Ninachokijua Kuhusu Maisha Binafsi Ya Freeman Mbowe.

Ninachokijua Kuhusu Maisha Binafsi Ya Freeman Mbowe.

Duh, ndio yamekuwa haya tena. Mlikuwa hamjatuambia kwamba Mbowe wameachana na Lilian. Ni vizuri mmeweka wazi jambo hili, tunashukuru.Tunazidi kumjua Rais wetu mtarajiwa Hon Freeman Aikael Mbowe. Lakini mkuu mngejipanga vizuri kwa sababu kwenye Mkutano Mkuu wa Chama mwaka 2010 wakati wakumtambulisha Dk Slaa kama mgombea Lilian alitambulishwa kama mke wa Mhe Mbowe. Sasa hapa ilikuwaje? Na tangu lini tena talaka ikawa siri tena kwa kiongozi mzito wa aina ya Mbowe? Kamanda jipange upya, hapa bado. Mwambie akupe majibu ya haya maswali halafu njoo tena tuendelee kumkida nyani gladi!

Sisi wakristo mke ni mmoja hata kama mmeachana atatambulishwa tu kama mkeo.
 
Ni aibu sana kwa viongozi wanaojipambanua kuwa wanataka wapewe nchi, lakini uongozi ngazi ya familia wamefeli.

Kaka, Uongozi Mzuri Ngazi Ya Familia Ndio Unaweza Ukakufanya Uachane Na Mumeo Au Mkeo, Kuna Mambo Ambayo Unaweza Ukamuonya Na Asikubaliane Na Wewe Na Akaamua Muachane.. Sisi Tukikulaumu Wewe Kuwa Mke Amekushunda Tutakuwa Tunakutendea Haki?
 
This is takataka.Ni mahakama gani iliyotengua ndoa ya mbowe na lilian?Wewe ni mmbea.
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama Anamsaliti Mke Wa Ndoa Tena Aliyemzalia Watoto Basi Hafai Kuwa Kiongozi.. Ninachokifahamu Ni Kuwa Mbowe Na Lilian Ambaye Ni Mtoto Wa Mzee Mtei Waliachana Rasmi Kama Mke Na Mume Mwaka 2008 Kwasababu Ambazo Wenyewe Ndio Wanazijua, Baada Ya Hapo Mbowe Amekuwa Na Uhusiano Usio Na Usiri Na Joyce Mukya. MADAI YA KUITELEKEZA FAMILIA.
Watoto watatu kati ya wanne wa Mbowe Wanaishi Nje Ya Afrika Wakisoma Na Wengine Kufanya Kazi Kwa Msaada Wa Freeman Mbowe, Lilian{ex Wife} Ni Mfanyabiashara Mkubwa Na Mpaka Sasa Wanashirikiana Na Mbowe Kwenye Baadhi Ya Biashara, Sijajua Wakosoaji Wa Mbowe Wanaposema Familia Na Mke Wametelekezwa Wanakuwa Na Maana Ipi.. Zaidi Ya Yote Muasisi Wa Chadema Mzee Mtei Ni Baba Wa Lilian, Tujiulize Kama Mbowe Angekuwa Amemsaliti Lilian Na Kutelekeza Watoto Wake Mzee Mtei Angekuwa Anamuunga Mkono Mbowe??????
 
Duh, ndio yamekuwa haya tena. Mlikuwa hamjatuambia kwamba Mbowe wameachana na Lilian. Ni vizuri mmeweka wazi jambo hili, tunashukuru.Tunazidi kumjua Rais wetu mtarajiwa Hon Freeman Aikael Mbowe. Lakini mkuu mngejipanga vizuri kwa sababu kwenye Mkutano Mkuu wa Chama mwaka 2010 wakati wakumtambulisha Dk Slaa kama mgombea Lilian alitambulishwa kama mke wa Mhe Mbowe . Sasa hapa ilikuwaje? Na tangu lini tena talaka ikawa siri tena kwa kiongozi mzito wa aina ya Mbowe? Kamanda jipange upya, hapa bado. Mwambie akupe majibu ya haya maswali halafu njoo tena tuendelee kumkida nyani gladi!

hapo ndo pana utata mkuu hapa badala ya kumsafisha Mbowe ndo wanazidi kumpaka matope
 
Du! Upuuzi mwingine ni aibu hata kuujadili, familia ya mbowe inatuhusu nini sisi tunaotaka mabadiliko?
 
Kwahiyo CDM Mwenyekiti wake na Katibu wake Ndoa zimewashinda???wanaishi na Maawala!!!

Kweli nyani haoni k.undule,
unazungumzia mambo ya viiongozi wa CDM iilihali viingozi wa CCM hili ndo janga kuu, anza na kiongozi wa juu wa CCM hadi yule ngazi ya shina utashangaa...!

Kina Vick Kamata imekuwwaje sii katoka mburudishaji wa muziki hadi kuwa mburudishaji wa ngono wa nanihii au unadhani ni siri.......? mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
 
Kwani wasemaji wa CDM wamepewa mamlaka ya kuzungumza ya chumbani ya maboc wao?
 
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama Anamsaliti Mke Wa Ndoa Tena Aliyemzalia Watoto Basi Hafai Kuwa Kiongozi.. Ninachokifahamu Ni Kuwa Mbowe Na Lilian Ambaye Ni Mtoto Wa Mzee Mtei Waliachana Rasmi Kama Mke Na Mume Mwaka 2008 Kwasababu Ambazo Wenyewe Ndio Wanazijua, Baada Ya Hapo Mbowe Amekuwa Na Uhusiano Usio Na Usiri Na Joyce Mukya. MADAI YA KUITELEKEZA FAMILIA.
Watoto watatu kati ya wanne wa Mbowe Wanaishi Nje Ya Afrika Wakisoma Na Wengine Kufanya Kazi Kwa Msaada Wa Freeman Mbowe, Lilian{ex Wife} Ni Mfanyabiashara Mkubwa Na Mpaka Sasa Wanashirikiana Na Mbowe Kwenye Baadhi Ya Biashara, Sijajua Wakosoaji Wa Mbowe Wanaposema Familia Na Mke Wametelekezwa Wanakuwa Na Maana Ipi.. Zaidi Ya Yote Muasisi Wa Chadema Mzee Mtei Ni Baba Wa Lilian, Tujiulize Kama Mbowe Angekuwa Amemsaliti Lilian Na Kutelekeza Watoto Wake Mzee Mtei Angekuwa Anamuunga Mkono Mbowe??????
haya wenye kusikia wasikie si kupiga kelelel tu , watu wanataka wasikie alimtelekeza basi na si mengine. kumbe opposite is the case, mbowe komaa mkuu , ma ccm wanakuwinda
 
Kwahiyo JOYCE MUKYA alipata ubunge wa viti maalum kupitia Mbowe? Kama Rose Kamili alivyopata kiti maalum kupitia Dr.Slaa, au Christina Lissu kupitia Tundu Lissu na Mtoto na Mkwe wa Ndesamburo kupitia baba yao. Kweli CHADEMA mnajuana haswa!
ukileta Hayo Kwa ccm c ndo utachoka kabisa
 
Kumekuwa Na Mijadala Mingi Sana Inayojaribu Kuzungumzia Maisha Binafsi Ya Freeman A. Mbowe, Kubwa Ni Kuwa Amekuwa Akidaiwa Kumsaliti Mke Wake Aliyezaa Naye{lilian} Na Ikajengwa Hoja Kuwa Kama Anamsaliti Mke Wa Ndoa Tena Aliyemzalia Watoto Basi Hafai Kuwa Kiongozi.. Ninachokifahamu Ni Kuwa Mbowe Na Lilian Ambaye Ni Mtoto Wa Mzee Mtei Waliachana Rasmi Kama Mke Na Mume Mwaka 2008 Kwasababu Ambazo Wenyewe Ndio Wanazijua, Baada Ya Hapo Mbowe Amekuwa Na Uhusiano Usio Na Usiri Na Joyce Mukya. MADAI YA KUITELEKEZA FAMILIA.
Watoto watatu kati ya wanne wa Mbowe Wanaishi Nje Ya Afrika Wakisoma Na Wengine Kufanya Kazi Kwa Msaada Wa Freeman Mbowe, Lilian{ex Wife} Ni Mfanyabiashara Mkubwa Na Mpaka Sasa Wanashirikiana Na Mbowe Kwenye Baadhi Ya Biashara, Sijajua Wakosoaji Wa Mbowe Wanaposema Familia Na Mke Wametelekezwa Wanakuwa Na Maana Ipi.. Zaidi Ya Yote Muasisi Wa Chadema Mzee Mtei Ni Baba Wa Lilian, Tujiulize Kama Mbowe Angekuwa Amemsaliti Lilian Na Kutelekeza Watoto Wake Mzee Mtei Angekuwa Anamuunga Mkono Mbowe??????

Hata hujui kudanganya, hii link ina picha za matukio ya Mbowe na familia yake, Mbowe, mke wake na watoto na hizi picha ziliwekwa tarehe 14 December 2011 na wewe unatuambia kuwa waliachana 2008!!!!!

link: matukio-michuzi: Mbowe asherehekea jubilei ya miaka 50 kwa harambee ya ujenzi wa kanisa na msikiti jimboni kwake
 
umelipwa shilingi ngapi?

Hahahahaaaa, ujue umenichekesha mpaka machozi yanitoka. Vp keshajibu?? Maana naona anayajua maisha binafsi ya bwana mbowe kuliko yeye anavyojijua. Lkn hata hivyo anatutanabahisha kwamba Mbowe amekuwa MZINIFU tu baada ya kuachana na huyo Lilian kwa sababu kasema toka ameachana na mkewe amekuwa na mahusiano ya wazi ya kimapenzi na Joyce Mukya. Nasema hivyo kwa sababu kiukweli kama hujaoa na bado unatembea na mtu huo ni UZINZI
 
This is takataka.Ni mahakama gani iliyotengua ndoa ya mbowe na lilian?Wewe ni mmbea.

Wewe vp? Ndoa kwani mpaka mahakamani ndg yangu? Kwani mbowe hana dini mpaka aende mahakamani kama mpagani!
 
Kwani mwenyewe yupo? Au wewe ni msemaji wake basi sema na la NHC na NSSF yaonesha unamajibu yote kama la ndoa unalo y? Mengine ukose type...
 
Ni aibu sana kwa viongozi wanaojipambanua kuwa wanataka wapewe nchi, lakini uongozi ngazi ya familia wamefeli.
mkuu kama ni kwa kipimo hicho tusingepata viongozi kwa taifa letu kamwe! Viongozi wengi wa kitaifa record yao ya kimapenzi ni chafu kuliko! Hatari toka aliyepanga ikulu mpaka mtaani!
 
Back
Top Bottom