Ninadhurumika nafsi, nami nina moyo jamani.

ndo hata mimi najiuliza na mtu utajitambuaje kuwa wewe ni handsome?

Simple to recognize, sometimes unapata comments kutoka kwa friends wako,naamini hata wewe unajijua, labda hapo kwenye utanashati, cozi sisi wakaka huwa tunaambia ni blind kwenye vitu kama hivyo...
 
Kuna mtu anaomba wanawake wamchukie....... wanamganda hata hajui afanyeje......Akijifanya kauzu ndiyo wanamfuata kama mvua. Ningetamani mbadilishane nuksi.

Tulia kadri unavyo-panic ndivyo unavyopoteza confidence na hofu kibao!
 

Hapo hapo ndo nahisi ungeanza kunielimisha, labda hilo ndo tatizo..
 
anza nieleza ukimtongoza mwanamke unaanzaje?

Kwanza kabisa najaribu kumzoea kwa siku kadhaa kama wiki mbili mpaka mwezi, then natafuta mahali namtoa out then namwambia,
 
Ehe nifanyeje mkuu..


mbona simple hii

kwanza achana na kumtoa mtu out kama sio wako tayari
pili ongea mapema nia yako bila kujiandaa wala usiwe serious saana
tatu chukulia kila kitu kama utani
hata akisema hataki chukulia anataka lakini anakutania hataki
ukishamwambia siku ya kwanza usirudie rudie
jifanye kashakubali ....siku inayofuata unaanza hatua ya pili as if alishasema yes
ukimtoa out unamtoa as ni wako na story ni zingine kabisa
ila viyendo ndo vinaongea
 
punguza kuwa 'mannual' sana, kuwa soft kidogo.

Afu hizo 'akili' zako zinaweza kufanya uwe 'big headed' kumbuka wanawake hawataki mvumbuzi, wanataka mtu atakayewafanya wafurahi

kingine, yaani mtu kumzoea wiki 2 tu unamtongoza? Lazima akurushe kama nyanya mbichi.

Wanamme wenye mizaha ya maneno by 'choice' ndo hula vinono kama hujui
 

Aha vyote ulivyoandika navitaka vp una salio kiasi gani? nivute kwakooo niwe wako milele
 

Inahitaji umzoee kwa wiki ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…