dikir kab can
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 1,499
- 2,667
ukweli usemwe kura hazikutosha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada ni level ya Juu kuliko Uwezo wakoHebu amka kakojoe urudi kulala tena. Kama Mbowe angetaka kumuachia Lissu chama asingehangaika kugombea tena. Angejitoa au asingechukua fomu. Full stop!
Pole sana kijana wa chai aka kijiweni, i am more deep than you know. Difference is sion umuhimu wakuuliza sasa wakati lissu ameshapata wenye kiti.Wewe ni askari kanzu tu haya mambo ya deep ni next level 😂😂
Hakuna aliyesema zilitosha 😂ukweli usemwe kura hazikutosha...
Mkuu kumbuka kauli ya Mbowe mwenyewe, akisema, mimi, yeye ni mwanasiasa na nitafia kwenye siasa.Hebu amka kakojoe urudi kulala tena. Kama Mbowe angetaka kumuachia Lissu chama asingehangaika kugombea tena. Angejitoa au asingechukua fomu. Full stop!
Huwezi elewa haya makitu bwashee 😄Pole sana kijana wa chai aka kijiweni, i am more deep than you know. Difference is sion umuhimu wakuuliza sasa wakati lissu ameshapata wenye kiti.
If ungekuwa smart , swali lako lingekuwa relevant wkt wa uchaguzi, kabla ya matoke
Too late bro
Deep gani unaijua boss, Mbowe hakusoma tu alama za nyakati, miaka 20+ bado anajilazimisha kuongoza!Wewe ni askari kanzu tu haya mambo ya deep ni next level 😂😂
Hamna kitu unajua kijana. Endelea na story za vijiweni. You are no where close na mada hizoHuwezi elewa haya makitu bwashee 😄
Tuko Tarime tumekodi Abood na Mwamba kachangia 😂😂😂😂
Kama una Akili TIMAMU utagundua Mbowe alishaaga pale Mlimani City kabla Hata COVID 19 hawajateuliwa na ShujaaDeep gani unaijua boss, Mbowe hakusoma tu alama za nyakati, miaka 20+ bado anajilazimisha kuongoza!
Sawa askari kanzu tashrif 😂😂Hamna kitu unajua kijana. Endelea na story za vijiweni. You are no where close na mada hizo
Umeshachelewa
Sawa kijana wa chai hapo kijiwen, boresha kashata na kahawa hizoSawa askari kanzu tashrif 😂😂
Kanzu Wenzako huwa wanafata taarifa za vibaka vijiweniSawa kijana wa chai hapo kijiwen, boresha kashata na kahawa hizo
Hahaha you wish scout boy, you know nothingKanzu Wenzako huwa wanafata taarifa za vibaka vijiweni
Karibu sana 😄😄
Ninamjua Freeman Mbowe kitambo sana na Nina uhakika kama angetaka kubaki Uongozini angebakishwa Kwa nguvu ya Mifumo mbalimbali
Ninachojiuliza kwanini Mbowe kaamua kumuachia Tundu Lisu Chama?
Kuna nini mbele? Naendelea kufanya utafiti 🐼
Karibu sana afande 😂Hahaha you wish scout boy, you know nothing
Haha you wish sunny boy, i am not afandeKaribu sana afande 😂
😄😄😄Haha you wish sunny boy, i am not afande