SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Wakina nani hao hawavai AiseeWengine wanasema huwa hawavai chupi, mara wengine wasema wananunua dazeni mbili kwa mwaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina nani hao hawavai AiseeWengine wanasema huwa hawavai chupi, mara wengine wasema wananunua dazeni mbili kwa mwaka
Kwa sasa anahudumu pale TBC Taifa. Kote alipopitia kwa maana ya Radio One na Radio Uhuru alifanikiwa kujenga jina lake kama mtangazaji anaye ujua muziki kama taaluma na kutayarisha vipindi katika viwango vya juu sana kimaudhuiMasoud Masoud redio gani mkuu?
Amerusha na dongo pia" sifanyi kazi usiku kama najenga daraja"Nimeshtushwa na Taarifa hii ya Mbwiga Mbwiguke kwani hakuna Mtu ambaye kila tukikutana nae Vijiweni Kwetu alikuwa akisema kuwa kwa Utu wa Shaffih Dauda aliyemuibua akiokota Chupa za Maji Chamazi na Wema wa Marehemu Ruge Mutahaba na Urafiki wake na MD Joseph Kusaga tokea wakisoma wote Shule ya Msingi Forodhani kamwe asingeweza kuhama CMG.
Kweli nimeamini 'Fedha' humbadili Mtu.
Asee Masoud masoud ni moto mwengine kabisaTatizo kubwa la watangazaji wa sasa hatwajiandai wala kufanyia tafiti wanachokirusha hewani tofauti na watayarishaji vipindi na watangazaji wakongwe
Sikiliza kwa mfano vipindi vinavyotayarishwa na Masoud Masoud utaona jinsi anavyoiheshimu kazi yake na kuwaheshimu wasikilizaja wake. Masoud anatafiti content zake na kuziweka katika mpangilio wa kuelimisha na pia kuvutia
Watangazaji wa sasa anaweza akaongea hewani kitu asichokijua au hana uhakika nacho au ni cha uongo na akataka wote muamini anavyojua yeye!
Ni vyema kila Radio ikawa na timu ya wadhibiti ubora kuanzi kwenye lugha, uwasilishaji wa content mpaka nidhamu za presentation ili vipindi viwe both entertaing and educating
Mzaramo ni Mzaramo tu. Leo hii Mbwiga Mbwiguke anawananga CMG wakati kwa 99% ndiyo waliyobadilisha Maisha yake Kiuchumi hadi Kimaendeleo.Amerusha na dongo pia" sifanyi kazi usiku kama najenga daraja"
Bila kumsahau Oumurhery japo kastaafuAsee Masoud masoud ni moto mwengine kabisa
Bila kumsahau Charles hillary
Angekuwa Bora angekaa na hao Fools?Katika watangazaji naona afadhali babbie kabae ana upeo mkubwa wa kuelezea jambo
Yuko very professional kwakweli ila hao wengine ni bora liende tu
Bora nibakie jf😁
Kukaa nao it doesnt make her less goodAngekuwa Bora angekaa na hao Fools?
Brainiac hukubali Kukaa na Nuts Mkuu?Kukaa nao it doesnt make her less good
Kama ndo wameonekana hao ndo wanaunafuu je?
Yule mwanamama yuko vizuri upstairs
For money reasons yes,hata mimi ntakubali na hii ni proof kwamba you are fine upstairsBrainiac hukubali Kukaa na Nuts Mkuu?
Kukopeshwa Hela au Kupewa Pesa na Fools haiondoi kuwa bado wataendelea tu kuwa Morons na Wewe Brainy hata kama utachelewa kutoka Kimaisha ila Mikakati yako ' ikitiki ' Pesa zitakuja na hata Kusahau Shida zote ulizopitia pamoja na Majaribu ya Maishani.For money reasons yes,hata mimi ntakubali na hii ni proof kwamba you are fine upstairs
Asa wewe ukatae usubiri wenye akili wenzako adi lini?mwisho hao fools ndo watakukopesha ela za kula,kwa hapo who will be brainless?you or them?
Kwa watangazaji wa kizazi hiki cha sasa unadhani watabaki wangapi?Watangazaji wote wanaochanganya R na L wafukuzwe kwenye redio zote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]........we jamaa mjinga sana aisee, yani umenichekesha kifala sana "eti sura kama kalunguyeye"Kuna kile kijamaa kinaitwa haris kapiga wa cloud sura yake kama kalungu yeye
Anasoma habar then anaanza kumshauri marehemu ambaye ameuwawa
Mh,ukiwa huna ela unaonekana tu huna thamani yan uprofesa wako tupa kule ndo mana utakuta frd vunjabei sa hizi anaitwa mzee wakati ni kijana mbichiKukopeshwa Hela au Kupewa Pesa na Fools haiondoi kuwa bado wataendelea tu kuwa Morons na Wewe Brainy hata kama utachelewa kutoka Kimaisha ila Mikakati yako ' ikitiki ' Pesa zitakuja na hata Kusahau Shida zote ulizopitia pamoja na Majaribu ya Maishani.