Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huu unafiq kabisa, lazma nimchane🤣🤣🤣🤣🤣
Balaza hana wivu kabisa, anazeeka vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu unafiq kabisa, lazma nimchane🤣🤣🤣🤣🤣
Balaza hana wivu kabisa, anazeeka vizuri.
🤣🤣🤣🤣 aah shemeji utaharibu sasa. Blaza hana shida kabisa.Huu unafiq kabisa, lazma nimchane
Hahaa.. Sitaki laana za kupindua 🤣, unaweza sema napindua hivi, ukajikuta UMEPINDUKA wewe 😂😂🤣🤣🤣 Mwehu ww!!
Km hakuna wa kumpindua wifi wapindue ww waliokuwa kwenye mahusiano yao 😂
Acha zako basi bibie 😂🤣😂😂😂 Bado nacheka na hiyo nungaembe
Sasa si unaandaa silaha nzito nzito na mabomu ya kutosha 😂😂😂Hahaa.. Sitaki laana za kupindua 🤣, unaweza sema napindua hivi, ukajikuta UMEPINDUKA wewe 😂😂
Yan ww unaonekana kabisa fisi 😂😂Acha zako basi bibie 😂🤣
Mabalaa hayo nimewaachia vijana.Sasa si unaandaa silaha nzito nzito na mabomu ya kutosha 😂😂😂
Vibaya hivyo, mie ni mtu SWAAAFI kabisa, sina mambo ya kuzengea zengea.Yan ww unaonekana kabisa fisi 😂😂
Hapana mkuu sijamix kabsaWe fundi umemix nyuzi au?
Tena uogope kabisa,ukae mbali😃😃Nimeahirisha kuja piemu. Kumbe ulishakomaa namna hii?
Na hutamuacha 😊Wa hivi hata nichapiwa sishituki kabisa. Wao wachape tu😀😀
🤣🤣🤣🤣Halafu Hana habareee....tumjengee sanamu😳😳😳 Jamani kachukua tena humu humu?!!
Huyu apewe tuzo kwakweli.
Usiwe na mwanamke mmoja, Ila hii itategemea uchumi pia maana wanawake wa siku hizi kama vibubu mda wote wanataka utumbukize pesa.Nikiri kwamba nina wivu kupita maelezo!
Hii hali mimi mwenyewe siipendi na hata hivyo nashindwa kuicontrol.
Sipendi kujiingiza kwenye mahusiano na wanawake kwa sababu hii hii!
Wakuu ni jinsi gani naweza kufanya ili kupunguza wivu?
Okay...kama hivyo sawaMimi wala sinaga muda na simu, ila ndio kama hivyo itokee tu ndio maana siwezi kusema sitoshika.
Sipendi mwanaume mwenye mashaka na simu yake, it's a turn off.
Akijiamini naweza kupitisha mwaka sijaigusa.
Hata mi nipo hivyo sijui natokaje huko dah sipendi kuwa na wivu nachukia hii hali
Mie niliwahi kuwa mjinga kupekua simu akawa anaweka app za kulock afu ananiachia simu. Nazifuta app kila kitu wazi napekua napekua najionea ya dunia. Then nazirudisha naweka password na email yake badae zilikataa na reset password wanamtumia link. Nikatafuta pisi zingine 3 nikaziunga tela basi nikasahau hata kama yupo yeye ndio akawa ana fight kuniweka karibu maana aliona kabisa mwamba siku hizi hata haulizi akipiga simu haipokelewi masaa. Mwamba ilifikia nikawa kama bubu sisemi chochote hata anapoona kanikera. Mwamba nikawa mtu wa safari nje ya jiji akaanza kutaka kujua naendaga wapi. Basi ikawa purukushani nachungwa. Mpaka sasa akama hajaniambia anataka dushelele basi simuombi nakausha na anajua zamani sipitishi siku 2 nataka kipochi, ghafla anashangaa nakaa wiki 2 kimya yaani kifupi unavyoonesha attention kwake ndio unamuweka mbali na wewe.Unatuuzia ramani ya MBWINU za vita 😂😂
Hataacha hii nadhani huwa ni inborn na malezi mi pia ninayo na Inanipa wakati mgumu sana so most of the time huwa na pretend kama Niko ok ila burning insideUkikua Utaacha Ni Suala La Muda.