green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Sana mkuu hasa baada ya Netanyaho kujifanya mwamba UN anahutubia kwa mbwembwe huku akimtegemea bwana ake US Sasa wameonyesha kwamba yeye na bwana ake ni wachumba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajibu wao bila msaada wa USA muone watakavyopukutikaWakijibu mashambulizi mtakuja kulialia ohh waarabu wanaonewa
Kwani ungemtukana yeye mwenyewe ungepungukiwa na nini mtanzania mwenzangu?Sema wafuasi wa allah na shoga yake marehemu muhammad ndio wanafurahi bila kujua wiki ijayo viongozi wao wanaanza kuchezea risasi za tako.
Amini na kwambia kwa uliotaja hapo hatuna mkuu.Wapo.
Usiniletee mabalaa yako mkuu mwanzo ulikua unaleta vichekesho now unaleta ukorofi.Allah na Mohammad sio wenu?
Hawa wakristo wa jf wengi hawajielewi kuna wachache tuh akili zimo ila wengine cjui wanawaza vipJana watumishi wengi tu wa kikristo Palestina walikua Barabarani wanafurahia
View attachment 3113513
Udini upo kwa Wakristo wa Africa, Wahindu na Wakristo wa Usa, otherwise Wakristo wa South America, Middle East, Ulaya Majority, Asia etc wengi wapo Against.
Haya bhanaallah ni pimbi kama mapimbi wengine.
Waisrael bila mbereko ya USA, ni sawa na Broira.Wakijibu mashambulizi mtakuja kulialia ohh waarabu wanaonewa
unaadika ukiwa wapi, kama uko Tz utakuwa una shida upstairs! ulicheki Ile list ya misaada toka USA kwa taifa lako chovu la Tz?Hulka ya Mwanadamu huwa anachukia Mtu mwenye maguvu anayeonea wanyonge, ndio maana mnyonge anapoamua kupambana wengi watamuunga mkono hata kimoyomoyo . Mfano siku itokee Marekani kuanguka iwe kwa kupigana au kuwa janga la asili kama tetemeko au gharika UNAFIKIRI KUNA ATAKAYEMUONEA HURUMA. Na yote hii ni kwasababu watu wengi hawapendezwi na UBABE , UONEVU NA KIBURI CHA MAREKANI
Hakuna kitu kama hichooSerikali nyingi duniani haziwezi kuonyesha waziwazi support yao kwa kuwahofia wakubwa wa Ulaya na Marekani
Una uhakika una akili?Binadamu yoyote duniani mwenye akili timamu lazima afurahie Israel inaposhambuliwa bila kujali itikadi yake ya kidini
Check jinsi ulivyokasirika eti sababu nimeikosoa Marekani. Tena unaonekana umechukia sana hadi UNAIBEZA TZ. KAMA WEWE NI MZUNGU BASI SITAKUSHANGAA, LAKINI KAMA WEWE NI MUAFRIKA TENA TZ BASI WEWE NI TABU LA RASA.unaadika ukiwa wapi, kama uko Tz utakuwa una shida upstairs! ulicheki Ile list ya misaada toka USA kwa taifa lako chovu la Tz?
mmelala hakuna mnachoweza, zaidi ya kukopa na kuomba misaada ndio muendeshe maisha/nchi yenu. Huduma za kijamii zote ili zipatikane ni hadi mkope na kusaidiwa! shame on u.
ni utaahira kushangilia baba yako akipigwa!!!!
JESUS IS LORD&SAVIOR
Sio bongoTatzo la bongo,
Mihemko mingi inaendeshwa na udini.
Soma kichwa cha habar kabla ya kuhemka kujibu!Wakijibu mashambulizi mtakuja kulialia ohh waarabu wanaonewa
Sio kweli?ww ni mvaa ushungi!! Israel taifa teuleBinadamu yoyote duniani mwenye akili timamu lazima afurahie Israel inaposhambuliwa bila kujali itikadi yake ya kidini
Unazungumzia wahindi hawa wabongo au wa kule India wanaokunya vichakani. Au wahindi ambao wamejazana mtandao wa Facebook kutwa nzima wanawapigia dada zetu video call wakionesha nyuchi zao.Check jinsi ulivyokasirika eti sababu nimeikosoa Marekani. Tena unaonekana umechukia sana hadi UNAIBEZA TZ. KAMA WEWE NI MZUNGU BASI SITAKUSHANGAA, LAKINI KAMA WEWE NI MUAFRIKA TENA TZ BASI WEWE NI TABU LA RASA.
Ulivyo mjinga unajiona na wewe ni ukoo wa Trump au Biden au asili yako ni pale Nazareti.
MIAFRIKA MIJINGA SANA NA NDIO MAANA WAHINDI HAWAITAKI HII MBEGU