Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno mazito sana haya."mwengine atakayefanya usitawale kwa utulivu ni Mbowe". Magufuli alisema, "muueni tu" lakini Usalama wakamwambia, "hapana, italeta taswira mbaya kimataifa, huyu mfunge tu".
Kama mkuu wa nchi hana uamuzi wa kusema hiki sawa na hiki siyo sawa?Wanabodi, ninajua wengi tunashangaa sana imekuwaje mfanyabiashara na mwanasiasa Freeman Mbowe kufunguliwa kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi.
Ukweli ni kwamba, mwaka 2017 baada ya jaribio la kumuua Lissu kushindikana, target ya pili alikuwa ni Mbowe baada ya TISS kumshauri Magufuli, "mwengine atakayefanya usitawale kwa utulivu ni Mbowe". Magufuli alisema, "muueni tu" lakini Usalama wakamwambia, "hapana, italeta taswira mbaya kimataifa, huyu mfunge tu". Toka hapo mchakato wa kumfunga Mbowe ulianza na ilikuwa ukamilike mara tu baada ya Uchaguzi wa 2020. Rais Samia amekuta faili hilo likiwa juu kabisa mezani akiambiwa, "haya ni maamuzi ya Usalama wa Taifa". Samia angefanyaje? Mnadhani binafsi haumii kumuona binti wa Mbowe akilia kortini?
Tena hawajielewi kabisaaaCcm ni wapumbavu kweli
Chama Cha MalipiziMoyo ni kichaka. Huwez jua aliyokua anapayapanga alikael.
MasheitwaaanWauwaji wakubwa nyie
Ebu kanawe miguu upinduke tu maana hata kitanda hunaAcha hadithi za vijiweni.Mm nilifikiri una ushahidi kibao.Kumbe huna lolote zaidi ya hadithi za kutunga.Kichwa cha habari kikubwa unatuandikia utopolo tupu.Usipende kutupotezea muda kwa vihadithi feki feki vya kuunga unga.
Hakika Mungu siyo YohanaMUNGU atayajibu haya yote..
MUNGU NI MWEMA.
UNACHEKESHA KWELI YAANI UNASEMA UTAFIKIRI ULIKUWEPOKWENYE HICHO KIKAO NA MAGUFULI MBOWE NI GAIDI ONA KULE MAHAKAMANI ANAVYOKAANGWA NA WALINZIWAKEWanabodi, ninajua wengi tunashangaa sana imekuwaje mfanyabiashara na mwanasiasa Freeman Mbowe kufunguliwa kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi.
Ukweli ni kwamba, mwaka 2017 baada ya jaribio la kumuua Lissu kushindikana, target ya pili alikuwa ni Mbowe baada ya TISS kumshauri Magufuli, "mwengine atakayefanya usitawale kwa utulivu ni Mbowe". Magufuli alisema, "muueni tu" lakini Usalama wakamwambia, "hapana, italeta taswira mbaya kimataifa, huyu mfunge tu". Toka hapo mchakato wa kumfunga Mbowe ulianza na ilikuwa ukamilike mara tu baada ya Uchaguzi wa 2020. Rais Samia amekuta faili hilo likiwa juu kabisa mezani akiambiwa, "haya ni maamuzi ya Usalama wa Taifa". Samia angefanyaje? Mnadhani binafsi haumii kumuona binti wa Mbowe akilia kortini?
Na walaaniwe waondoao uhai wa mwanadamu mwenzaoChama Cha Madhalimu kamwe hakitaacha kutenda udhalimu. Ila haya yote yana mwisho mchungu kwa Madhalimu wote
Kunywa nusu kikombe cha juisi ya tango poriRubbish of the year, pathetic!
Yupo kaburini tayariNa aliyemmaliza chacha wangwe ni nani?
Ubarikiwe sanaChief Hangaya afunge jalada hiyo kesi ni aibu......aibu aibu sibu pia Mama hutapata haki mvele Mungu sababu hutendi haki.....kisa utawala wa duniani? Katiba ni mali watanzania wote mil 60 lazima ije itengenezwe mpya leo kesho keshokutwa lazima.....hata ukimuua Mbowe katiba its a must
Wapambe wana nguvu kuliko mwenye mali.Tatizo wapambe
Nakuona upo kaziniYa Mbowe
Kwa hiyo Mbowe akifungwa ndiyo kero za wamachinga zitapatiwa ufumbuzi?Kesi ya MBOWE,kwanza mashtaka yalikosewa jaji luvanda akaamrisha yarekebishwe Kisha akajitoa.
Akateuliwa jaji Siyani naye akapokea kielelezo kilichopatikana kwa njia haramu Kisha naye akajitoa.
Sasa Leo yupo Jaji Tiganga hatujui na yeye anakuja kufanya lipi ili ajitoe,kiufupi MBOWE anakwenda kufungwa mchana kweupe.
Wangeitwa tu "usalama wa sisiemu"...."haya ni maamuzi ya Usalama wa Taifa"
@jingalao anamjua aliyemmaliza Chacha Wangwe lakini serikali na vyombo vya dola havimjui!!Na aliyemmaliza chacha wangwe ni nani?