Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Uchaguzi umeishaNinamjua Freeman Mbowe kitambo sana na Nina uhakika kama angetaka kubaki Uongozini angebakishwa Kwa nguvu ya Mifumo mbalimbali
Ninachojiuliza kwanini Mbowe kaamua kumuachia Tundu Lisu Chama?
Kuna nini mbele? Naendelea kufanya utafiti 🐼