Ninaamini katika hizi tu ili mtu aweze kuongoza nafasi ya juu kabisa ya madaraka ya nchi lazima awe amesoma walau taaluma moja kati ya hizi

Ninaamini katika hizi tu ili mtu aweze kuongoza nafasi ya juu kabisa ya madaraka ya nchi lazima awe amesoma walau taaluma moja kati ya hizi

Uongozi sio taaluma ndomana kuna jopo la kumshauri rais .
Taaluma inamata mkuu, tumeona namna ambayo sheria zimepuuzwa, uchumi umegeuka siasa na mahusiano na jummuia ya kimataifa yamepuuzwa.
 
220px-Mahmoud_Ahmadinejad_2019_02.jpg

Mahmoud Ahmadinejad
Iranian President (2005-2013)
Civil Engineer ( PhD)
 
Taaluma inamata mkuu, tumeona namna ambayo sheria zimepuuzwa, uchumi umegeuka siasa na mahusiano na jummuia ya kimataifa yamepuuzwa.
Sheria haipo kwa ajili ya watu ila watu wapo kwa ajili ya sheria.
 
Tengeneza katiba yako yenye vigezo ulivyotaja. Wakati mwingine unapaswa kufikiri vizuri kabla ya kuandika utopolo.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Hao hao wanasheria si ndiyo huwa wanasaini mikataba ya hovyo hovyo kila siku mpaka tusio kuwa na elimu ya Sheria tuna shangaa kabisa! Wakati mwingine uongozi si taaluma ulizosema hapo! Hayati Mkapa ni mwandishi wa habari kazunguka huko kaja malizia kwenye urais!
 
Hao hao wanasheria si ndiyo huwa wanasaini mikataba ya hovyo hovyo kila siku mpaka tusio kuwa na elimu ya Sheria tuna shangaa kabisa! Wakati mwingine uongozi si taaluma ulizosema hapo! Hayati Mkapa ni mwandishi wa habari kazunguka huko kaja malizia kwenye urais!
Nje na unahabari Mkapa alikuw Mwanadiplomasia mkuu.
 
Rais ni Taasisi, Sasa Hapa Tz rais ni mtu ambaye anajua kila kitu
- mwanasheria
- mhandisi wa mitambo, umeme, ujenzi na nk
-astronomy
- mchumi
- mpiga mbizi
-mwanamuziki
-dancer
- mwanamieleka
-mwana Kung Fu na n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkumbusheni huyo jamaa IDD Amini hivi alisoma nini
Na wewe jiulize aliipeleka. Wapi Uganda?

Mwisho wake ulikuwa nini???


Alikuwa na faida gani kwa uchumi wa Uganda??





Alifia wapi na alizikwa wapi??? Ahaaa 😂😂🤣🤣🤣
 
Ila walimu wana jazba sana, kila kitu wao kufoka tu. Kuishi na watoto kunawaathiri sana ki psychologia.

Ila naamini hakuna elimu mbaya.

Kiongoxi ni mtu sio elimu yake.
 
Wakuu asalaam.

Binafsi naamini siasa ni sayansi na wanasiasa ni lazima wawe wanaweza kuimonitor na kuiishi sayansi hii ya siasa. Ili MTU yoyote aweze kuungoza umma wa watanzania ni vyema akawa amesoma na kuhitimu angalau taaluma zifuatazo

1. Sheria
Hii ni kwa maana kuwa sheria ndo nguzo kuu ya utawala wa kiraia na kiongozi mkuu anapokuwa amepitia na kufuzu sheria anakuwa ni kiranja mkuu kwa sheria zetu.

2.Uchumi
Shahada ya uchumi ni kigezo muhimu sana kwa kiongozi kutawala taifa, lazima tuwe na kiongozi anaejua vizuri maana ya uchumi na namna ya kuupigania.

3.Diplomasia na mahusiano ya kimataifa.
Kiongozi bora lazima ajue umhimu wa mahusiano ya kimataifa, zama za umimi zimeshapitwa na wakati.

2020 Tutafute mtu mwenye uelewa wa mambo Haya tuache kummpa MTU madaraka kwa sababu ya ukali wake... Silaha ya kiongozi ni sheria, uchumi na diplomasia.
Umesahau history na uraia.

Hayo masomo yana msaada sana kujua tutokapo, tulipo na tuendapo.
 
8002254-3x2-xlarge.jpg

Angela Dorothea Merkel
Germany Chancellor ( since 2005)
Physcal Chemistry ( Quantum Chemist) ( PhD)
 
Back
Top Bottom