Ninachokumbuka kuhusu Nyakati za John Pombe Magufuli

Ninachokumbuka kuhusu Nyakati za John Pombe Magufuli

Kupigwa risasi kwa Lissu, Kupotea kwa Ben Sanane na Azory....!!
Hivi nyie watu mmelishwa Nini? Sasa simkafungue kesi umoja wa mataifa hko kila siku habari hiyo hiyo saa nane muulizeni boss wenu anajua
 
Mkuu hapo kwenye kumtakia pumziko la milele, ni kwamba:-

Mwili ukishaacha roho hapo hapo nafsi inaanza kutumikia adhabu kutokana na matendo yako ya hapa duniani.

Mwanadamu hajapewa mamlaka yoyote na mwenyezi Mungu ya kuiombea maiti (mwili) iliyopo duniani kwani kwa kufanya hivyo ni kumdhihaki mwenyezi Mungu kwani NAFSI tayari ilishanyakuliwa na ishaanza kutumikia adhabu. kwa hiyo maombi huwa hayana maana yoyote ile.

Maombi yoyote baada ya kifo huwa ni mbwemwe tu za kufurahisha na kupeana matumaini ambayo kiuhalisika hayapo katika ulimwengu wa kiroho.

una uhakika gani kama mtu akifariki papo hao nafsi huenda kutumikia adhabu unawezaje kuniaminisha nipe ushahidi mimi nisiye amini na wanaposema wafu watafufuliwa siku ya mwisho wanamaana gani na je habari za mangojeo wanamanisha nini?
 
Wewe ni mnafiki sana. Sina hata lugha sahihi ya kuielezea PhD yako ya unafiki uliotukuka.

Magu katesa wengi,katesa familia nyingi,kauwa wengi direct or indirect.Hakuwa na utu.mnyama yule.alifurahia mateso ya watu.

Ni hayawani tu km wewe anaweza kumsifu yule dictator, kwamba watuwafe,wafilisiwe,wabambikiziwe uhujumu uchumi na Kodi ili yeye ajenge miundombinu.

Watu wastaafu wasilipwe stahiki zao ili ajenge barabara kwamba yeye Ni rais jasiri.

Univunjie nyumba yangu nilijenga kwa uchungu mwingi,nikose pa kuishi.Sikuijenga eneo lisilostahili, kiwanja kimepimwa,sikujenga ktk hifadhi ya barabara,bila fidia hata senti moja. Eti ili uitwe rais mwenye ujasiri.umeleta maendeleo.

Na hayawani km mtoa post anakuja anasifu na kuabudu.mshenzi wewe.

Nafikiri sasaivi atakuwa anaandaa mpango wa kura feki ktk uchaguzi wa KIONGOZI WA MALAIKA huko mbinguni ili aweze kupita kwa kishindo na kuufuta upinzani wa malaika.

Sijajua mpango wa mbunge DEO SANGA kutaka aongezewe muda madarakani umefikia wapi,na mpango wa kumlazimisha hata km hataki umefikia wapi. Nafikiri mchakato utakuwa unaendlea.

Wimbo: imba ...hakuna mungu km wewe Yahweeeehhh.....wa upendoo.......

Wee jamaa niache nimtukuze huyu mungu asiyepokea hongo.
 
Hivi nyie watu mmelishwa Nini? Sasa simkafungue kesi umoja wa mataifa hko kila siku habari hiyo hiyo saa nane muulizeni boss wenu anajua
Kweli ng'ombe ni ng'ombe na wewe Ni ngo'mbe haswaa.

Majina yanasadifu uhalisia wa mtu. Majina mengine siyo ya bahati mbaya, umejiita chapa ngo'mbe kwasababu una UNG'OMBE ndani yako. Umeandika kudhihirisha VINASABA vyako vya Ung'ombe ulivyonavyo.
 
Back
Top Bottom