Ninaachana na A-Level naenda D.I.T kusoma Diploma in Mining Engineering, Inalipa?

Tujadili hoja acha kutaka kunifahamu kiundani ndio maana natumia fake id kuwakwepa wachimvi kama wewe. Nikikuambia mwaka niliomaliza DIT itakusaidia nini wewe ndugu yangu Asprin ?
Ulivyoniita mchimvi kwangu mie nliona inatosha na sikustahili tena kuwa ndugu yako. Au wapenda undungu na wachimvi?

Ustaarabu hauuzwi gengeni, says me.
 
Nikisoma hizo bold nauona upotoshaji mkubwa. Mwanzaoni nilifikiri labda ulisoma miaka ya zamani sana ambapo hayo mambo kweli yalikuwepo. Lakini kama ni mwaka 1999, utakuwa unaleta upotoshaji mkubwa sana, hasa hapo kwenye red bold.

Ukweli halisi ni kinyume na hayo uliyoyasema, usimkatishe dogo tamaa.
 
Kama hizo ndiyo pasi zako kweli, basi nakushauri uangalie mbele zaidi. Reach for the stars. Kama ni mambo ya kiufundi au uhandisi, lenga kuwa juu ya wote. Uwe mtaalamu. Nenda A-level utakuwa na uwanja mpana zaidi. Utaweza kusoma uhandisi. Fikiria kwenda hata kunako vyuo na program za mining kama Zambia au nchi nyingine. Ukiishia hapo ukaitafuta diploma tuu unaweza kuwa na njia ndefu zaidi. Usiwe na haraka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…