Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
- Thread starter
-
- #21
Taaluma inamata mkuu, tumeona namna ambayo sheria zimepuuzwa, uchumi umegeuka siasa na mahusiano na jummuia ya kimataifa yamepuuzwa.Uongozi sio taaluma ndomana kuna jopo la kumshauri rais .
Sheria haipo kwa ajili ya watu ila watu wapo kwa ajili ya sheria.Taaluma inamata mkuu, tumeona namna ambayo sheria zimepuuzwa, uchumi umegeuka siasa na mahusiano na jummuia ya kimataifa yamepuuzwa.
Sasa wewe ahmadinejad unamwona ni kiongozi wa kuigwa? Je anafata utwala wa haki hapo tehrani? Makundi ya wachache yanazingatiwa?
Unasema nini wewe? Yaani sheria ipo kwa sababu ya watu ila si watu wapo kwa ajiri ya sheria.Sheria haipo kwa ajili ya watu ila watu wapo kwa ajili ya sheria.
A country is not a companyKweli viongozi wengine hawajui hata kuongea kingereza.
Hivi vitu vingine inabidi muwe mnawauliza walimu wenu kwanza.Unasema nini wewe? Yaani sheria ipo kwa sababu ya watu ila si watu wapo kwa ajiri ya sheria.
Hivi vitu vingine inabidi muwe mnawauliza walimu wenu kwanza.Unasema nini wewe? Yaani sheria ipo kwa sababu ya watu ila si watu wapo kwa ajiri ya sheria.
Even though how a president can be gentle enough if he speaks informal language everywhere.A country is not a company
Okeyyie vij
Hivi vitu vingine inabidi muwe mnawauliza walimu wenu kwanza.
Nje na unahabari Mkapa alikuw Mwanadiplomasia mkuu.Hao hao wanasheria si ndiyo huwa wanasaini mikataba ya hovyo hovyo kila siku mpaka tusio kuwa na elimu ya Sheria tuna shangaa kabisa! Wakati mwingine uongozi si taaluma ulizosema hapo! Hayati Mkapa ni mwandishi wa habari kazunguka huko kaja malizia kwenye urais!
Na wewe jiulize aliipeleka. Wapi Uganda?Mkumbusheni huyo jamaa IDD Amini hivi alisoma nini
Umesahau history na uraia.Wakuu asalaam.
Binafsi naamini siasa ni sayansi na wanasiasa ni lazima wawe wanaweza kuimonitor na kuiishi sayansi hii ya siasa. Ili MTU yoyote aweze kuungoza umma wa watanzania ni vyema akawa amesoma na kuhitimu angalau taaluma zifuatazo
1. Sheria
Hii ni kwa maana kuwa sheria ndo nguzo kuu ya utawala wa kiraia na kiongozi mkuu anapokuwa amepitia na kufuzu sheria anakuwa ni kiranja mkuu kwa sheria zetu.
2.Uchumi
Shahada ya uchumi ni kigezo muhimu sana kwa kiongozi kutawala taifa, lazima tuwe na kiongozi anaejua vizuri maana ya uchumi na namna ya kuupigania.
3.Diplomasia na mahusiano ya kimataifa.
Kiongozi bora lazima ajue umhimu wa mahusiano ya kimataifa, zama za umimi zimeshapitwa na wakati.
2020 Tutafute mtu mwenye uelewa wa mambo Haya tuache kummpa MTU madaraka kwa sababu ya ukali wake... Silaha ya kiongozi ni sheria, uchumi na diplomasia.