yaani maneno Huwa yananiput off sana naona kama Ile dignity yangu imepotea,ila wivu naumudu sanaKaka mzuri alikuwepo kabla ya ex ujue? Nilishakwambia bwana.
Mimi wala maneno huwa hayanisumbui, nilishakuwa sugu hakuna vita sijapigana JF 😀
Mimi wala sinaga muda na simu, ila ndio kama hivyo itokee tu ndio maana siwezi kusema sitoshika.🤣🤣🤣🤣Ulivyotia msisitizo Sasa!!Mimi naweza kutoushika hata miezi mitatu ila siku isiyo na jina amerelax ndio nampiga tukio....ila kushuka Kila siku ni kumongezea mbinu za maficho....siku hizi Hadi Wana app za kuficha meseji zao
Kwahio unamkandia blaza au sio lazma nimchane 😂Bora umemalizia hivyo, kuna vibabu wana wivu wa kiboya kwahiyo nafikiri huwa wanazeeka na wivu wao.
Km zile nchi za Sudan ni mwendo wa kupinduana 🤣🤣🤣🤣Jambo hili linatufundisha wapenzi wakigombana, chukua jembe ukalime.
Alipinduliwa, nae kajipanga kapindua meza kibabe.
View attachment 2885507wa hivi hata nichapiwa sishituki aisee.
La kuvunja chagaa
Mmekuwa watukutu sana nyie,yaani kushinda napekua simu ya shemeji yako ni kumongezea mbinu tu.....Bora ajisahau ajua mama la mama hanaga Hizo,mara paaap!Unatuuzia ramani ya MBWINU za vita 😂😂
Wa hivi hata nichapiwa sishituki kabisa. Wao wachape tu😀😀
🤣🤣🤣🤣Halafu Hana habareee....tumjengee sanamu😳😳😳 Jamani kachukua tena humu humu?!!
Huyu apewe tuzo kwakweli.
Mi nilijua karudiana na yule yule wa mwanzo.!!🤣🤣🤣🤣Halafu Hana habareee....tumjengee sanamu
🤣🤣🤣🤣🤣Kwahio unamkandia blaza au sio lazma nimchane 😂
Ngoja nikae kimya, nisije nikaropoka nikatoa siri za kambi bure. 😂🤣Mmekuwa watukutu sana nyie,yaani kushinda napekua simu ya shemeji yako ni kumongezea mbinu tu.....Bora ajisahau ajua mama la mama hanaga Hizo,mara paaap!
😂🤣Kama kongo, ni mwendo wa kupinduana pinduana tu..Km zile nchi za Sudan ni mwendo wa kupinduana 🤣🤣🤣🤣
Sasa ss hivi aweke ulinzi mkali asije kupinduliwa tena, waasi wanajipanga kufanya mapinduzi
Basi bana, wacha nikae kimya mieMakaveli umeanza uchizi wako 🤣🤣🤣
Eti Manungaembe Yan nacheka watu wananiona mwezi mchanga
We fundi umemix nyuzi au?aisee nimelia sana mkuu pole z🥲
🤣🤣🤣 Mwehu ww!!😂🤣Kama kongo, ni mwendo wa kupinduana pinduana tu..
Jamani nami atokee wa kumpindua mamsapu 😂
😂😂😂 Bado nacheka na hiyo nungaembeBasi bana, wacha nikae kimya mie
😂